CBE na UDSM

CBE na UDSM

ze seeker

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2015
Posts
329
Reaction score
90
Thinkers naombeni mnieleweshe kuhusu hii course ya mba(marketing) kwa vyuo nilivyovitaja hapo juu Hadi kumaliza miaka miwili bajeti niandae shilingi ngapi?

Changamoto za vyuo nilivyovitaja na sifa yake kwenye soko la ajira,kwa mwaajiliwa akisomea hiyo course unaweza kumfanya aje kua nani?

Nawasilisha kwenu thinkers.
 
Thinkers naombeni mnieleweshe kuhusu hii course ya mba(marketing) kwa vyuo nilivyovitaja hapo juu Hadi kumaliza miaka miwili bajeti niandae shilingi ngapi?

Changamoto za vyuo nilivyovitaja na sifa yake kwenye soko la ajira,kwa mwaajiliwa akisomea hiyo course unaweza kumfanya aje kua nani?

Nawasilisha kwenu thinkers.
Marketing inalipa sana siku hizi,kwa chuo nenda UDSM
 
Soma CBE achana na udsm ukiwa CBE utakuwa vizuri zaidi sababu wenyewe wamejikita Tu masomo ya business
Administration yao ni mbovu sana hao CBE.Idara zote Kuna bureaucracy sana.Kama unafatilia jambo liwe academic au la kawaida utazungushwa kila ofisi.Matokeo yako kuyapata utafatilia hata wiki mbili.Hao kitengo cha IT ndio pumba kabisa.
 
Thinkers naombeni mnieleweshe kuhusu hii course ya mba(marketing) kwa vyuo nilivyovitaja hapo juu Hadi kumaliza miaka miwili bajeti niandae shilingi ngapi?

Changamoto za vyuo nilivyovitaja na sifa yake kwenye soko la ajira,kwa mwaajiliwa akisomea hiyo course unaweza kumfanya aje kua nani?

Nawasilisha kwenu thinkers.
Kwanza degree alisoma program gan

Kwenye ajira siku hizi hawaangalii vyuo naona wengi hasa watu wa masters wana angalia experience na ukiweza kujishusha utaishi nao vizuri

Kati ya UDSM na CBE na kushauri uende udsm kwa kuwa cbe kuna bureaucracy sana kutokana na udogo wa chuo

Watu wanamaliza chuo kikuu huria na wapo kazini kwa mfano huu najua utanielewa
 
We jamaa uko serious kweli,
Yaani imefikia hatua unafananish university na college, kumbe cku hiz universities nd zinadharaulika hivyo!!
 
Nenda UDSM,Makerting inaweza kukufanya kuwa Afisa Masoko ktk taasisi mbalimbali e.g Banks, unaweza kuwa pia Afisa Biashara ktk Halmashauri
 
Thinkers naombeni mnieleweshe kuhusu hii course ya mba(marketing) kwa vyuo nilivyovitaja hapo juu Hadi kumaliza miaka miwili bajeti niandae shilingi ngapi?

Changamoto za vyuo nilivyovitaja na sifa yake kwenye soko la ajira,kwa mwaajiliwa akisomea hiyo course unaweza kumfanya aje kua nani?

Nawasilisha kwenu thinkers.
Unaelewa maana ya "university" kweli?

Huwezi linganisha chuo kikuu na college.
 
We jamaa uko serious kweli,
Yaani imefikia hatua unafananish university na college, kumbe cku hiz universities nd zinadharaulika hivyo!!
Boss hiki kipimo chako ni cha wapi, nani alikuambia kuitwa University basi automatically ni better kuliko college
 
Back
Top Bottom