CCM Haina Mafanikio ya kuwaonyesha Watanzania Waielewe!

I can see umefika ukomo wa kuelewa kuona na kufikiri! Na nadhani ni muda wa mimi kukuneglect na kushughulika na wenye zao kichwani, na walio serious. Sorry

Hata hivyo nikushukuru kwani pamoja na kukosa point zenye uelekeo umesaidia kuipeleka posti juu hivyo kufanya wengine wazidi kuisoma kila siku. Asante
ok stay away yamekushinda mimi nitaendelea kuiongoza thread hii "Kipofu hamuongozi kipofu wenziwe" kwako wewe walio serious ni wale waounga mkono na kushabikia upuuzi na wala siyo wanaojenga hoja kwa data kwa hilo nimekuelewa. Mimi nitaendelea kumimina mafanikio ya Serikali ya CCM humo na mkome kupotosha watu.

 
ok stay away yamekushinda mimi nitaendelea kuiongoza thread hii "Kipofu hamuongozi kipofu wenziwe" kwako wewe walio serious ni wale waounga mkono na kushabikia upuuzi na wala siyo wanaojenga hoja kwa data kwa hilo nimekuelewa. Mimi nitaendelea kumimina mafanikio ya Serikali ya CCM humo na mkome kupotosha watu.


Yaani kama mtoto wa chekechea anayeshinda kijiweni! Unatia huruma kiaina,..hata busara ya kujieleza umekosa unategemea kueleweka? Wala hukuhitaji hayo matusi na ushabiki wa kitoto kihivyo..ungeweka hoja na kuelewa hoja tu.....wala siyo lazima kujibu topic! ni kama umeelewa au unauliza.....hivi umetathmini majibu yako yote?

Kwangu ningekuona mjanja kama ungekuwa na ubavu wa kurudia thread ya msingi na kukanusha tuhuma kwa data siyo kuongelea ubovu na kudhani umepatia. Otherwise kama hujakanusha CCM reains that way as said.
 
Mi naona hutaki tu kujifikirisha vema! Kwani wakati anatoka ni mashirika mangapi yalikuwepo? Leo unaona mangapi yapo? aliacha viwanda vingapi? we leo unaona vimebaki vingapi? awamu zilizofuatia wamejenga vingapi?

Naweza kukwambia kwa sauti kubwa kabisa kuwa kuwa tatizo kubwa lililomkabili ilikuwa ni upungufu mkubwa wa knolegeable huma resources na funding. Kama umezaliwa kipindi kile utakumbuka jinsi waajiriwa wengi walivyokuwa form four na six! ulitaka wawe na upeo mkubwa kiasi gani?

Pia Mwalimu hakuwa mzuri kwenye kujipendekeza na kuombaomba kila mtu. hasa pale anapoona masharti anayopewa hayana tija kwa nchi au yatadidimiza uchumi! Kwake ilikuwa afadhali kuacha msaada kuliko kuruhusu nchi kuibiwa!

Jilinganishe na CCM na Viongozi wenu. Karibu

mashirika ya umma yaliyobakia aliyoyaacha mengi yalikuwa hahututi yalikuwa yanatia hasara kwa taifa shauri ya ubadhirifu ikabidi mengine yauzwe, na tatizo siyo elimu kama unavyosema kwani kulikuwa na kampuni ya uchukuzi ya mikoa ilihitaji elimu gani kuyaendesha? wakati kuna watu binafsi wala hawana elimu lakini mpaka leo makampuni yao ya usafirishaji yapo. je kukosekana kwa mahitaji muhimu kama sukari,unga,mchele,sabuni,mabati,cement nk. ni kwa ajili ya kukosa elimu? Tukubali kuwa awamu zilizofuata zilifanya kazi kubwa kutuondosha nyuma japokuwa Mwalimu naye kuna kazi kubwa kaifanya.
 
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika. Hii si kauli yangu wala ya CCM.
-hii ni kauli watu wasomi wenye akili duniani.
-hii ni kauli ya watafiti
-hii ni kauli UN
-hii ni akuli watu wasio na majungu
Nyie endeleeni kulowesha magwanda,Serikali ya CCM imefanya vizuri imesifiwa “Chanda chema huvikwa pete”



Nakuunga mkono 100% duchi. kumbe kuna siku zinashika bila chenga? Tanzania ilisifiwa duniani kote. Tukawa na madawa hospitalini tena bure, tukasoma sekondari za kulala tukapewa mlo kamili, tena bure,tukapewa travelling warants tukasafiri toka Musoma mpaka Tukuyu, tukasafiri toka Arusha mpaka Mtwara Naliendele, unanikumbusha mbali duchi, wewe sidhani uliyaona haya ila umeridhika na hizo buku 7 unayopewa kwa kutetea maiti. Yakaingia haya mafisadi, yakaua usafirishaji wa reli, iliyowekwa tangu mjerumani, wakaleta malori yao makuba "Mwanamboka" etc. Ili wapate mshiko mkubwa kwa haraka, wakataifisha ukaguzi wa bandari, ili wajitwalie zao na kupitisha pembe za ndovu wasibughudhiwe, duchi, mwogope Mungu.
Unasema ati tulisifiwa na wasomi, wakati waziri anaenda Ulaya kutibiwa mafua? Wakati bunge linapitisha mabilioni kwa ajili ya kujiandaa kuwatibu viongozi? Wanawadhulumu watu ardhi yao ati "Twataka kupanua Muhumbili"
Mbona mzee Madiba katibiwa huko huko kwao na akapona? Ni yupi hapa kwetu atatibiwa hapo Muhumbili? Mbona tena duchi unavaa miwani ya mbao? Poor duchi, njoo nikufundishe wimbo huu. Haya imba; Tanganyika Tanganyikaaa, nakupenda kwa moyo wote. Mafisadi wanakuibiaaa, wakisema ati wewe ni masikiniiiii.
Sawa sawa!
 
mashirika ya umma yaliyobakia aliyoyaacha mengi yalikuwa hahututi yalikuwa yanatia hasara kwa taifa shauri ya ubadhirifu ikabidi mengine yauzwe, na tatizo siyo elimu kama unavyosema kwani kulikuwa na kampuni ya uchukuzi ya mikoa ilihitaji elimu gani kuyaendesha? wakati kuna watu binafsi wala hawana elimu lakini mpaka leo makampuni yao ya usafirishaji yapo. je kukosekana kwa mahitaji muhimu kama sukari,unga,mchele,sabuni,mabati,cement nk. ni kwa ajili ya kukosa elimu? Tukubali kuwa awamu zilizofuata zilifanya kazi kubwa kutuondosha nyuma japokuwa Mwalimu naye kuna kazi kubwa kaifanya.

Kama unaamini kuna lisislohitaji elimu na kama kuna wengine kama wewe out there then we in a very big trouble! Kwa taarifa yako hata ufungue biashara ya kuuza maandazi elimu ni muhimu, Ingawa itategemea on how you define elimu!

Unaongelea mahitaji muhimu ya sukari/unga/sabuni kuadimika? at least Mwalimu alipiga vita akasaidiwa nawenzie kama Marehemu kijana wa Tanzania, Waziri mkuu, Mzalendo na shujaa Edward Moringe Sokoine. Yeye alipigana! Nyie mnalindana! Mnatia aibu completely. Shame on you.
 
ok stay away yamekushinda mimi nitaendelea kuiongoza thread hii "Kipofu hamuongozi kipofu wenziwe" kwako wewe walio serious ni wale waounga mkono na kushabikia upuuzi na wala siyo wanaojenga hoja kwa data kwa hilo nimekuelewa. Mimi nitaendelea kumimina mafanikio ya Serikali ya CCM humo na mkome kupotosha watu.


Kwani what happened to this promise?
 
Back
Top Bottom