CCM Haina Mafanikio ya kuwaonyesha Watanzania Waielewe!

“Taswira nzuri inajengwa kwa gharama na siyo kelele, vurugu wala matusi” umegeuka kuwa kampuni ya viwango? nyie pigeni kelele Serikali ya CCM inapiga kazi.

Kazi ipi ambayo CCM inapiga?Ile ya kusaidia kuiba na kusafirisha twiga?Au ile ya kulinda wauza dawa za kulevya?Au unaongelea ile ya kubaka wake za watu kule Mtwara?Aah utakuwa unaongelea ile ya kumuua Mwangosi?Nimekumbuka unamaanisha ile ya kuvunja katiba kwa kusema watanzania 'wapigwe tu' kwa kuwa wana mawazo tofauti na wao?
Aaaagh!Kama ndo kazi unazomaanisha hizo,basi wewe una MAHABA ya KIUWENDAWAZIMU!
Kaozee mbali na UOZO Wako CCM!
 
“Taswira nzuri inajengwa kwa gharama na siyo kelele, vurugu wala matusi” umegeuka kuwa kampuni ya viwango? nyie pigeni kelele Serikali ya CCM inapiga kazi.

Kazi ipi ambayo CCM inapiga?Ile ya kusaidia kuiba na kusafirisha twiga?Au ile ya kulinda wauza dawa za kulevya?Au unaongelea ile ya kubaka wake za watu kule Mtwara?Aah utakuwa unaongelea ile ya kumuua Mwangosi?Nimekumbuka unamaanisha ile ya kuvunja katiba kwa kusema watanzania 'wapigwe tu' kwa kuwa wana mawazo tofauti na wao?
Aaaagh!Kama ndo kazi unazomaanisha hizo,basi wewe una MAHABA ya KIUWENDAWAZIMU!
Kaozee mbali na UOZO Wako CCM!
 
Kazi ipi ambayo CCM inapiga?Ile ya kusaidia kuiba na kusafirisha twiga?Au ile ya kulinda wauza dawa za kulevya?Au unaongelea ile ya kubaka wake za watu kule Mtwara?Aah utakuwa unaongelea ile ya kumuua Mwangosi?Nimekumbuka unamaanisha ile ya kuvunja katiba kwa kusema watanzania 'wapigwe tu' kwa kuwa wana mawazo tofauti na wao?
Aaaagh!Kama ndo kazi unazomaanisha hizo,basi wewe una MAHABA ya KIUWENDAWAZIMU!
Kaozee mbali na UOZO Wako CCM!

Angalia hoja nilizotoa hapo awali kuhusu elimu, afya, nishati ya umeme, maji, barabara n.k.... pagua basi hizo hoja siyo kujambajamba mdomoni tu wananchi wanataka kuona maendeleo siyo kulowesha wagwanda kwa makelele "debe tupu haliachi kutika"
 
Kabla uhuru uzalishaji wa umeme ulikuwa ni mega wait 8 kutoka chanzo cha old pangani falls lakini hivi sasa tunazalisha mega wait 1500 toka vyanzo mbalimbali hayo ni mafanikio makubwa sana hebu piga hesabu 8 inaingia mara ngapi kwenye 1500? na miradi ya umeme vijijini kwenye mahitaji maalum kupitia REA umeonyeshwa.... “Mzuka usikuzuie kufikiri”

Mkuu ngoja niwasaidie 1500 gawanya kwa 8 = 187.... mkuu ina maana uzalishaji umeme umezidi mara 187 tangu tupate uhuru? wakati ongezeko la idadi ya watu nchini ni mara 5 tu. lakini mkuu ukiwapa data wanatoa sababu nyingine kuwa hakuna ubora je umeme nao watasema hauna ubora?
 
Angalia hoja nilizotoa hapo awali kuhusu elimu, afya, nishati ya umeme, maji, barabara n.k.... pagua basi hizo hoja siyo kujambajamba mdomoni tu wananchi wanataka kuona maendeleo siyo kulowesha wagwanda kwa makelele "debe tupu haliachi kutika"
teh! teh! teh! teh! mkuu wameshikwa na uharo wamekimbia wameingia mitini hawataonekana hapa leo hali ya hewa imechafuka. ccm juu!

 
Mafaniko ya sekta ya maji:
Kwa kiasi kikubwa sitagusia mafanikio ya maji mijini ila nitaonyesha maeneo mengine ambayo msaada mkubwa katika kutatua kero ya maji vijiji ambayo Serikali ya CCM imefanikisha kwa kuwajali wananchi wake.
-Uwezo wa kuvuna na kuhifadhi maji umeongzeka toka mita ujazo 255,134,282 baada ya uhuru
hadi kufikia
mita ujazo 5,225,633,700 mwaka juzi. Ikubukwe baada ya hapo kuna miradi mingi
imeshaziduliwa

-Serikali imejenga mabwawa makubwa 650 tangu kupata uhuru kati ya hayo mabwawa 20 ni
makubwa zaidi
ambayo yenye uwezo wa kuhifadhi maji zaidi ya mita za ujazo 1,000,000,000
ikubukwe kabla ya uhuru
kulikuwa na 360 tu
-Zaidi ya visima virefu 12,500 vimechimbwa baada ya uhuru
-Miradi mikubwa ya maji ya kitaifa imeanzishwa kama vile umradi wa kahama umeanzishwa kwa
gharama
ya shilingi bilioni 252 fedha zote ni za Serikali ya Tanzania kuna miradi mingine ya kitaifa
kama Handeni trunk main, Mwakigombe, Maswa, Mugango, Kiabakari, Chalinze, Makonde, nk.
-Kupungua kwa upotevu wa maji toka %60 mwaka 1990 hadi kufikia %20 hivia sasa na juhudi za kudhibiti wa maji zinaendelea.
Juhudi za Serikali na mafanikio yako mengi sana kwenye sekta ya maji ili tuweze kufikia lengo lulilojiweke la mwananchi wa kijiji asitembee zaidi ya mita 400 ili kupata maji safi za salama na ili kufikia lengo hilo kuna maeneo mbalimbali yameboreshwa kama vile:
- kuanzishwaji wa ofisi za mabonde ili kuchunga na kuendeleza rasilimali za maji
- vimenzishwa vyombo vya watumiaji maji zaidi ya 700
- uboreshaji wa miundombinu ya maji
- kuendelea kusomesha watalaamu wa maji
- kuanzisha wakala wa uchimbaji wa visima
- kupunguza magugu maji
- utafutaji wa vyanzo vipya vya maji
- utekelezaji wa sera ya maji kwa ujumla
Naomba kwa uchache niishie hapa “mwenye macho haambiwi tazama” CCM ni shagwe 2015

Huu mziki mnene !
 
Exactly my dear!

na ndiyo nikasema sioni CCM wana ubavu wa kusimama na kuonyesha nini kwa wananchi ili waeleweke! sioni kama wana sauti bila haya kusimama na kongea mafanikio ndani ya Tanzania (labda wawe na akili za wendawazimu)
Hakuna karata wala kete. Hii nchi imewashinda na ni wazi wameshachoka. They should just apologise and go peacefully watuache siye tujitibu manundu yetu na tuangalie mustakabali wa taifa letu kesho kwa ajili ya watoto wetu na wajukuu. Though wakirudisha walivyoiba itakuwa ni ishara ya nia ya dhati ya kutubia wizi..., sisi (kama wananchi) utafurahi na kuwapongeza bila kusahau kuwawajibisha at the same time.

I was just waiting hapo kuwa, LAZIMA tutawawajibisha. Haiwezekani kuiba, ukatumie mwenyewe huko, urudishe kimyakimya. Hiyo siyo toba. Rudisha, na uwajibike. Mtu unajipangia mradi wako mwenyewe na kujipa tenda mwenyewe na kujilipa mwenyewe ati kisa umebadili jina tu.
uncle Deo naona anaweweseka tu.
Barabara, kabla haijakabidhiwa wahusika, imeshabomoka mpaka magari yanangojana kupita, Jina la TZ sasa ni nuksi kulitaja huko ughaibuni, kisa watoto wetu wamekamatwa huko, "Mapunda" ya wakubwa kubebea mizigo, Waziri mzima anafoka mate yanaharibu vipaaza sauti ati kila mbunge ni mchafu. Mtawajibika tuu hata miaka 100 ijayo.
 
Kabla uhuru uzalishaji wa umeme ulikuwa ni mega wait 8 kutoka chanzo cha old pangani falls lakini hivi sasa tunazalisha mega wait 1500 toka vyanzo mbalimbali hayo ni mafanikio makubwa sana hebu piga hesabu 8 inaingia mara ngapi kwenye 1500? na miradi ya umeme vijijini kwenye mahitaji maalum kupitia REA umeonyeshwa.... “Mzuka usikuzuie kufikiri”



Duchi karudie kusoma thread ya msingi uielewe! Vinginevyo ambacho huelewi ni ni kuwa CCM siyo tatizo. Tatizo ni tabia za wana CCM. CCM ya Mwalimu na kina Kawawa hata mi ningekuwa mfuasi. CCM yenu hapana. Kipindi cha Mwalimu wahujumu na walarushwa walishughulikilwa hadharani bila aibu. Sasa Mafisadi wanaombwa warudishe hela tu wana walk free! Rushwa ndiyo kama kawaida.

Kwa maana hiyo kama unaelewa kiswahili nilichoandika kwenye thread ya msingi ni kuwa chochote ambacho serikali ya CCM imefanya hakiko katika kiwango ambacho kingetakiwa kuwa kama CCM hii ingekuwa ile ya viwango vya Zamani.

Kwa hiyo spare me some data/statistics ....kwa sababu kama umetengeneza barabara imekufa hata kabla ya kuwa commissioned wakati kuna barabara za tangu awamu ya kwanza zinadunda mpaka sasa hiyo ni nini? ndiyo mafanikio kwenu? That is what we call matumizi ovyo ya fedha za kodi na hiyo ni sababu ya rushwa kukithiri. Na kama hele imetumika na barabara hakuna unategemea pongezi wewe ni mgonjwa mya dear. Mfano huo kaulinaganishe na kwenye elimu na afya.

Nadhani nimekuongelesha lugha za nursery kama hujaelewa hutaelewa tena!
 
I was just waiting hapo kuwa, LAZIMA tutawawajibisha. Haiwezekani kuiba, ukatumie mwenyewe huko, urudishe kimyakimya. Hiyo siyo toba. Rudisha, na uwajibike. Mtu unajipangia mradi wako mwenyewe na kujipa tenda mwenyewe na kujilipa mwenyewe ati kisa umebadili jina tu.
uncle Deo naona anaweweseka tu.
Barabara, kabla haijakabidhiwa wahusika, imeshabomoka mpaka magari yanangojana kupita, Jina la TZ sasa ni nuksi kulitaja huko ughaibuni, kisa watoto wetu wamekamatwa huko, "Mapunda" ya wakubwa kubebea mizigo, Waziri mzima anafoka mate yanaharibu vipaaza sauti ati kila mbunge ni mchafu. Mtawajibika tuu hata miaka 100 ijayo.

Mpe ushauri na Duchi
 
teh! teh! teh! teh! mkuu wameshikwa na uharo wamekimbia wameingia mitini hawataonekana hapa leo hali ya hewa imechafuka. ccm juu!


THINK OUTSIDE THE BOX!
JF is not the only thing that needs to be done! Grow up a little, will you?
 
Angalia hoja nilizotoa hapo awali kuhusu elimu, afya, nishati ya umeme, maji, barabara n.k.... pagua basi hizo hoja siyo kujambajamba mdomoni tu wananchi wanataka kuona maendeleo siyo kulowesha wagwanda kwa makelele "debe tupu haliachi kutika"

Kweli kama kuna mtu anayeweza kukuelewa usemayo basi dunia imekwisha. Tunahitaji hospitali nyingi za vichaa. duchi, kama ccm ingeokota nusu tu ya kodi yoote ya madini, hospitali zingekuwa za rufaa kweli kweli, mtu asingepelekwa India kwa matibabu ya sukari. Hivi duchi, nikuulize wewe unayesema ati hawa makamanda wa gwanda wanalowesha magwanda, umewahi hata kupita Hospitali ya Muhumbili pale Sewahaji? wewe unaona ni sawa wagonjwa wanavyo lala mzungu four? Tena chini? Hujawahi hata kuuguliwa wewe? Kweli vichaa ni wengi. Hujawahi hata kusikia hadithi tu ya hiyo wanayosema ni sekondari ya kata? Shule watoto 800 waalimu 2??? We kweli sii sii eem! sii sii eem Oyee sema Oyee. Zidumu fikra sahihi za mkuu sema Zidumu. Anzisha shule kila kata, watoto woote waende sekondari. Wazo sahihi hilo. Lidumu. Waalimu, tutawapata huko huko. Mtoto anamaliza form 4 hajui kuandika jina lake. Yaani, aliibiwa hata ile elimu ya darasa la 7. Kweli sii sii eem itatuonyesha mafanikio makubwa. Ndo hayo? Yes this is "Big Results Now." Tumeyaona Tumeyakubali. Tunasonga mbele. 2015 is just very near. Kwa heri
 
Duchi karudie kusoma thread ya msingi uielewe! Vinginevyo ambacho huelewi ni ni kuwa CCM siyo tatizo. Tatizo ni tabia za wana CCM. CCM ya Mwalimu na kina Kawawa hata mi ningekuwa mfuasi. CCM yenu hapana. Kipindi cha Mwalimu wahujumu na walarushwa walishughulikilwa hadharani bila aibu. Sasa Mafisadi wanaombwa warudishe hela tu wana walk free! Rushwa ndiyo kama kawaida.

Kwa maana hiyo kama unaelewa kiswahili nilichoandika kwenye thread ya msingi ni kuwa chochote ambacho serikali ya CCM imefanya hakiko katika kiwango ambacho kingetakiwa kuwa kama CCM hii ingekuwa ile ya viwango vya Zamani.

Kwa hiyo spare me some data/statistics ....kwa sababu kama umetengeneza barabara imekufa hata kabla ya kuwa commissioned wakati kuna barabara za tangu awamu ya kwanza zinadunda mpaka sasa hiyo ni nini? ndiyo mafanikio kwenu? That is what we call matumizi ovyo ya fedha za kodi na hiyo ni sababu ya rushwa kukithiri. Na kama hele imetumika na barabara hakuna unategemea pongezi wewe ni mgonjwa mya dear. Mfano huo kaulinaganishe na kwenye elimu na afya.

Nadhani nimekuongelesha lugha za nursery kama hujaelewa hutaelewa tena!
mimi naleta hoja na data mwanzangu mbona data hakuna ila porojo tu? ebu ngoja nikupeleke shule sema barabara fulani tangu awamu ya kwanza ilijengwa ni nzima lakini barabara fulani ya awamu ya nne imejengwa mbovu imeshaharibika, nilipotoa mafanikio ya maji kuna mchangiaji mmoja alisema nyie hata maji mtasema pia hayana ubora. hizo ni nyimbo za magwanda kwenye majukwaa mna-rewind cassete recorder hakuna jipya. "mahala pakichukiwa huzuka kila mazuo" huo wote ni uzushi na uzandiki, nyie tokeni povu mdomoni sisi tunapiga kazi tunasonga mbele.



 
Kweli kama kuna mtu anayeweza kukuelewa usemayo basi dunia imekwisha. Tunahitaji hospitali nyingi za vichaa. duchi, kama ccm ingeokota nusu tu ya kodi yoote ya madini, hospitali zingekuwa za rufaa kweli kweli, mtu asingepelekwa India kwa matibabu ya sukari. Hivi duchi, nikuulize wewe unayesema ati hawa makamanda wa gwanda wanalowesha magwanda, umewahi hata kupita Hospitali ya Muhumbili pale Sewahaji? wewe unaona ni sawa wagonjwa wanavyo lala mzungu four? Tena chini? Hujawahi hata kuuguliwa wewe? Kweli vichaa ni wengi. Hujawahi hata kusikia hadithi tu ya hiyo wanayosema ni sekondari ya kata? Shule watoto 800 waalimu 2??? We kweli sii sii eem! sii sii eem Oyee sema Oyee. Zidumu fikra sahihi za mkuu sema Zidumu. Anzisha shule kila kata, watoto woote waende sekondari. Wazo sahihi hilo. Lidumu. Waalimu, tutawapata huko huko. Mtoto anamaliza form 4 hajui kuandika jina lake. Yaani, aliibiwa hata ile elimu ya darasa la 7. Kweli sii sii eem itatuonyesha mafanikio makubwa. Ndo hayo? Yes this is "Big Results Now." Tumeyaona Tumeyakubali. Tunasonga mbele. 2015 is just very near. Kwa heri
Tanzania ni mojawapo ya nchi duniani ambayo ilitekeleza huduma za afya ya msingi kwa mafanikio makubwa sana baada ya uhuru, hii ni kauli ya Rais wa baraza kuu la 65 la UN mwaka 2011 Bw. Joseph Deiss alisema Tanzania ni nchi ya kupigiwa mfano barani Afrika. Hii si kauli yangu wala ya CCM.
-hii ni kauli watu wasomi wenye akili duniani.
-hii ni kauli ya watafiti
-hii ni kauli UN
-hii ni akuli watu wasio na majungu
Nyie endeleeni kulowesha magwanda,Serikali ya CCM imefanya vizuri imesifiwa "Chanda chema huvikwa pete"


 
mimi naleta hoja na data mwanzangu mbona data hakuna ila porojo tu? ebu ngoja nikupeleke shule sema barabara fulani tangu awamu ya kwanza ilijengwa ni nzima lakini barabara fulani ya awamu ya nne imejengwa mbovu imeshaharibika, nilipotoa mafanikio ya maji kuna mchangiaji mmoja alisema nyie hata maji mtasema pia hayana ubora. hizo ni nyimbo za magwanda kwenye majukwaa mna-rewind cassete recorder hakuna jipya. "mahala pakichukiwa huzuka kila mazuo" huo wote ni uzushi na uzandiki, nyie tokeni povu mdomoni sisi tunapiga kazi tunasonga mbele.




Duchi tumia akili yako kufikiri! Unataka data ya barabara mbovu hapa? Kwamba we unaishi wapi? huna macho? Ndiyo maana nikasema unakariri na wala huijui hii nchi. otherwise usingekaa unadai data data data wakati barabara ziko mitaani na zinatumika kila siku! We unaposikia barabara huwa unaffikiria barabara ipi hiyo uliyokariri?
 
Duchi tumia akili yako kufikiri! Unataka data ya barabara mbovu hapa? Kwamba we unaishi wapi? huna macho? Ndiyo maana nikasema unakariri na wala huijui hii nchi. otherwise usingekaa unadai data data data wakati barabara ziko mitaani na zinatumika kila siku! We unaposikia barabara huwa unaffikiria barabara ipi hiyo uliyokariri?
"njia ya muongo fupi" ni porojo tu huna data...watanzania wanakula raha hivi sasa hakuna eneo lolote Tanzania unaloweza kufika kwa kutumia zaidi ya siku moja kwa sababu ya barabara ila sababu ya umbali. CCM oye!
 
"njia ya muongo fupi" ni porojo tu huna data...watanzania wanakula raha hivi sasa hakuna eneo lolote Tanzania unaloweza kufika kwa kutumia zaidi ya siku moja kwa sababu ya barabara ila sababu ya umbali. CCM oye!

I can see umefika ukomo wa kuelewa kuona na kufikiri! Na nadhani ni muda wa mimi kukuneglect na kushughulika na wenye zao kichwani, na walio serious. Sorry

Hata hivyo nikushukuru kwani pamoja na kukosa point zenye uelekeo umesaidia kuipeleka posti juu hivyo kufanya wengine wazidi kuisoma kila siku. Asante
 
Duchi karudie kusoma thread ya msingi uielewe! Vinginevyo ambacho huelewi ni ni kuwa CCM siyo tatizo. Tatizo ni tabia za wana CCM. CCM ya Mwalimu na kina Kawawa hata mi ningekuwa mfuasi. CCM yenu hapana. Kipindi cha Mwalimu wahujumu na walarushwa walishughulikilwa hadharani bila aibu. Sasa Mafisadi wanaombwa warudishe hela tu wana walk free! Rushwa ndiyo kama kawaida.
jamani mbona mashirika mengi ya umma yalikufa au alifilisika wakati wa Mwalimu huyohuyo ni mafisadi gani walishughulikiwa?

Kwa maana hiyo kama unaelewa kiswahili nilichoandika kwenye thread ya msingi ni kuwa chochote ambacho serikali ya CCM imefanya hakiko katika kiwango ambacho kingetakiwa kuwa kama CCM hii ingekuwa ile ya viwango vya Zamani.
sasa kuna faida gani ya kuwa kiwango kisha watu wanatumia siku tatu mpaka nne mpaka wiki barabarani?

 
sasa kuna faida gani ya kuwa kiwango kisha watu wanatumia siku tatu mpaka nne mpaka wiki barabarani?


Nafurahi hujasema mashirika yote ya umma yalikufa kipindi cha mwalimu. Kwa Taarifa yako mimi Mwalimu I do not hold him responsible in anything. Kwa sababu kwanza kujitwisha Li Tanzania kutoka kuwa Mwalimu, hasa ukizingatia handing over amefanyiwa na wakoloni, mimi naona amejitahidi sana. Nilitegemea waliofuata waige mema na kuepuka makosa. What happened? wameongeza makosa mema yanzidi kuadimika!

Kwa kukusaidia tu Nyerere alikuwa na sauti ya kukemea na alikuwa na uwezo wa kumchukulia hatua yeyote ikiwemo kuwalazimisha kujiuzulu. Ushahidi upo, mifano ipo! Niambie nini kimewapata CCM sasa mpaka mnakalia kusema ni kina Chenge, Rostam Lowassa, wtoke wenyewe, magamba, tutawafukuza........ na hakuna lililofanyika? Oneni aibu kujilinganisha na mwanaume yule.

Viwango ninavyozungumzia ninavilinganisha na thamani ya fedha zinazopotea kila siku kwa visingizio vya maendeleo wakati maendeleo hayaonekani! Huwezi ukasema unatumia milion kumi kujenga nyuma ambayo wengine wanajenga kwa milioni tatu halafu unajigamba kuna maendeleo! Maendeleo gani kama nyumba inajidondokea yenyewe baada ya miezi nane?

Mimi ninaamini kama mwalimu angekuwa hai leo asingekuwa mwanaCCM!
 
Nafurahi hujasema mashirika yote ya umma yalikufa kipindi cha mwalimu. Kwa Taarifa yako mimi Mwalimu I do not hold him responsible in anything. Kwa sababu kwanza kujitwisha Li Tanzania kutoka kuwa Mwalimu, hasa ukizingatia handing over amefanyiwa na wakoloni, mimi naona amejitahidi sana. Nilitegemea waliofuata waige mema na kuepuka makosa. What happened? wameongeza makosa mema yanzidi kuadimika!

Kwa kukusaidia tu Nyerere alikuwa na sauti ya kukemea na alikuwa na uwezo wa kumchukulia hatua yeyote ikiwemo kuwalazimisha kujiuzulu. Ushahidi upo, mifano ipo! Niambie nini kimewapata CCM sasa mpaka mnakalia kusema ni kina Chenge, Rostam Lowassa, wtoke wenyewe, magamba, tutawafukuza........ na hakuna lililofanyika? Oneni aibu kujilinganisha na mwanaume yule.

Viwango ninavyozungumzia ninavilinganisha na thamani ya fedha zinazopotea kila siku kwa visingizio vya maendeleo wakati maendeleo hayaonekani! Huwezi ukasema unatumia milion kumi kujenga nyuma ambayo wengine wanajenga kwa milioni tatu halafu unajigamba kuna maendeleo! Maendeleo gani kama nyumba inajidondokea yenyewe baada ya miezi nane?

Mimi ninaamini kama mwalimu angekuwa hai leo asingekuwa mwanaCCM!

kunafaida gani ukemeaji wake ilhali mashirika yamekufa kwenye utawala wake? na huo ukali wake wepi waliochukuliwa hatua? hivi ni mtanzania gani wa leo atakuelewa umrudishe zile enzi kukaa foleni kusubiri mahitaji muhimu hata unga,sabuni na sukari? kukaa wiki barabarani kwa shida barabara mbovu? acheni kasumba zetu hii ni sawa na kuabudu sanamu wakati haliongei.
 
kunafaida gani ukemeaji wake ilhali mashirika yamekufa kwenye utawala wake? na huo ukali wake wepi waliochukuliwa hatua? hivi ni mtanzania gani wa leo atakuelewa umrudishe zile enzi kukaa foleni kusubiri mahitaji muhimu hata unga,sabuni na sukari? kukaa wiki barabarani kwa shida barabara mbovu? acheni kasumba zetu hii ni sawa na kuabudu sanamu wakati haliongei.


Mi naona hutaki tu kujifikirisha vema! Kwani wakati anatoka ni mashirika mangapi yalikuwepo? Leo unaona mangapi yapo? aliacha viwanda vingapi? we leo unaona vimebaki vingapi? awamu zilizofuatia wamejenga vingapi?

Naweza kukwambia kwa sauti kubwa kabisa kuwa kuwa tatizo kubwa lililomkabili ilikuwa ni upungufu mkubwa wa knolegeable huma resources na funding. Kama umezaliwa kipindi kile utakumbuka jinsi waajiriwa wengi walivyokuwa form four na six! ulitaka wawe na upeo mkubwa kiasi gani?

Pia Mwalimu hakuwa mzuri kwenye kujipendekeza na kuombaomba kila mtu. hasa pale anapoona masharti anayopewa hayana tija kwa nchi au yatadidimiza uchumi! Kwake ilikuwa afadhali kuacha msaada kuliko kuruhusu nchi kuibiwa!

Jilinganishe na CCM na Viongozi wenu. Karibu
 
Back
Top Bottom