nafikiri sheria ya mitandao itamuhusu huyu bwana!
TCU bado sana ,labda after two or 3 weeks ahead..
Wawapi nyie?toka asubuh profile znonesha ivyo n weng tuu wanataarifa
Wawapi nyie?toka asubuh profile znonesha ivyo n weng tuu wanataarifa
Kunajamaa yang amefungua amekuta tangazo aaply upya.na mwisho ni tar 18 september.mi kwangu kumeandikwa procesing.ila hawajaonesha chuo walicho nichagua.
Msada kaka zangu ntakuwa nilikosea wapi wa jameni?? Msaada tafazari
Kunajamaa yang amefungua amekuta tangazo aaply upya.na mwisho ni tar 18 september.mi kwangu kumeandikwa procesing.ila hawajaonesha chuo walicho nichagua.
Msada kaka zangu ntakuwa nilikosea wapi wa jameni?? Msaada tafazari
jamani msaada wakuu mi nikiingia TCU CA's kwenye kulog in naambiwa log in failed ila namb n password viko sahihi,tatizo mini wakuu anaefahamu
itakuwa kuna kitu unachanganya tu, labda heruf ndogo/kubwa, au unaweka dot kwenye number ya shule, haitakiwi