Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,547
- 2,194
inafanya kazi mkuu, ipo vizuri tu na malipo bado ni yale yale kwa mwezi.
unaipata kwa dish lipi na kwa uelekeo gani, je acc yake inaingia kwenye Q26
inafanya kazi mkuu, ipo vizuri tu na malipo bado ni yale yale kwa mwezi.
dish ni cm 90 ipo sattelite ya ses 4 22w, haitumii account kama za qsat hii ni official decoder kama zilivyo decoder za dst* na nyinginezo inatumia smart card na unalipia kwa mwezi ila ni nafuu sana.unaipata kwa dish lipi na kwa uelekeo gani, je acc yake inaingia kwenye Q26
Matangazo ni kwa lugha ni kifaransa tu au kiingereza?
dish ni cm 90 ipo sattelite ya ses 4 22w, haitumii account kama za qsat hii ni official decoder kama zilivyo decoder za dst* na nyinginezo inatumia smart card na unalipia kwa mwezi ila ni nafuu sana.
Habari mkuu, naomba nifahamu namna ya kulipia Canal nikiwa hapa Tanzania.Haya mambo ya kuambiwa malipo unapitia kwangu, kaa nayo mbali, utaumia
Kwanza asante mkuu kwa huduma yako lakin nna maswal macahache
hyo 269000 ni inclusive na subscrption fee ya first month au ni kwa receiver peke ake? Vip gharama za ufund maana naona kuna mdau alisema ses 4, 22.0 w kupata ni kazi sana so where is your support on that
kitu kingne ni kwamba una office incase nikihtaj customer suport vikipata matatizo?