CAS is now open for 2nd round applications only

ki vip bro zenye nafas ndo sijakuelewa kaka

nilijua unaulizia choices za wanaotakiwa kufanya 2nd round so maelezo yangu ilikuwa ni kuhusu inavyokuwa kwenye selection kwenye profile, kama ni swala la selection kwa waliopata 1st round of selection ni kama walivyoandika kwenye profile kwamba majina yamepelekwa chuoni kwa ajili ya udhibitisho so yataanzia kwenye website ya chuo husika kabla tcu hawajaweka link maalum inayohusisha wote 1st na 2nd ingawa hii inaeza chelewa manake sio ya kuupdate kama ile list ya website za chuo husika.
 

Wameandika majina yamepelekwa chuo Mmh profile ya naniiiii Hiyo apige screen capture tuoneee
 
Jamani msaada tafadhali,mimi tatizo bado inagoma ku-login ili niangali kinachoendelea Kwenye profile yangu TCU
 
Pulesha pulesha ila wana mnazingua harakati zenu za kutagisha watu wat z hell,issue ni kutulia tu!
 
ninachokiona hapa watu wanachanga equivalent na form six..yaani CAS ya NACTE na CAS ya uku TCU. Kule NACTE ninavyoona ata selection bado hawajatoa, naruhusu kusahihishwa
 
Wadau swali ni kuwa,, Km mtu Alichelew kutuma maombi TCU first round ,,,anaweza kutuma maombi second round itakapo anza? Au ni kwa wale tu walio apply wakakosa.

kaka nadhani jibu umepata kua unaweza omba lakin utajaza kozi moja 2 na chuo kimoja
 
Wadau swali ni kuwa,, Km mtu Alichelew kutuma maombi TCU first round ,,,anaweza kutuma maombi second round itakapo anza? Au ni kwa wale tu walio apply wakakosa.

Utafanya second round endapo uliomba first round na ukakosa not otherwise
 
jaman me kwenye profile yang wameniandikia processing inamaana gan coz nashindwa kujua first na second selection ni ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…