Mkuu mm nakuona ww kama unaufahamu hafifu/mfinyu wa psychology ya wanafunzi au binadamu kawaida,
Kwanza cjawahi ona watu wanasomea ujinga,au chuo kikuu kinafundisha coze ya UJINGA,
2nd ujuaji wako wa kujua kucheza na internet au kutafuta unachokihitaji kwenye mtandao unajikuta unajuwa kila ki2 mpaka unafikia hatua ya kuwadharau wanaouliza na kutaka kufahamu kinachoendelea bila kujuwa kwamba wengine ndio wamefanya jamii forum kuwa ndio source ya information yao yeyote katka huu mchakato
Me nakushauri idea ndogo tuh, n vema ukatoka humu ndan kwenye hili jukwaa la elimu uwaachie wanaotaka infor kutoka kwa wanaojuwa
Kuliko kuendelea kuwaona watu vilaza na kuwadharau waziwazi,au badilisha jukwaa nenda kwa wale unaowaona wanajuwa kama ww au zaidi ya ww ili ugain angalau kidogo
Kwa waliokosa MD round ya kwanza page ya tcu ime open ila chuo cha MD ni kimoja tu st.joseph soo wahi ujaze kama utapenda only 200 people are required ol the best people_Jah one
Vp kuhusu walokosa engineering mkuu
Naombeni msaada jaman
Nimeambiwa nifanye ila nlipocgagua coz imeingia ila capacity imwandika 0 inamaana nimo au natakiwa nichague tena??
soma tangazo lao vizuri asee..angalia capacity ndio ufanye choice
Tangazo nimesoma wamesema program ikishajaa haitaonekana kwenye systeam sa mi nimeikuta na nikaijaza.
ndio kama unatakiwa kufanya 2nd round zinakuwepo zenye nafasi tu na option ya kuadd kama umepata zinakuwepo zote na hakuna option ya kuaddjaman hizo selection tunaziona kwa profile au inakuwaje
hahah...Afadhali sasa
Wewe utakuwa msumbufu sana .siku zote ulipewa nafasi ya kucheza na system. Yenye options tano ukashindwa kuchagua .leo option moja utaweza kuchagua?. Subiri uchaguliwe.
kunaTE=NYANYADO;13986583]Laiti ungeielewa hiyo unayoiita psychology hasa kipengele cha philosopher attitude. Usingepata taabu ya kuangaika na Mimi.
Labda uniambie umejiandaa na degree ya CHUPI.
Ushauri : epuka sana kuongozwa na hisia.
Jiandae kwa lolote. Mtangulize MUNGU.
ndio kama unatakiwa kufanya 2nd round zinakuwepo zenye nafasi tu na option ya kuadd kama umepata zinakuwepo zote na hakuna option ya kuadd