ccm ccm ccm ccm

Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.

Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.

Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.

Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?

Masikini wee, pole sana..una kauvivu kakufikiri na wewe...
 
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.

Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.

Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.

Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?

Hapana.. Waliogopa kuchagua matuci.. umacikini.. wizi na ufisadi.. Kama ni kweli CDM imeibuka kidedea litakuwa funzo kwa wapiga kura wa mtera kwa mhuni Lusinde matuci aka kibajaj..
 
Nguvu ya umma ndo the most powerful...!! So hayo mabomu ni moshi tu uatenda na upepo...!! keeps ya heads up comrades....!!
 
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.

Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.

Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.

Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Ingekuwa CCM ndio maendeleo basi Dodoma ingekuwa juu sana maana hawajawahi kuipigia upinzani kura
 
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.

Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.

Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.

Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?

hivi CT scan inatumika kupima ubongo?
 
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.

Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.

Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.

Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Ni maendeleo ya kuigwa kama Mungu amewajalia CDM na siku hizi wanaruhusiwa kutumia mabomu ya machozi kwangu mimi haya ni maendeleo makubwa sana, tunashukuru kwa kutujuza hilo mkuu!
 
Peoples! Nitakuwa ni mtu mwenye furaha sana nitakapopata matokeo kamili ya ushindi wa nguvu ya umma. Tujuze kwa data manake hawa magamba hawachelewi kutumia ubabe na kujipa ushindi. Peoplez, powerz.
 
Pamoja wakuu,chadema safiiiii,nasikia hakuna magamba hata mmoja usa river,nimenasa mawasiliano ya sioi yeye amekubali matokeo.
 
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.

Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.

Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.

Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?

nyambaf zako,wenzio wote wameshapelekwa apollo we unasubiri nini?
 
wa kutangaza matokeo ni Nape

na yeye kimoyo moyo anasheherekea ushindi wa CDM
maana mgombea wa ccm alitoka kambi anayoivua magamba
 
Maindi kijani, miti kijani, bendera kijani... Wasije wakasema na damu ni kijani. Ccm hoyeee! Sorry, hoiiii!
 
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.

Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.

Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.

Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?

Najua hali uliyo nayo...na unavyojisikia....Poleni sana
 
wana jf macho yangu hapa ni Arumeru nimejianda kusherekea haijarishi nipo wapi nipeni utamu jamani komaeni hakuna kulala!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom