MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,215
- 2,401
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Masikini wee, pole sana..una kauvivu kakufikiri na wewe...