Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,706
Baba yangu ameuza nyumba hapa Musoma mjini kwa sh mil 80. Nyumba ilikua na hati na vizuri na amenipa jukumu la kukamilisha zoezi la uuzaji na kuhakikisha mnunuzi anamaliza process zake vizuri.
Tuliyemuuzia akataka kufanya transfer kwenda kwenye jina lake.
Halmashauri wakatuomba kitu kinaitwa evaluation ambapo wakathaminisha nyumba na kusema ina thamani ya Mil 134.
Nyumba ina mwaka kama mmoja toka iishe.
Sasa baada ya kumalizana na hamashauri, wananiambia niliyemuuzia haweza kubadili jina kama sijalipa Capital Gain Tax.
Baada ya kupeleka docs TRA , wananiambia capital gain Tax ni 10% ya market value ambapo kwa mimi ni 10% ya mil 134 sawa na Mil 13.
Wakuu hapa nimechanganyikiwa naona kama naibiwa au wanajitisha nitoe rushwa.
Nimejaribu kugoogle napata maana nyingine hata kwa Tanzania na hakuna online calculator kwa Tanzania kujua nahitaji kulipa kiasi gani.
Wakuu Capital Gain Tax ni nini?
Mbona ni kubwa kiasi hiki? Ni afadhali tusingeuza nyumba. Tuibakize iwe ya urithi?
Tuliyemuuzia akataka kufanya transfer kwenda kwenye jina lake.
Halmashauri wakatuomba kitu kinaitwa evaluation ambapo wakathaminisha nyumba na kusema ina thamani ya Mil 134.
Nyumba ina mwaka kama mmoja toka iishe.
Sasa baada ya kumalizana na hamashauri, wananiambia niliyemuuzia haweza kubadili jina kama sijalipa Capital Gain Tax.
Baada ya kupeleka docs TRA , wananiambia capital gain Tax ni 10% ya market value ambapo kwa mimi ni 10% ya mil 134 sawa na Mil 13.
Wakuu hapa nimechanganyikiwa naona kama naibiwa au wanajitisha nitoe rushwa.
Nimejaribu kugoogle napata maana nyingine hata kwa Tanzania na hakuna online calculator kwa Tanzania kujua nahitaji kulipa kiasi gani.
Wakuu Capital Gain Tax ni nini?
Mbona ni kubwa kiasi hiki? Ni afadhali tusingeuza nyumba. Tuibakize iwe ya urithi?