bro kay
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 254
- 222
Habari wana jamvini,
Polen na mihangaiko ya hapa na pale katika nchi hii ya mtukufu magu.
Msaada jaman, nashindwa kuingia kwenye playstore kwasabu kila nikitaka kuingia inanambia niingize redeem code.
Msaada jaman kwa mwenye ujuzi wa jinsi ya kujing'atua katika hili.
Ahsanten
Polen na mihangaiko ya hapa na pale katika nchi hii ya mtukufu magu.
Msaada jaman, nashindwa kuingia kwenye playstore kwasabu kila nikitaka kuingia inanambia niingize redeem code.
Msaada jaman kwa mwenye ujuzi wa jinsi ya kujing'atua katika hili.
Ahsanten