Cannabis sativa...

Misunderstood

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2020
Posts
385
Reaction score
887
Je utachukuliaje wewe (mwanaume/mume) ukigunda mkeo anavuta bangi? Au wewe (mwanamke/mke) ukigundua mmeo anavuta bangi?


Inakuaje kuna watu wanafanya kazi nzuri kabisa managers, engineers, doctors etc na wanavuta bangi na wala hawafanyi vitu vibaya kama wengine wa mitaani wanavyochukuliwa? Inakuaje bangi hiyohiyo inakuwa na matokeo tofauti kwa watu tofauti?

Sidhani kama bangi ni mbaya, ila pale inapotumika na mtu ambaye tayari ana mawazo mabaya au tabia mbaya ndipo inachochea.

Sijawahi vuta bangi lakini natamani walau niionje nione how high people get, sijawahi tumia kilevi chochote lakini siku nikianza kutumia basi iwe BANGI!

Mbona ni kawaida wadada kunywa pombe tena zile kali lakini haistaajabishi? Ila mimi leo nikisema navuta bangi basi nitaonekana muhuni sana..

I WISH ILA NAOGOPA outcome yake kwangu itakuaje na je nitakuwa addicted? And to my side nitakuwa sawa kabisa mume wangu akiwa anavuta bangi BUT asiwe na uhuni.

Naombeni mitazamo yenu.

 
Bangi haina addicted ila usivute mchana Kama vipi kula gomba iko poa kuliko bangi stimu yake inakaa hata siku mbili
 
Kuna upotoshaji mwingi kuhusu bangi, bangi haina addiction, bangi haichangii mtu kufanya uhuni wala matendo mabaya, bangi inakuonyesha wewe ni nani inafungua akili yako na kukata minyororo inayokuzuia kuishi maisha ya ukweli....vuta bangi achana na dhana potofu, maisha ni mafupi sana !
 
Hahaha jamaa una ushawishi wewe.!
 
Binafsi huwa navuta bangi mara 1 au mbili kwa mwezi, Huwa naenjoy sana na kichwa huwa kinakuwa chepesi sana, makorokocho ya mwezi mzima nayafuta kwa masaa kadhaa tu.

 
How do you feel unapovuta Gambe? Ndugu yangu alikuwa Mkuu sana Polisi na alikuwa anavuta bangi bila watu kujua, Mtu aliyeniambia nilishangaa sana amejuaje sie hatujui, Sikutegemea.
 
Mbona Alikiba anakula mjani na bado anaimba vizuri tu na katoa album kali...

Ilaa yule mzee ilikua inamfanya achukue maamuzi ya ajabu ya kuigharimu nchi.. Na kuna dogo mmoja hapa akiwaga mtingo akija kistone wote anatuonaga kama sisimizi tu afu toto la 2000's
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…