CCM Haina Mafanikio ya kuwaonyesha Watanzania Waielewe!

ccm ijivunie ujangili,wizi,uuzaji unga,ufisadi,bora elimu,kilimo mwisho,kun'goa kucha,kuua raia,kuua viwanda,
 
Baadhi ya mafanikio ya rerikali ya CCM
Mafanikio ya nchi yanapimwa kimataifa na hivi sasa kigezo kikubwa cha kupima maendeleo ya nchi ni malengo ya millennia.

Barabara: mwaka 1961 zilikuwa kilomita 1,300
- baada ya miaka 50 kilomita zilifikia takribani 6,000
- hivi sasa kilomita zimeshafikia 11,000
- mwaka 2015 inakadiliwa kufikia 18,000
- bilioni 450 za barabara ukilinganisha na bilioni 56 miaka 5 iliyopita
- kujenga miundombinu ya barabara.

Elimu: mwaka 1961 chuo kikuu kimoja
- hivi sasa tuna vyuo vikuu zaidi ya 32 tunaongoza wa idadi katika EAC
- miaka 10 iliyopita tulizidiwa idadi ya vyuo vikuu na Kenya na Uganda
- kabla ya utawala wa Kikwete alikuta idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu 40,000
- hivi sasa idadi ya wanafunzi ni 160,000 hii ni mara 4 zaidi
- bajeti ya %24 ya wizara ya elimu ni mikopo kwa wanafunzi hakuna nchi ya EAC iliyotoa kiwango kikubwa cha msaada kwa wananchi wake kama hivi.
- UDOM-Chuo kikuu cha serikali kikubwa zaidi katika EAC kinachukua wanafunzi 40,000 ni idadi ya uwezo wa vyuo vikuu vyote vilivyokuwepo kabla ya serikali ya Kikwete.
- kuna shule za msingi kwenye kila kata.
- Kuongezeka ajira kwenye sekta ya elimu.
- Kujenga miundombinu ya selimu
Haya ni baadhi ya mafanikio machache nimechagua sekta mbili kama mfano lakini mafaniko ni mengi sana.

I appriciate, 2015 CCM ni shangwe! wananchi wenye akili timamu wanataka mambo kama haya na siyo kelele, vurugu na matusi.
 
Baadhi ya mafanikio ya rerikali ya CCM
Mafanikio ya nchi yanapimwa kimataifa na hivi sasa kigezo kikubwa cha kupima maendeleo ya nchi ni malengo ya millennia.

Barabara: mwaka 1961 zilikuwa kilomita 1,300
- baada ya miaka 50 kilomita zilifikia takribani 6,000
- hivi sasa kilomita zimeshafikia 11,000
- mwaka 2015 inakadiliwa kufikia 18,000
- bilioni 450 za barabara ukilinganisha na bilioni 56 miaka 5 iliyopita
- kujenga miundombinu ya barabara.

Elimu: mwaka 1961 chuo kikuu kimoja
- hivi sasa tuna vyuo vikuu zaidi ya 32 tunaongoza wa idadi katika EAC
- miaka 10 iliyopita tulizidiwa idadi ya vyuo vikuu na Kenya na Uganda
- kabla ya utawala wa Kikwete alikuta idadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu 40,000
- hivi sasa idadi ya wanafunzi ni 160,000 hii ni mara 4 zaidi
- bajeti ya %24 ya wizara ya elimu ni mikopo kwa wanafunzi hakuna nchi ya EAC iliyotoa kiwango kikubwa cha msaada kwa wananchi wake kama hivi.
- UDOM-Chuo kikuu cha serikali kikubwa zaidi katika EAC kinachukua wanafunzi 40,000 ni idadi ya uwezo wa vyuo vikuu vyote vilivyokuwepo kabla ya serikali ya Kikwete.
- kuna shule za msingi kwenye kila kata.
- Kuongezeka ajira kwenye sekta ya elimu.
- Kujenga miundombinu ya selimu
Haya ni baadhi ya mafanikio machache nimechagua sekta mbili kama mfano lakini mafaniko ni mengi sana.

Labda ni kweli Duchi......Barabara?....Vyuo?

Mimi bado sikubaliani na wewe! Tatizo siyo barabara zenyewe, tatizo ni barabara hazina viwango tena, wala hazifanani na bajeti inayopitishwa.

Vyuo? Mikopo? Napo naona uozo wa kutosha. hakuna haja ya kujidai kuwa na vyuo kibao wakati elimu inashuka kila siku! vyuo unavyoimba ni vingapi vya serikali? Tubaki na vya seriklai kwanza.. kuna uozo mkubwa wa kulewa madaraka na vyeo kiasi cha wahadhiri kuwa miungu. Rushwa ya ngono na aina zingine za rushwa zimeshika kasi.......
Mikopo bado napo ni mizengwe. Nina ushahidi wa kutosha kuwa wanaokopeshwa ni watoto wa wenye uwezo na siyo masikini, tena kwa asilimia 100!.....Bodi haipitii fomu za maombi wala haijali vigezo. Katika hali hii kuendelea kujivunia kutoa mikopo kwa kiwango kikubwa kuliko nchi zingine wakati mikopo haiwafikii walengwa.......? And by the way what is maana ya vyuo kama elimu inaporomoka wakati nyie mnakomaa na hadithi za " shule zetu ni nzuri" mitihani ikiwa ovyo mna kuja na "kufaulisha kwa lazima" mkiulizwa solution mara " Big Results Now"! Mna tia aibu bana. Na bado unasimama bila haya na kutetea ubovu.Inaboa sana!

Kwangu naona uozo tu siyo mafanikio.Labda kama wewe umeamua kujifanya huoni hayo! Kwa kifupi nilichosema siyo kuwa CCM haijafanya kitu chochote. La hasha!. Nilichosema ni kuwa kiwango cha yaliyofanyika hakina uwiano na gharama, hivyo nisawa na hakuna. Fedha zilizopotea ni nyingi na kilichofanyika ni karibu na hakuna!

Bado hatujaongelea kufeli katika swala zima la utawala bora!
 
Hata teknolojia na mtandao unaomwezesha achati humu upuuzi wake kwenye JF umeletwa na Serikali ya CCM

Naona umegota kupata wazo jipya!. Did it ever occurred to you kufikiria kwamba maisha bila CCM yangekuwaje? Do you think bila CCM hii nchi isingekuwepo? Unadhani bila CCM hali ingekuwa mbaya? Rudia kufikiria upya!

Napenda nikuhakikishie kuwa bila CCM, hasa hii ya kuanzia 1990 kuja huku, hii nchi ingekuwa better off! Na maisha ya wananchi yangekuwa bora. Unaona sifa kuwa na chama fisadi ndugu yangu? Sioni kama ina tija hata kwako.
 
Wape hao mapimbi waelewe. Kazi yao kusema mambo wasiojua. Watolee na data za miradi inayotekeleza kupanua bandari mbalimbali, ununuzi wa meli kwenye maziwa, ujenzi wa viwanja vya ndege, fast ferri dar, na miradi ya umeme.

Labda kiswahili ndiyo tatizo. Au ushabiki umezidi kiasi cha ku-cloud your judgements. Una idea na hiyo miradi jinsi inavyoigharimu hii nchi kwa kutofikia viwango vinavyokusudiwa? Unajua ni kodi kiasi gani imeenda huko na ni nagpi imeingia mifukoni mwa watu binafsi? Unajua kuwa ni madeni kiasi gani nchi hii inadaiwa kwa ajili ya madeni hayo na miradi haifikii malengo? Usiniambie umekuwa kipofu kwa kiwango cha kutoona jinsi barabara zilivyo ovyo! unahitaji picha humu? Fast ferry! Kuna ngapi za serikali? Miradi ya umeme? umeme gani? huu unaokatika kila siku 2? Huu uanokosekana kukinya mvua kwa madai ya mvua ninyingi? au huu unakosekana kiangazi kwa visingizio vya maji yamepungua mtera? Hivi una nini wewe?

Unajisikiaje unapomzungumzia Mtanzania wa kawaida kijijini, ambaye tangu mwaka 1961 amekuwa akilipa kodi zote za maendeleo na mpaka sasa hajui maji anapataje, umeme unafananje, zahanati tu, achilia mbali hospitali, ni tatizo, shule haziwafai lolote, hawana masoko ya mazao yao na wanlanguliwa huku serikali inaangalia tu, barabara bado ni haditha za kusadikika.......ni mengi sana. Hata hapa mjini tu bado utashangaa kuna mitaa kibao hata haijulikani ina barabara au vijia vya aina gani.

Halafu nashangaa unakuja na pumba za aina kama yako za kushabikia upuuzi! Hivi unajua watu wanaishije wewe? au uanafikiri kwamba nchi yote iko kama hapo kwenu? Fungua macho ubadilike! Hiyo nchi unayoishi siyo Tanzania. otherwise na wewe ni miongoni mwa wasiojua shida kwa kuwa ulikulia kwenye familia za wezi wa rasilimali za nchi hii!

Kwani we hizo utopia theories unazitoa wapi? Unaboa sana!
 
Wape hao mapimbi waelewe. Kazi yao kusema mambo wasiojua. Watolee na data za miradi inayotekeleza kupanua bandari mbalimbali, ununuzi wa meli kwenye maziwa, ujenzi wa viwanja vya ndege, fast ferri dar, na miradi ya umeme.

Mkuu sijawahi kutukana Jf ila leo..Ingetokea ila nimesamehe..Mkuu tunazungumzia Taifa na sio vyama..
 
Kama huna masikio ya kusikia wala macho ya kuona utasaidiwaje, acha wanaoyaona wakuonyeshe.!!!

...maendeleo kama kweli yangukuwepo kama ulivyokaririshwa na hao waliokushikia akili sidhani kama kulikuwa na haja ya kutuletea mazingaombwe mengine ya "Bigi Rezati Nao"...anzeni kufunga vilago 2015 hatuna muda wa kuendelea kusikiliza ngonjera zenu ,watanzania wa leo hawadanganyiki tena na hayo maigizo yenu mnayojitahidi kutunga kutwa kucha coz hayana nafasi tena...
 
Elly B nenda kafanye utafiti ndo utajua nachosema. Tatizo lenu nyie mmekalia kulaumu bila kuwa na data. Mbona elimu haiwasaidii nyie? Kama unajua mabilioni yanaingia mifukoni mwa watu unashindwa nini kuwataja sehemu zinazohusika wachukuliwe hatua. Wewe mwenyewe u have failed the nation m.f! Umeshindwa kutimiza wajibu wako unasubiri ufanyiwe. Kazi yako kunywa bia na supu ya kongoro na kiti moto kila siku jioni. This is stupidity, how can a nation make progress kama wasomi wake they are spending their free tym drinking instead of brain storming. Hiyo shule mliyosomeshwa na serikaili ya ccm haiwasaidii kabisa. F.u
 
Elly B nenda kafanye utafiti ndo utajua nachosema. Tatizo lenu nyie mmekalia kulaumu bila kuwa na data. Mbona elimu haiwasaidii nyie? Kama unajua mabilioni yanaingia mifukoni mwa watu unashindwa nini kuwataja sehemu zinazohusika wachukuliwe hatua. Wewe mwenyewe u have failed the nation m.f! Umeshindwa kutimiza wajibu wako unasubiri ufanyiwe. Kazi yako kunywa bia na supu ya kongoro na kiti moto kila siku jioni. This is stupidity, how can a nation make progress kama wasomi wake they are spending their free tym drinking instead of brain storming. Hiyo shule mliyosomeshwa na serikaili ya ccm haiwasaidii kabisa. F.u
 
Labda ni kweli Duchi......Barabara?....Vyuo?

Mimi bado sikubaliani na wewe! Tatizo siyo barabara zenyewe, tatizo ni barabara hazina viwango tena, wala hazifanani na bajeti inayopitishwa.

Vyuo? Mikopo? Napo naona uozo wa kutosha. hakuna haja ya kujidai kuwa na vyuo kibao wakati elimu inashuka kila siku! vyuo unavyoimba ni vingapi vya serikali? Tubaki na vya seriklai kwanza.. kuna uozo mkubwa wa kulewa madaraka na vyeo kiasi cha wahadhiri kuwa miungu. Rushwa ya ngono na aina zingine za rushwa zimeshika kasi.......
Mikopo bado napo ni mizengwe. Nina ushahidi wa kutosha kuwa wanaokopeshwa ni watoto wa wenye uwezo na siyo masikini, tena kwa asilimia 100!.....Bodi haipitii fomu za maombi wala haijali vigezo. Katika hali hii kuendelea kujivunia kutoa mikopo kwa kiwango kikubwa kuliko nchi zingine wakati mikopo haiwafikii walengwa.......? And by the way what is maana ya vyuo kama elimu inaporomoka wakati nyie mnakomaa na hadithi za " shule zetu ni nzuri" mitihani ikiwa ovyo mna kuja na "kufaulisha kwa lazima" mkiulizwa solution mara " Big Results Now"! Mna tia aibu bana. Na bado unasimama bila haya na kutetea ubovu.Inaboa sana!

Kwangu naona uozo tu siyo mafanikio.Labda kama wewe umeamua kujifanya huoni hayo! Kwa kifupi nilichosema siyo kuwa CCM haijafanya kitu chochote. La hasha!. Nilichosema ni kuwa kiwango cha yaliyofanyika hakina uwiano na gharama, hivyo nisawa na hakuna. Fedha zilizopotea ni nyingi na kilichofanyika ni karibu na hakuna!

Bado hatujaongelea kufeli katika swala zima la utawala bora!


-Barabara zilizonjengwa wakati wa miaka 7 ya utawala wa Kikwete inazidi idadi ya miaka yote tangu kupatikana uhuru.

-Vyuo vikuu vilivyoanzishwa kipindi cha miaka 7 ya utawala wa Kikwete inazid idadi ya miaka yote tangu kupatikana uhuru
-Serikali inakusanya
bilioni 450 za barabara ukilinganisha na bilioni 56 miaka 5 iliyopita, hivyo robo tatu ya barabara zinajengwa kwa pesa zetu wenyewe.
- Mafanikio kwenye elimu ya juu inazidi %100 ya wakati tulipopata uhuru.


 
Mafanikio kwenye sekta afya:
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika.
Miongoni mwa mafanikio kwenye sekta ya afya ni:
- huduma za afya zimesogezwa karibu wananchi.
- utoaji wa chanjo za kuzuia magonjwa mbalimbali bure na chanjo kuhusu mama na mtoto.
- Kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka 5.
- Huduma ya kinga ya maambukizi ya ukimwi toka kwa mama mjamzito kwenda kwa mtoto.
- Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.
- Kupunguza malaria kwa kugawa vyandarua vyenye dawa.
- Kupunguza magonjwa yanayosababishwa na maji, magonjwa hayo ni pamoja na kipindupindu na homa ya matumbo.
- %86 miongoni mwa kaya maskini walitumia huduma za vituo vya afya vya serikali
- Utoaji wa dawa za kupunguza makali ya ukimwi bure.
- Utoaji wa tiba ya kifua kikuu na ukoma bure.
- Kutokomeza magonjwa mbalimbali ambayo hapo awali yalikuwa ni kero.
- Kuongeza ajira kwenye sekta ya afya.
- Kujenga miondombinu ya afya.
- Hospitali Ocean roard imetangazwa na na tume ya nyuklia duniani kuwa ni mfano hospitali bora ya tiba ya kansa barani Afrika.
 
Ambagae Ambagae Ambage!

Kwani ni lipi hasa halijaeleweka hapo? Kwamba nimewazushia hayo? Hawajafanya yote? au...mi ndo sikuelewi ndugu yangu. Are you proud na jinsi utawala bora wa nchi ulivyozingatia matumizi ya rasilimali zetu na kodi za Watanzania?
Nashangaa!
matumizi mabaya ya rasilimali ni matokeo ya mapenzi yetu kwa wanasiasa wa nchi hii, tumewageuza miungu watu...........hata kama CCM inatoka coni mabadiliko hasa katika matumizi mabaya ya pesa za umma, tunarusha helcopta badala ya kuwachimbia watu hata barabara za changalawe kwa ajili ya manufaa ya kisiasa.............tunafukuza na kupaka matope wanasiasa wenye muelekeo chanya kisa hawaendani na matakwa ya vyama vyenyewe, upendeleo umejaa katika nafac za uongozi kwa vyama vya nchi hii, propaganda, kupakana matope ndio msingi wa vyama vyetu, kupokea misaada kutoka kwa wenye nazo kumekithiri.........mi binafsi cioni mabadiliko chanya if our political system remains the same even after ccm is out of the game........
Watanzania tukumbuke kwamba, adui wa nchi hii siyo ccm na mkombozi wa nchi hii cyo chadema ama vyama vingine vya siasa, bali adui na mkombozi wa nchi yetu ni sisi wenyewe, tufanye maamuzi sahihi, kwa wakati sahihi, mahali sahihi na kwa watu sahihi kila wakati, ikumbuke tanzania kila ulipo........ukumbuke na uthamini utanzania wako kwa akili zako zote, kwa uwezo wako wote na kwa nguvu zako zote. Tuache huba,kujuana, kuoneana aibu na maovu mengine....thnx
 
Mafanikio kwenye sekta ya nishati ya umeme:
- hivi sasa kuna uzalishaji wa mega wait 1500 za uhakika ndiyo maana hakuna mgao wa umeme kama inatokea basi inakuwa sababu ya dharura ya hitilafu.
- 2015 baada ya bomba la gesi kukamilika inakadiriwa kufikia uzalishaji mega wait 3000 na zaidi
- Kuna mradi wa umeme vijijini, huu kwa kiasi kikubwa ni umeme wa kutumia nguvu ya jua. Hivi sasa awamu ya kwanza ya mradi huu imeshamalizika na unaingia kwenye awamu ya pili utakao gharimu takribani shilingi bilioni 850 utakaofika mikoa yote 24 ya Tanzania bara na asilimia karibu 80 ya fedha hizo zitatolewa na Serikali yetu, hii na hatua kubwa sana kufikiwa katika nchi ya EAC
- kuongezeka ajira kwenye sekta ya nishati ya umeme.
- Kujenga miundombinu ya nishati ya umeme.
Haya ni baadhi ya mafanikio machache tu lakini makubwa ambayo nimechahgua kuyaonyesha lakini kuna mengi sana.

 
Mafanikio kwenye sekta ya nishati ya umeme:
- hivi sasa kuna uzalishaji wa mega wait 1500 za uhakika ndiyo maana hakuna mgao wa umeme kama inatokea basi inakuwa sababu ya dharura ya hitilafu.
- 2015 baada ya bomba la gesi kukamilika inakadiriwa kufikia uzalishaji mega wait 3000 na zaidi
- Kuna mradi wa umeme vijijini, huu kwa kiasi kikubwa ni umeme wa kutumia nguvu ya jua. Hivi sasa awamu ya kwanza ya mradi huu imeshamalizika na unaingia kwenye awamu ya pili utakao gharimu takribani shilingi bilioni 850 utakaofika mikoa yote 24 ya Tanzania bara na asilimia karibu 80 ya fedha hizo zitatolewa na Serikali yetu, hii na hatua kubwa sana kufikiwa katika nchi ya EAC
- kuongezeka ajira kwenye sekta ya nishati ya umeme.
- Kujenga miundombinu ya nishati ya umeme.
Haya ni baadhi ya mafanikio machache tu lakini makubwa ambayo nimechahgua kuyaonyesha lakini kuna mengi sana.

unaweza ukavitaja hivyo vijiji na mikoa au wilaya vilivyoko ili wasomaji waache kubeza ccm?
 
unaweza ukavitaja hivyo vijiji na mikoa au wilaya vilivyoko ili wasomaji waache kubeza ccm?

Duh! hii nayo ni kali si akitaja vijiji zitakuwa ni zaidi ya kurasa kumi? huu ni ubishi usiokuwa na maana kwani mabarabara pia yanaonekana na wanapita juu yake lakini watu bado hawakubali kama ni mafanikio, akisema vyuo vikuu 32 navyo aambiwe vitaje majina wakati vipo? akisema huduma ya afya msingi iko mpaka kwenye tarafa adaiwe taja tarafa ndiyo waamini? akisema shule za msingi ziko kila kata ambiwe taja hizo kata? huu utakuwa ni ubishi wa kibavicha
 
Duh! hii nayo ni kali si akitaja vijiji zitakuwa ni zaidi ya kurasa kumi? huu ni ubishi usiokuwa na maana kwani mabarabara pia yanaonekana na wanapita juu yake lakini watu bado hawakubali kama ni mafanikio, akisema vyuo vikuu 32 navyo aambiwe vitaje majina wakati vipo? akisema huduma ya afya msingi iko mpaka kwenye tarafa adaiwe taja tarafa ndiyo waamini? akisema shule za msingi ziko kila kata ambiwe taja hizo kata? huu utakuwa ni ubishi wa kibavicha
teh! teh! teh! teh! mkuu umesema kweli! vishatajwa vijiji watadai pia ziletwe picha ya hivyo vijiji hapa jamvi ili watu waamini teh! teh! teh!!!!!
 
Duh! hii nayo ni kali si akitaja vijiji zitakuwa ni zaidi ya kurasa kumi? huu ni ubishi usiokuwa na maana kwani mabarabara pia yanaonekana na wanapita juu yake lakini watu bado hawakubali kama ni mafanikio, akisema vyuo vikuu 32 navyo aambiwe vitaje majina wakati vipo? akisema huduma ya afya msingi iko mpaka kwenye tarafa adaiwe taja tarafa ndiyo waamini? akisema shule za msingi ziko kila kata ambiwe taja hizo kata? huu utakuwa ni ubishi wa kibavicha

barabara zipo zinaonekana hilo halina ubishi. Vijiji vilivyonufaika na mradi wa umeme wa vijijini havipo tusidanganyane. Kama vipo vitaje hata vitano
 
Back
Top Bottom