mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Wadau nawasalimu sana.
Ccm ni chama makini na chenye dola na wananchi Wa Meru mashariki wametupa ushindi ambao nitauita ushindi mwembamba kwa minajili ya matokeo yote yaliyohesabiwa kwa kuona kuna dalili ambazo inionyesha kuna kazi ngumu mwakani katika uchaguzi mkuu 2015.
Mosi nimesema hayo kutokana Nami nilikuwepo kwenye kila ziara za chama na kujionea mwenyewe changamoto tunazopata hasa kwa kundi la vijana ambao wanaonyesha dalili za kutupinga na kuonyesha ishara ya vidole viwili kila pahala.
Bundi ametua mtini kwa haya matokeo chini:
1: vijiji Ccm- 56
Chadema-34
2: vitongoji Ccm - 217
Chadema- 115
Nb: ikumbukwe kuwa chadema hawakuwa na kijiji na kitongoji hata kimoja.
Natoa ushauri kwa timu yote ya kamati ya siasa Meru tusikate Tamaa wala kurudi nyuma mwakani nia ya kumuondoa huyu nassary ipo pale pale
Nawasilisha tujipange kimakakati
Ccm ni chama makini na chenye dola na wananchi Wa Meru mashariki wametupa ushindi ambao nitauita ushindi mwembamba kwa minajili ya matokeo yote yaliyohesabiwa kwa kuona kuna dalili ambazo inionyesha kuna kazi ngumu mwakani katika uchaguzi mkuu 2015.
Mosi nimesema hayo kutokana Nami nilikuwepo kwenye kila ziara za chama na kujionea mwenyewe changamoto tunazopata hasa kwa kundi la vijana ambao wanaonyesha dalili za kutupinga na kuonyesha ishara ya vidole viwili kila pahala.
Bundi ametua mtini kwa haya matokeo chini:
1: vijiji Ccm- 56
Chadema-34
2: vitongoji Ccm - 217
Chadema- 115
Nb: ikumbukwe kuwa chadema hawakuwa na kijiji na kitongoji hata kimoja.
Natoa ushauri kwa timu yote ya kamati ya siasa Meru tusikate Tamaa wala kurudi nyuma mwakani nia ya kumuondoa huyu nassary ipo pale pale
Nawasilisha tujipange kimakakati