Jana nilikuwa naongea na mtu mmoja akawa anasema kuwa yeye anajua kutibu kwa mitishamba na karithishwa na baba yake.
Ila aliomba kuwa taarifa zisifike kanisani kwani yeye ni muumini mzuri anaujulikana. Nilishangaa sana, ila nikamuuliza kwanini? kwani kanisa lenu linakataza mitishamba, akasema hakuna mtu anaetibu kwa mitishamba pekee, eti lazima kuwe na uganga.
kufupisha hadithi ndefu, ila at the end of the day timu nzima iliokuwapo hapo ilisema hakuna utibabu wa mitishamba, wala wasiitwe wachawi kwani eti japo wote wanatumia ushirikina, lakini mchawi anaumiza na mganga anaponya.
mie nilidhani mganga anatumia mishamba na njia za kiasili (madini, mimea, wanyama au wadudu, na therapies nyingine) na mchawi ni mshirikina yoyote anaeponya au anaeumiza.
Ila aliomba kuwa taarifa zisifike kanisani kwani yeye ni muumini mzuri anaujulikana. Nilishangaa sana, ila nikamuuliza kwanini? kwani kanisa lenu linakataza mitishamba, akasema hakuna mtu anaetibu kwa mitishamba pekee, eti lazima kuwe na uganga.
kufupisha hadithi ndefu, ila at the end of the day timu nzima iliokuwapo hapo ilisema hakuna utibabu wa mitishamba, wala wasiitwe wachawi kwani eti japo wote wanatumia ushirikina, lakini mchawi anaumiza na mganga anaponya.
mie nilidhani mganga anatumia mishamba na njia za kiasili (madini, mimea, wanyama au wadudu, na therapies nyingine) na mchawi ni mshirikina yoyote anaeponya au anaeumiza.