mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
hivi wana jf c mnajua kiherehere cha ccm kutangaza matokeo humu jf kama ilivyokuwa igunga leo wako wapii akina nape na matokeo yao wale magamba ambao hawaamini kilichotokea ambao wamo humu jf gepu kubwa la maji ya chai ndo limesababisha jimbo liende chadema na ndo mana hakuna hata gamba moja linalokuja na matokeo humu ndani kimyaa kabisa na matusi yaoo ...yaani leo kulala kesho leo ni mkesha tu hapa nipo na chupa yangu ya maji maana arumeru ni mabomu na naona yanaweza kwisha haya mabomu hapo ndo maafa yatakapoanza coz wataanza kutumia risasi za moto