Jamco,
Hii inajulikana wapi??
tusipende kujumisha mambo,eti kwa kuangilia manji na mtu flani,kwani wao ndio CCCM pekee,CCM yaani Chama cha Mapinduzi kitaendelea kuwapo mpaka pale tutakapoamua nini kifanyike..
yaani kama ukiw ana mwenyekiti Mhuni na baadhi ya watu wanaomzunguka wakiwa ni walevi sana na wanopenda sana totoz kw muda mrefu,mathalani miaka kama 20 iliyopita na wanaendeleza libeneke hili mpaka sasa,unaweza kukiita vipi cham hicho..
i said first and narudia tena,ahc kukejeli chama cha mapinzuzi,tushindane kwa hoja
Ahsante mkulu,
Lakini naona unasahau ukweli kuwa CCM nzima inanuka rushwa, na ndo maana huwezi kwenda kugombea kule kama hawakujui kama ni mwenzao ukapata, viongozi wote wanachaguliwa kwa rushwa rejea uchaguzi wa CCM uliomalizika tulishuudia vituko vingi sana, watu wanatembeza mamilioni kuwaonga wapiga kura.
Kwenye vyeo vya CCM kuna biashara gani mpaka mtu atumie mamilioni kuakikisha anaingia madarakani, je atarudisha vipi hizo hela anazotumia kuakikisha anaingia madarakani, kaka naona utakuwa na kazi kuwatetea wenzako lakini ili kila mtu analijua kuwa mnatanguliza pesa kwenye uchaguzi wowote ule, mnaowapa nao ni mafisadi kama nyinyi na wanajua kuwa mnakwenda kuiba madarakani ndo maana kama mtu hajatoa chochote hamchagui, rejea hoja ya katibu mstaafu wa CCM bwana Mangula.