Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Chama cha mapinduzi kimekwisha kabisa.,Sio tena chama cha siasa.
Amebaki katibu mkuu,Abrahaman Kinana pekee anayefanya kazi ya siasa.Hakuna mwingine. Mwenyekiti anatumia kofia ya urais kukisaidia chama.
Naibu katibu mkuu anatafuta credit ya urais kupitia unaibu waziri. Katibu wa itikati hana hoja,hana mvuto.Amebaki kuvizia ziara za katibu mkuu wake Jumuiya ya wazee ilikurupua ikarudi kujifungia.
UVCCM ndio hamna kitu,ni sufuri.Hata viongozi wake hawajulikani,amebaki kiongozi wa chipukizi anayevamia midahalo na kushambulia wahusika.
Hata mikoani hawapo kabisa,wakifanya mkutano bila Kinana watu hawaendi,wanabaki wao na nyimbo zao na watoto wanatumia nafasi hiyo kupata disco vumbi la bure.
Ni hakika CCM sasa hakiendeshwi kama chama cha siasa,kimekwisha. Hakuna mbunge anayeweza kufanya ziara ya mafanikio jimboni mwake,labda Deo Filikunjombe. Hope,not later than next year CCM itaanza kuachia uongozi wa nchi.
Amebaki katibu mkuu,Abrahaman Kinana pekee anayefanya kazi ya siasa.Hakuna mwingine. Mwenyekiti anatumia kofia ya urais kukisaidia chama.
Naibu katibu mkuu anatafuta credit ya urais kupitia unaibu waziri. Katibu wa itikati hana hoja,hana mvuto.Amebaki kuvizia ziara za katibu mkuu wake Jumuiya ya wazee ilikurupua ikarudi kujifungia.
UVCCM ndio hamna kitu,ni sufuri.Hata viongozi wake hawajulikani,amebaki kiongozi wa chipukizi anayevamia midahalo na kushambulia wahusika.
Hata mikoani hawapo kabisa,wakifanya mkutano bila Kinana watu hawaendi,wanabaki wao na nyimbo zao na watoto wanatumia nafasi hiyo kupata disco vumbi la bure.
Ni hakika CCM sasa hakiendeshwi kama chama cha siasa,kimekwisha. Hakuna mbunge anayeweza kufanya ziara ya mafanikio jimboni mwake,labda Deo Filikunjombe. Hope,not later than next year CCM itaanza kuachia uongozi wa nchi.