Dangotte Junior
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,949
- 8,509
Ardhi Haina Loss lakini.. land will always appreciate. Sasa sijui loss ya hapa unaifafanuaje mkuu.
Ardhi Ni mtaji.. na kwa mujibu sheria Ardhi..inajumuisha kipande cha Ardhi na maendelezo permanent yaliyo juu yake.
Capital Gain inatokana mtaji (capital) na sio faida ... Ni Kodi ya ongezeko la mtaji. Sio Kodi ya faida tokanayo na mtaji..
Nimesema kama nilivyoelewa ..na huanda kukawa na maelezo mengine ..lakini haya niliyofikisha ni kutokana kuuliza huku na kule.
Kikubwa nakukumbusha tu.. Thamani sio lazima ilingane na bei. Bei ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi.. ila thamani it's independent of personal preferences.
Mfano Mimi naweza kuwa na dhahabu ambayo thamani yake Ni milion 200 lakini nikawa tayari kuiuza kwa milion 10 kwasababu ninauguliwa na mtoto na milion kumi ndio inayosimama Kati ya uhai wake na kifo..
Hapo haimaanishi thamani ya dhahabu yangu imeshuka hapana.. ila bei tu ndio imeshuka. Sasa hauwezi kujenga mfumo wa Kodi juu ya unstable platform. Na kwa scenario hii ya Ardhi it's only fair to base the tax on value.
Sote tunajifunza mkuu.. speak your mind.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
ww umeuliza "huku na kule" lakn LadyRed kanukuu vifungu vya sheria za kodi. mpaka hapa unahisi upo sahh?