Mzee wa Safety
Member
- Mar 22, 2011
- 35
- 9
Haya ndiyo CCM iliyotaka baada ya kunyanyasa CHADEMA hapo Arusha
Hiyo ni CCM bana wanatekeleza sera za chama kwa vitendo.
nahisi kuna mengi zaidi ya haya yanayoibuka huku ugambani,tuwe wavumilivu tu...
crap! remove it
Hapa JF kuna vituko sana,kama mtoa mada kapotosha au kaandika bila uhakika hiyo ni aibu...
Kama wewe unataka kupotosha pia hiyo ni Aibu.Jamani tujaribu kulinda heshima ya Jukwaa letu ,tuache ushabiki usio na mpango
Ningefurahi km wangetoana ngeu kabisa, the Good thing nikwamba KAMANDA MILLYA AMESHINDA!Jamani CCM sasa imefika pabaya. Watu wanatunishiana misuri, wanatwangana na kutukanana hakuna wa kuwakemea. Hiki sasa si chama bali genge la watu wasiokuwa na mwelekeo. Bado huko Dar huenda Katibu wa CCM wa mkoa bwana Kilumbi Ng'enda akatwangana na Bwana idd Azzan. Kila mtu ndani ya CCM ana sharubu kama kambale. Hakuna wa kumkemea mwenzake. Kama ni nyumba basi imebaki na watoto tu!! Jamani hiki ni Chama tawala sasa ikiwa mambo yenyewe ndiyo hayo ya kupigana mnapata wapi muda wa kupigania wananchi ili wawe na hali bora? Mnapata wapi muda wa kutekeleza ilani yenu ya mwaka 2010 iliyosheheni ahadi lukuki? Hivi huyu Millya ndiye yule alipigwa na Ole Sendeka na kisha Ole Sendeka akashinda kesi? Huyu Chatanda si ndiye aliyeleta mtafaruku wakati wa uchaguzi wa Meya? Chatanda na Millya wote wazee wa matukio!