CCM Haina Mafanikio ya kuwaonyesha Watanzania Waielewe!

CCM is about numbers (quantity) not quality. Wamehesabu barabara, mashule, mahospitali, vyuo vikuu n.k. Lakini hivyo vypte vina ubora unaokubalika? Ubora wa kuifanya nchi ifikie maendeleo yanayotafutwa na watanzania?
 
Mafanikio yapo na yanaonekana Ila kwa wale waliogoma kuyaona hawawezi wakayaona.
 
Vijiji vilivyonufaika na mradi wa umeme wa vijijini havipo tusidanganyane. Kama vipo vitaje hata vitano
"Mtaji wa mjinga ni majungu" mradi wa umeme vijijini haukuwa unaweka "power plant" ili kijiji kizima kipate umeme lahasha ila ulikuwa unaelekeza maeneo maalumu muhimu (for schools, dispensaries and offices etc) for lighting, computers, fans, refrigerators(for vaccines) it distribution in off-grid areas with small power project to promote and facilitate improved services in rural areas.
lakini pia kwenye mradi huu zimeshanufaika kaya 200,000

-lighting in bording schools allow kids to study at night
-studies have shown that schools with solar lighting perform better in exams when compared to students in schools without electricity


 
CCM is about numbers (quantity) not quality. Wamehesabu barabara, mashule, mahospitali, vyuo vikuu n.k. Lakini hivyo vypte vina ubora unaokubalika? Ubora wa kuifanya nchi ifikie maendeleo yanayotafutwa na watanzania?
"Taswira nzuri inajengwa kwa gharama na siyo kelele, vurugu wala matusi" umegeuka kuwa kampuni ya viwango? nyie pigeni kelele Serikali ya CCM inapiga kazi.
 
"Mtaji wa mjinga ni majungu" mradi wa umeme vijijini haukuwa unaweka "power plant" ili kijiji kizima kipate umeme lahasha ila ulikuwa unaelekeza maeneo maalumu muhimu (for schools, dispensaries and offices etc) for lighting, computers, fans, refrigerators(for vaccines) it distribution in off-grid areas with small power project to promote and facilitate improved services in rural areas.
lakini pia kwenye mradi huu zimeshanufaika kaya 200,000

-lighting in bording schools allow kids to study at night
-studies have shown that schools with solar lighting perform better in exams when compared to students in schools without electricity



aulizaye swali kutaka kujua si majungu....jifunze kuwa na adabu hata ukubwa japo najua hukufunzwa utotoni.
 
aulizaye swali kutaka kujua si majungu....jifunze kuwa na adabu hata ukubwa japo najua hukufunzwa utotoni.
-"Usianzishe vita ya mawe ukiwa kwenye nyumba ya vioo" na,
-"Ukubwa wa pua si wingi wa makamasi" mambo ya maendeleo ya Serikali ya CCM yako wazi na tunatoa hoja na mifano halafu mnapinga sasa tuwaiteje?

 

-Barabara zilizonjengwa wakati wa miaka 7 ya utawala wa Kikwete inazidi idadi ya miaka yote tangu kupatikana uhuru.

-Vyuo vikuu vilivyoanzishwa kipindi cha miaka 7 ya utawala wa Kikwete inazid idadi ya miaka yote tangu kupatikana uhuru
-Serikali inakusanya
bilioni 450 za barabara ukilinganisha na bilioni 56 miaka 5 iliyopita, hivyo robo tatu ya barabara zinajengwa kwa pesa zetu wenyewe.
- Mafanikio kwenye elimu ya juu inazidi %100 ya wakati tulipopata uhuru.




Nadhani umekariri kupita kiasi. Kwani ni kipi hakieleweki katika hayo niliyoandika?
Hizo barabara umeziona? unazijua?
Hiyo elimu unayoongelea imepata mafanikio gani ya kufaulisha wanafunzi mbumbumbu? Hivi we uko wapi?
 
"Mtaji wa mjinga ni majungu" mradi wa umeme vijijini haukuwa unaweka "power plant" ili kijiji kizima kipate umeme lahasha ila ulikuwa unaelekeza maeneo maalumu muhimu (for schools, dispensaries and offices etc) for lighting, computers, fans, refrigerators(for vaccines) it distribution in off-grid areas with small power project to promote and facilitate improved services in rural areas.
lakini pia kwenye mradi huu zimeshanufaika kaya 200,000

-lighting in bording schools allow kids to study at night
-studies have shown that schools with solar lighting perform better in exams when compared to students in schools without electricity



Duchi kuna tofauti kubwa kati ya umeme vijijini na umeme shuleni. Watu wangependa kujua wananchi wa Tanzania waishio vijijini ni lini na wao watapata maendeleo ya maji, umeme, huduma za afya na nyinginezo, hasa ukuzingatia nao wamelipa kodi ya maendeleo kwa miaka yote na hamna lolote wanaloona.

Jibu hoja kwa hoja Duchi
 
Nadhani umekariri kupita kiasi. Kwani ni kipi hakieleweki katika hayo niliyoandika?
Hizo barabara umeziona? unazijua?
Hiyo elimu unayoongelea imepata mafanikio gani ya kufaulisha wanafunzi mbumbumbu? Hivi we uko wapi?
kama ni wanafunzi mbumbu basi ni pamoja na wewe maana inaonekana huna zaidi ya miaka 15 tangu umalize shule. wewe unapewa data hutaki na kuleta hoja uwezi unabakia kusema tu hazina ubora lete statistics siyo kupiga kelele tu. "Mti wenye matunda ndiyo hupopolewa mawe" CCM ina matunda ya kutosha.

 
Mafanikio kwenye sekta afya:
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika.
Miongoni mwa mafanikio kwenye sekta ya afya ni:
- huduma za afya zimesogezwa karibu wananchi.
- utoaji wa chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali bure na chanjo kuhusu mama na mtoto.
- Kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka 5.
- Huduma ya kinga ya maambukizi ya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto.
- Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
- Kupunguza malaria kwa kugawa vyandarua vyenye dawa.
- Kupunguza magonjwa yanayosababishwa na maji, magonjwa hayo ni pamoja na kipindupindu na homa ya matumbo.
- %86 miongoni mwa kaya maskini walitumia huduma za vituo vya afya vya serikali
- Utoaji wa dawa za kupunguza makali ya ukimwi bure.
- Utoaji wa tiba ya kifua kikuu na ukoma bure.
- Kutokomeza magonjwa mbalimbali ambayo hapo awali yalikuwa ni kero.
- Kuongeza ajira kwenye sekta ya afya.
- Kujenga miondombinu ya afya.
- HospitaliOcean roard imetangazwa na na tume ya nyuklia duniani kuwa ni mfano hospitali bora ya tiba ya kansa barani Afrika.

Hivi umewahi kutembea kidogo walau nje ya Dar es Salaam? Una uzoefu na maisha ya kijijini wewe? Hizo takwimu unazotoa ziko kisisasa sana. Sasa kwa mie ninayesakanya vijiji kila leo sidhani kama yatakujaingia akilini hayo unayoongea! Umewahi kupata matibabu kwenye "Huduma za afya zilizosogezwa kwa wananchi?"
Acha kupiga porojo za kujifurahisha wakati unajua huna idea na ni vipi watu wanaishi nchi hii. Just get waken up coz the whole Tanzania is not Dar!
 
kama ni wanafunzi mbumbu basi ni pamoja na wewe maana inaonekana huna zaidi ya miaka 15 tangu umalize shule. wewe unapewa data hutaki na kuleta hoja uwezi unabakia kusema tu hazina ubora lete statistics siyo kupiga kelele tu. "Mti wenye matunda ndiyo hupopolewa mawe" CCM ina matunda ya kutosha.


Sasa hapo nimejua naongea na mtu wa aina gani! Kwa kukusaidia tu hiyo miaka 15 unayoota nimekuwa ndani ya ajira. Shule niliyosoma kipindi hicho ungeandika porojo hizo ningekubali lakini siyo leo ambapo elimu ni hopeless.

Kwa taarifa yako hizo "hazina ubora" siyo za kutafuta kwani ndo tunazipitia kila siku. Sasa sijui wewe mwenzangu una mabawa? Unataka takwimu gani hapo? Nakushauri ujifunze kuona aibu japo kidogo tu. Itasaidia kubakiza heshima yako iliyosalia.

Nadhani sioni hata haja ya kuendelea na wewe..
 
Duchi kuna tofauti kubwa kati ya umeme vijijini na umeme shuleni. Watu wangependa kujua wananchi wa Tanzania waishio vijijini ni lini na wao watapata maendeleo ya maji, umeme, huduma za afya na nyinginezo, hasa ukuzingatia nao wamelipa kodi ya maendeleo kwa miaka yote na hamna lolote wanaloona.

Jibu hoja kwa hoja Duchi
Mafanikio kwenye sekta ya Afya:
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika.
Miongoni mwa mafanikio kwenye sekta ya afya ni:
- huduma za afya zimesogezwa karibu wananchi.
- utoaji wa chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali bure na chanjo kuhusu mama na mtoto.
- Kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka 5.
- Huduma ya kinga ya maambukizi ya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto.
- Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
- Kupunguza malaria kwa kugawa vyandarua vyenye dawa.
- Kupunguza magonjwa yanayosababishwa na maji, magonjwa hayo ni pamoja na kipindupindu na homa ya matumbo.
- %86 miongoni mwa kaya maskini walitumia huduma za vituo vya afya vya serikali
- Utoaji wa dawa za kupunguza makali ya ukimwi bure.
- Utoaji wa tiba ya kifua kikuu na ukoma bure.
- Kutokomeza magonjwa mbalimbali ambayo hapo awali yalikuwa ni kero.
- Kuongeza ajira kwenye sekta ya afya.
- Kujenga miondombinu ya afya.
- Hospitali Ocean roard imetangazwa na na tume ya nyuklia duniani kuwa ni mfano hospitali bora ya tiba ya kansa barani Afrika.
kwa kifupi hayo ni mafanikio kwa uchache kwenye sekta ya afya....Sorry hivi sasa naingia kwenye kikao tutawasiliana kesho mungu akipenda kama thread hii itaendelea kuwepo na nitawamwagia mafanikio ya Serikali ya CCM mpaka niwabatize maana "ubaya huondolewa kwa wema" bye




 
Sasa hapo nimejua naongea na mtu wa aina gani! Kwa kukusaidia tu hiyo miaka 15 unayoota nimekuwa ndani ya ajira. Shule niliyosoma kipindi hicho ungeandika porojo hizo ningekubali lakini siyo leo ambapo elimu ni hopeless.

Kwa taarifa yako hizo "hazina ubora" siyo za kutafuta kwani ndo tunazipitia kila siku. Sasa sijui wewe mwenzangu una mabawa? Unataka takwimu gani hapo? Nakushauri ujifunze kuona aibu japo kidogo tu. Itasaidia kubakiza heshima yako iliyosalia.

Nadhani sioni hata haja ya kuendelea na wewe..

sijaota ila ni "circumstantial evidence" inaonyesha ni wa juzi tu, umeleta thread usikimbie "Mwenye kiranga haliliwi wala halaliwi tanga" bye kwa mara nyingine nitaendelea usiku au kesho Mungu akipenda.

 
Mafanikio kwenye sekta ya Afya:
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika.
Miongoni mwa mafanikio kwenye sekta ya afya ni:
- huduma za afya zimesogezwa karibu wananchi.
- utoaji wa chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali bure na chanjo kuhusu mama na mtoto.
- Kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka 5.
- Huduma ya kinga ya maambukizi ya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto.
- Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
- Kupunguza malaria kwa kugawa vyandarua vyenye dawa.
- Kupunguza magonjwa yanayosababishwa na maji, magonjwa hayo ni pamoja na kipindupindu na homa ya matumbo.
- %86 miongoni mwa kaya maskini walitumia huduma za vituo vya afya vya serikali
- Utoaji wa dawa za kupunguza makali ya ukimwi bure.
- Utoaji wa tiba ya kifua kikuu na ukoma bure.
- Kutokomeza magonjwa mbalimbali ambayo hapo awali yalikuwa ni kero.
- Kuongeza ajira kwenye sekta ya afya.
- Kujenga miondombinu ya afya.
- HospitaliOcean roard imetangazwa na na tume ya nyuklia duniani kuwa ni mfano hospitali bora ya tiba ya kansa barani Afrika.
kwa kifupi hayo ni mafanikio kwa uchache kwenye sekta ya afya....Sorry hivi sasa naingia kwenye kikao tutawasiliana kesho mungu akipenda kama thread hii itaendelea kuwepo na nitawamwagia mafanikio ya Serikali ya CCM mpaka niwabatize maana "ubaya huondolewa kwa wema" bye





Kama nilivyosema unakariri too much! hiyo thread uliyokopi na kupest nilishaipatia hoja zake ambazo hujajibia. Sasa pale hoja ya msingi ilipo kuwa umeme vijijini wee unakopi afya.......? naona unaelekea kuchanganyikiwa kiana!..

Any ways... Najua kuitetea serikali inabidi uwe na akili za utata kidogo na roho ngumu. Kikao chema
 
sijaota ila ni "circumstantial evidence" inaonyesha ni wa juzi tu, umeleta thread usikimbie "Mwenye kiranga haliliwi wala halaliwi tanga" bye kwa mara nyingine nitaendelea usiku au kesho Mungu akipenda.


Kuthibitisha una matatizo ya ugumu wa kuelewa na unakariri, umeshindwa hata kuona nimeandika nini! No wonders umeshindwa kujua unajibu nini! No wonders hata hujui nchi hii ikoje!
 
Duchi kuna tofauti kubwa kati ya umeme vijijini na umeme shuleni. Watu wangependa kujua wananchi wa Tanzania waishio vijijini ni lini na wao watapata maendeleo ya maji, umeme, huduma za afya na nyinginezo, hasa ukuzingatia nao wamelipa kodi ya maendeleo kwa miaka yote na hamna lolote wanaloona.

Jibu hoja kwa hoja Duchi
Kabla uhuru uzalishaji wa umeme ulikuwa ni mega wait 8 kutoka chanzo cha old pangani falls lakini hivi sasa tunazalisha mega wait 1500 toka vyanzo mbalimbali hayo ni mafanikio makubwa sana hebu piga hesabu 8 inaingia mara ngapi kwenye 1500? na miradi ya umeme vijijini kwenye mahitaji maalum kupitia REA umeonyeshwa.... "Mzuka usikuzuie kufikiri"

 
Mafaniko ya sekta ya maji:
Kwa kiasi kikubwa sitagusia mafanikio ya maji mijini ila nitaonyesha maeneo mengine ambayo msaada mkubwa katika kutatua kero ya maji vijiji ambayo Serikali ya CCM imefanikisha kwa kuwajali wananchi wake.
-Uwezo wa kuvuna na kuhifadhi maji umeongzeka toka mita ujazo 255,134,282 baada ya uhuru
hadi kufikia
mita ujazo 5,225,633,700 mwaka juzi. Ikubukwe baada ya hapo kuna miradi mingi
imeshaziduliwa

-Serikali imejenga mabwawa makubwa 650 tangu kupata uhuru kati ya hayo mabwawa 20 ni
makubwa zaidi
ambayo yenye uwezo wa kuhifadhi maji zaidi ya mita za ujazo 1,000,000,000
ikubukwe kabla ya uhuru
kulikuwa na 360 tu
-Zaidi ya visima virefu 12,500 vimechimbwa baada ya uhuru
-Miradi mikubwa ya maji ya kitaifa imeanzishwa kama vile umradi wa kahama umeanzishwa kwa
gharama
ya shilingi bilioni 252 fedha zote ni za Serikali ya Tanzania kuna miradi mingine ya kitaifa
kama Handeni trunk main, Mwakigombe, Maswa, Mugango, Kiabakari, Chalinze, Makonde, nk.
-Kupungua kwa upotevu wa maji toka %60 mwaka 1990 hadi kufikia %20 hivia sasa na juhudi za kudhibiti wa maji zinaendelea.
Juhudi za Serikali na mafanikio yako mengi sana kwenye sekta ya maji ili tuweze kufikia lengo lulilojiweke la mwananchi wa kijiji asitembee zaidi ya mita 400 ili kupata maji safi za salama na ili kufikia lengo hilo kuna maeneo mbalimbali yameboreshwa kama vile:
- kuanzishwaji wa ofisi za mabonde ili kuchunga na kuendeleza rasilimali za maji
- vimenzishwa vyombo vya watumiaji maji zaidi ya 700
- uboreshaji wa miundombinu ya maji
- kuendelea kusomesha watalaamu wa maji
- kuanzisha wakala wa uchimbaji wa visima
- kupunguza magugu maji
- utafutaji wa vyanzo vipya vya maji
- utekelezaji wa sera ya maji kwa ujumla
Naomba kwa uchache niishie hapa "mwenye macho haambiwi tazama" CCM ni shagwe 2015
 
Elly B Kweli wewe huoni. Hizo barabara, na mambo mengine Mengi ya maendeleo tunayoyashuhudia umefanya wewe? Tuache ushabiki wa vyama usio endelevu na usio na tija kama huo wako. Siku njema.

Huyu wala hajaleta ushabiki wa kisiasa ila wewe ndo unaleta mahaba kwenye ukweli..unazungumzia barabara zipi hizo zilizochini ya kiwango?Je barabara kuu zikoje..Kigoma -Tabora inapitika muda wote,barabara ya Mtwara -Dar unaijua hali yake zile km 60 tangia mkoloni hadi leo?Mbeya-Rukwa ikoje?Rukwa -Katavi niaje?nimekutolea mifano michache tuu hapo kwa barabara za mikoa .Tukizungumzia za wilaya si ndo majanga?Ustawi wa taifa lolote huinukliwa kwa kiasi kikubwa na miundo mbinu wewe miaka ya uhuru ni mingapi wewe bado unajinyea na mambo ya barabara ambayo yalitakiwa yamekamilika miaka 40 ilopita?Je kuna hospitali ngapi zenye vifaa ,hadhi na ubora kwa wananchi?Kwanini hao unaowasifu wamefanya mabo makubwa wakiugua mafua tu wanakwenda NJE kutibiwa kama wamefanya mazuri ktk sekta ya afya?Ila Mungu si...pamoja na kukimbila nje kwa kodi zetu wanajifia!Kwanini huwa wanasomesha watoto wao NJE au kwenye mashule ya mataifa ya NJE?Hebu ona aibu ndg yangu natamani ningekuona nijue una sura ngapi!Hebu jiulize unashabikia ishu ya barabara mwaka huu mimi nina miaka 33 je ni sawa nikianza kijisifu najua kusoma na kuandika ilhali mtu wa umri wangu yeye anajivunia calculus,kutengeneza ndege,kuweza kutibu nk?Hapo ni sawa na wewe kujisifu eti tuna barabara ila kwa kujua mapungufu yako Elly Amekupeni ushauri kwani pia sisi wenhine tunaamini adui mpende,,


Ni hivi, CCM haina sauti ya kuonyesha wala kusemea chochote ambacho kitaitwa mafanikio ndani ya nchi. Labda kitu pekee ambacho CCM inawezafanya ni kuwa wakweli kwa wananchi wa Tanzania....Kuwa imewadanganya kwa muda mrefu, imewasababishia adha na madhila kwa muda mrefu na imeshindwa kuongoza, hivyo inaomba radhi kwa wananchi wa Tanzania kwa yote hayo na iahidi kutorudia tena, pia iahidi kuachia nchi haraka sana na kwa amani ili wanaoweza waiendeshe mpaka wao watakapojifunza kuwajibishana bila kuangaliana sura, kuwa WAZALENDO NA WAKWELI, ndiyo warudi kuomba ridhaa ya wanachi wa Tanzania tena. Hapo tutakuwa tunaelekea kuelewana kidogo. Vinginevyo mimi naona "ARI ZAIDI, NGUVU ZAIDI NA KASI YA HATARI KUELEKEA KUZIMU YA HAPAHAPA DUNIANI, KAMA CCM HAITAONDOKA MADARAKANI!
 
Back
Top Bottom