CCM amueni kati ya hawa wawili

CCM amueni kati ya hawa wawili

Umepewa ngapi kumsafisha? Kama hujui kitu kaa kimya, acha kutetea waliooza.
Ndugu yangu siko kwenye siasa za kumchafua mtu au kumsafisha mtu. Niko kwenye facts na hapa tuzungumze facts na sio maneno matupu. Sijui nini ambacho wewe unajua kuhusu Prof Muhongo na kiweke hapa na ushahidi wake ili kila mtu aone na afanye uamuzi wake. Unasema kuoza labda utuambie tu Muhongo kaoza wapi???

Niko tayari kubadirika na kuwa na msimamo na wewe kuhusu Prof Muhongo pale utakapoleta uthibitisho wa uchafu wake humu jukwaani. Zaidi ya hapo nitaamini tu kuwa nawe ni mtu uliyekumbwa na ushawishi uliofanya na wanasiasa fulani wakishirikiana na media tycoon fulani ivi kwa kupitia vyombo vya habari kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Prof Muhongo kafanya ivi alafu hadi leo watanzania nao pamoja na kuwa waliamini kipindi kile ila hawajiulizi kwa nini ripoti zote na kamati zote hazijamaja wala hazijamuita Prof Muhongo????
ila kikubwa kwa leo tafuta hotuba yake wakati anatangaza nia ndugu yangu utapata kitu usiku wa leo.
 
Hawa usiwapime kwa ahadi zao wapime kwa nafasi zao za uwaziri wamefanya nini? Kama kwenye uwaziri hamna kitu ujue na Urais itakuwa hamna kitu
Achana na huyu mkuu hajielewi naona anatetea baba yake mdogo. Halafu anajiita lord denning , amelikosea hadhi jina hilo linaloheshimika kwenye taaluma ya sheria. Mtu mwenye akili hawezi kumtetea dalali wa fedha za
Escrow.
 
Wote uliotaja majivuno sasa watawafikiaje watu wa kawaida kabisa.
 
Achana na huyu mkuu hajielewi naona anatetea baba yake mdogo. Halafu anajiita lord denning , amelikosea hadhi jina hilo linaloheshimika kwenye taaluma ya sheria. Mtu mwenye akili hawezi kumtetea dalali wa fedha za
Escrow.
Unakumbuka sifa kuu ya Lord Denning ilikuwa ipi? Ukijua utafaham kwa nini hata kimtazamo nipo tofauti na wewe hapa ingawa hapa dhumuni sio kutofautiana, dhumuni ni kueleweshana na kwenda pamoja.
Niambie kaka udalali wa muhongo, ukishindwa hapo niambie neno la dalali lilianza kwa nani na ilikuwa wapi?
Watanzania tunaitaji sana kujua siasa za tanzania zilivo na syndicates zinazoendesha siasa za hapa Tanzania la sivo tutaishia kujilaumu tu hadi mwisho wa dunia kuwa nchi hii ni tajiri na ina rasilimali nyingi huku wananchi wengi tukiwa kwenye lindi la umaskini na watu wachache wakizidi kuneemeka tu.
 
Ndugu yangu siko kwenye siasa za kumchafua mtu au kumsafisha mtu. Niko kwenye facts na hapa tuzungumze facts na sio maneno matupu. Sijui nini ambacho wewe unajua kuhusu Prof Muhongo na kiweke hapa na ushahidi wake ili kila mtu aone na afanye uamuzi wake. Unasema kuoza labda utuambie tu Muhongo kaoza wapi??? Niko tayari kubadirika na kuwa na msimamo na wewe kuhusu Prof Muhongo pale utakapoleta uthibitisho wa uchafu wake humu jukwaani.

Zaidi ya hapo nitaamini tu kuwa nawe ni mtu uliyekumbwa na ushawishi uliofanya na wanasiasa fulani wakishirikiana na media tycoon fulani ivi kwa kupitia vyombo vya habari kuuaminisha umma wa watanzania kuwa Prof Muhongo kafanya ivi alafu hadi leo watanzania nao pamoja na kuwa waliamini kipindi kile ila hawajiulizi kwa nini ripoti zote na kamati zote hazijamaja wala hazijamuita Prof Muhongo????
ila kikubwa kwa leo tafuta hotuba yake wakati anatangaza nia ndugu yangu utapata kitu usiku wa leo.
You can't prove the obvious , amefanya udalali yeye ndiye aliyewakutanisha wezi wakaiba fedha za escrow what else do you want?
 
Am with prof muhongo vision yake iko crystal clear... Na anaweza kuielezea katika lugha nyepesi ambayo hata asie na elimu ya kiviile atamuelewa.

Shida ni professa. Vinginevyo vision yake iko vizuri.
 
You can't prove the obvious , amefanya udalali yeye ndiye aliyewakutanisha wezi wakaiba fedha za escrow what else do you want?
Aliwakutanisha kina nani??? Umeitoa kwenye taarifa ipi ya uchunguzi??? ya CAG? kamati ya maadili???? au PCCB???? tuwekee hapa hiyo ripoti hapa tuisome. Na embu tuambie zaidi aliwakutanisha akawaambia waibe?????
 
Malizaneni nyie mafisadi mtupishe ukawa tuongoze watanzania
 
Unakumbuka sifa kuu ya Lord Denning ilikuwa ipi? Ukijua utafaham kwa nini hata kimtazamo nipo tofauti na wewe hapa ingawa hapa dhumuni sio kutofautiana, dhumuni ni kueleweshana na kwenda pamoja.
Niambie kaka udalali wa muhongo, ukishindwa hapo niambie neno la dalali lilianza kwa nani na ilikuwa wapi?
Watanzania tunaitaji sana kujua siasa za tanzania zilivo na syndicates zinazoendesha siasa za hapa Tanzania la sivo tutaishia kujilaumu tu hadi mwisho wa dunia kuwa nchi hii ni tajiri na ina rasilimali nyingi huku wananchi wengi tukiwa kwenye lindi la umaskini na watu wachache wakizidi kuneemeka tu.
Kwa Prof. Sijuti aende zake, hana lolote ningekuwa simjui
 
Hivi harufu ya ESCROW ilishawatoka watanzania??

Hivi huyu unaemnadi anatofauti gani na hao unaowaita mafisadi?.

Upo kimahaba zaidi..hata hujanieleza nikusikie..
 
Acha maneno mengi ongea kifupi,KAKIMBIA MDAHALO
Ndugu yangu maneno mengi ndo nini mimi nimeuliza alialikwa??? ulisikia jina lake kwenye wageni waalikwa???? na kama hukusikia jiulize kwa nini hawakumwalika????
 
Malizaneni nyie mafisadi mtupishe ukawa tuongoze watanzania


Ukawa ni muunganiko wa watu makini sanaa..ila tu mnakosea kumpa babu slaa kuwa mtetez wenu..hapo mtaendelea tu kuwa mavuvuzela miaka nenda na rudi...
 
Tunahitaji mtu anae badili /transform maneno kwenda vitendo. Hatuitaji hotuba nzuri hazina tija. Hata kama kaandikiwa na Obama. Hatuwezi tena kuweka rehani uhai wetu.
 
Ndugu yangu maneno mengi ndo nini mimi nimeuliza alialikwa??? ulisikia jina lake kwenye wageni waalikwa???? na kama hukusikia jiulize kwa nini hawakumwalika????
Mdahalo ulikuwa ni watia Nia wa CCM,Prof Muhongo ni mtia nia Wa CCM,na katika wote tuliambiwa kuwa ni Lowasa tu ndiye alitbibitisha kuwa hatahudhuria,Unaposema nijiulize kuwa kwanini hawakumwalika unataka kuniambia kuwa hakualikwa,we umejuaje kuwa hakualikwa? Angekuwa hajaalikwa bila shaka yangeorodheshwa majina ya watia nia walioalikwa.Otherwise uje na orodha ya walioalikwa na ambao hawakualikwa
 
Acha upoyoyo alikuwa dalali, hilo alilikiri mwenyewe . Unaonekana wewe mtoto tu tangu lini ripoti ya PCCB kama investigative organ ikawa public
Duuh kweli siasa siasani kwa iyo hadi hapo umeshindwa kunithibitishia na utapiga kelele kumtuhumu mtu kwa nguvu zote????
Okey ripoti ya pccb haiwezi kuwa public,ila baada ya kuchunguza wanaruhusiwa kupeleka kwa dpp ili kesi ipelekwe mahakamani, umesikia icho kitu labda hata pccb wakisema?????? kwa sababu wanasema tumechunguza kitu fulani na file lipo kwa dpp.
 
Tunahitaji mtu anae badili /transform maneno kwenda vitendo. Hatuitaji hotuba nzuri hazina tija. Hata kama kaandikiwa na Obama. Hatuwezi tena kuweka rehani uhai wetu.
Unaweza kutransform kitu bila kuwa na idea ya kutransform? Tupe hiyo idea ya kutransform maana huwezi kutransform kitu ambacho hakipo
 
Back
Top Bottom