nasikia eti wale wajanja wao mjini pale River Road(nairobi)wanabuni mikakati ya kuzirudisha hewani.lakini hata hivyo bongo si zinaruhusiwa ni kama wanakuja kuongeza idadi ya zile zilizopo sokoniOhooooooooooooooooooo watakuja kuzidump huku kwetu aiseee!!!!
Kwani kuna shida gani, sie tumeshazoea kutumia hivyto vitu fake na wala hatujaliOhooooooooooooooooooo watakuja kuzidump huku kwetu aiseee!!!!
nasikia eti wale wajanja wao mjini pale River Road(nairobi)wanabuni mikakati ya kuzirudisha hewani.lakini hata hivyo bongo si zinaruhusiwa ni kama wanakuja kuongeza idadi ya zile zilizopo sokoni