Misunderstood
JF-Expert Member
- Aug 4, 2020
- 385
- 887
Je utachukuliaje wewe (mwanaume/mume) ukigunda mkeo anavuta bangi? Au wewe (mwanamke/mke) ukigundua mmeo anavuta bangi?
Inakuaje kuna watu wanafanya kazi nzuri kabisa managers, engineers, doctors etc na wanavuta bangi na wala hawafanyi vitu vibaya kama wengine wa mitaani wanavyochukuliwa? Inakuaje bangi hiyohiyo inakuwa na matokeo tofauti kwa watu tofauti?
Sidhani kama bangi ni mbaya, ila pale inapotumika na mtu ambaye tayari ana mawazo mabaya au tabia mbaya ndipo inachochea.
Sijawahi vuta bangi lakini natamani walau niionje nione how high people get, sijawahi tumia kilevi chochote lakini siku nikianza kutumia basi iwe BANGI!
Mbona ni kawaida wadada kunywa pombe tena zile kali lakini haistaajabishi? Ila mimi leo nikisema navuta bangi basi nitaonekana muhuni sana..
I WISH ILA NAOGOPA outcome yake kwangu itakuaje na je nitakuwa addicted? And to my side nitakuwa sawa kabisa mume wangu akiwa anavuta bangi BUT asiwe na uhuni.
Naombeni mitazamo yenu.
Inakuaje kuna watu wanafanya kazi nzuri kabisa managers, engineers, doctors etc na wanavuta bangi na wala hawafanyi vitu vibaya kama wengine wa mitaani wanavyochukuliwa? Inakuaje bangi hiyohiyo inakuwa na matokeo tofauti kwa watu tofauti?
Sidhani kama bangi ni mbaya, ila pale inapotumika na mtu ambaye tayari ana mawazo mabaya au tabia mbaya ndipo inachochea.
Sijawahi vuta bangi lakini natamani walau niionje nione how high people get, sijawahi tumia kilevi chochote lakini siku nikianza kutumia basi iwe BANGI!
Mbona ni kawaida wadada kunywa pombe tena zile kali lakini haistaajabishi? Ila mimi leo nikisema navuta bangi basi nitaonekana muhuni sana..
I WISH ILA NAOGOPA outcome yake kwangu itakuaje na je nitakuwa addicted? And to my side nitakuwa sawa kabisa mume wangu akiwa anavuta bangi BUT asiwe na uhuni.
Naombeni mitazamo yenu.