Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 45
Siku nyingi nyuma, nilisema hapa kuwa CCM si Chama Cha Mapinduzi bali ni Chama Cha Mafisadi. Nikaambiwa kwamba nazungumza lugha mbaya na watu kama FMES wakanijia juu sana. Asha nikaonekana mzabinazabina tu. Lakini leo naona hoja ya CCM kuwa Chama Cha Mafisadi imeshika ari, nguvu na kasi mpya. Jamani sasa hiki chama tukiite mahali kote kuwa ni "Chama Cha Mafisadi"; anayebisha atoe hoja
-Mwenyekiti wa CCM yuko kwenye orodha ya mafisadi.
-Katibu Mkuu amekuwa akihongwa na kumkumbatia fisadi Manji
-Mjumbe senior kwenye kamati ya Maadili bwana Chenge amedhihirika ni fisadi.
-Wajumbe wa Kamati Kuu wakina Mkapa, Rostam nk ni mafisadi
-CCM imepata ushindi mwaka 2005 kwa fedha za ufisadi na kuwafanyia ufisadi wananchi kwa kuwahonga mavazi na fedha
-Serikali ya CCM inaendeshwa kwa ufisadi
Asha
-Mwenyekiti wa CCM yuko kwenye orodha ya mafisadi.
-Katibu Mkuu amekuwa akihongwa na kumkumbatia fisadi Manji
-Mjumbe senior kwenye kamati ya Maadili bwana Chenge amedhihirika ni fisadi.
-Wajumbe wa Kamati Kuu wakina Mkapa, Rostam nk ni mafisadi
-CCM imepata ushindi mwaka 2005 kwa fedha za ufisadi na kuwafanyia ufisadi wananchi kwa kuwahonga mavazi na fedha
-Serikali ya CCM inaendeshwa kwa ufisadi
Asha