CC ya CCM haikuwa na jipya

Wanatumia 'hekima na lugha ya staha' kuhakikisha kuwa chama chao hakipasuki na kuendekeza migogoro .Hivyo aliyeiba na asiye mwizi wote ktk kukijenga chama chao! Hii ni kwa Tanzania tu.
 
Asante mzee Throw-throw wa Lumumba, tulijua huko mambo mdebwedo tu.
 
Ningeshangaa kusikia mtu kafukuzwa..........CCM ninayoijua Mimi?
 
Imezoeleka kwamba ukizuga zuga baada ya muda fulani, wabongo wanasahau, mpaka liibuke issue jingine ndiyo watu kuhamaki kuhusu issue iliyosahaulika.
 
Imezoeleka kwamba ukizuga zuga baada ya muda fulani, wabongo wanasahau, mpaka liibuke issue jingine ndiyo watu kuhamaki kuhusu issue iliyosahaulika.

uko sawa mkuu! unakumbuka kauli ya Mkapa kuhusu netgroup solution, alituhakikishia ghalama za umeme zitashuka na akawa ingiza methroup kwa msaada wa ffu! ghalama hazikushika zilapanda mala dufu na tumesahau!

Jk nae alituahidi maisha bora!! maisha yamekiwa mbinde yalichagizwa na kipindi kireefu cha mfumuko wa bei kiasi cha ku triple price in less than ten yrs, mfano unga toka sh 400 mpaka zaidi ya malatatu yake! tumesahau!!

Jk alisema shule bure haiwezekani hela zitatoka wapi, baada ya miaka michache huku serikali ikiwa dhogulkhali ameahusi elimu bure!! tumesahau!!

etc..!!!
 
hayo mapendekezo ya kamati ya mangula yaliyopokelewa na cc ni yapi mkuu ?
 
Sijawahi kutilia shaka habari zako Mzee Tupatupa aka throw throw. Ile nafasi ya mwenezi ingekuwa yako kama weledi ungezingatiwa
 
Do u expect any possiteve decision from CCM, CC? Keep on Waiting guys!
 
Hawa Jamaa wanashida sana, kwa sasa miji za town zote watakuwa wanapokelewa na CDM (Wabunge, Madiwani na wenyeviti) huenda wawe wanatua vijini!! Nadhani ndio maana kuzurura kwa JK Arusha town, Musoma mjini, Mwnza Kati (Nyamagana, Ilemela), Mbeya mjini, nk kumepungua kwa kasi sn!!
 
Kuna mtaa kule Boko, DSM unaitwa ... "Basi haya". Hiyo ndiyo comment yangu
 
WEZI WALIENDA KUPONGEZANA BAADA YAKUTAFUNA NCHI...ama kweli mtz laiti angeelewa adui wake mkubwa ni ccm asingechekanao
 
Pia CC imempongeza Chenge, Tibaijuka, Werema, Maswi, Prof. kwa kuwa wavumilivu hasa walipojitoa kuiokoa serikali pamoja na chama. Pia wameamua kwa kauli moja kuwa hawatamfukuza Prof. Muongo
 
Kama ni hivyo hawana tofauti na genge la wazee kule kwetu wakiwa kwenye vikao vyao vya dengerua na kwa furaha waliyonayo wanasifiana kwa kila kitu.
 
CCM inaanza kujitambuwa kuwa sakarati L mawti Imewadia,sasa wameanza kujenga urafiki wao kwa wao ,ufa ulikuwa mkubwa sana. Wanaponngezana kwa kupat angalau 60% kinyume na Matarajio yao.wimbi la mageuzi likuwa kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…