Canalsat decoder official for football

Canalsat decoder official for football

unaipata kwa dish lipi na kwa uelekeo gani, je acc yake inaingia kwenye Q26
dish ni cm 90 ipo sattelite ya ses 4 22w, haitumii account kama za qsat hii ni official decoder kama zilivyo decoder za dst* na nyinginezo inatumia smart card na unalipia kwa mwezi ila ni nafuu sana.
 
New update on
m2ntz.blogspot.com
 
dish ni cm 90 ipo sattelite ya ses 4 22w, haitumii account kama za qsat hii ni official decoder kama zilivyo decoder za dst* na nyinginezo inatumia smart card na unalipia kwa mwezi ila ni nafuu sana.

Kifurushi cha kwanza cha chini cha bei ndogo na chanel ngapi nitapata, kulipia bei gain?
 
Haya mambo ya kuambiwa malipo unapitia kwangu, kaa nayo mbali, utaumia
 
Kwanza asante mkuu kwa huduma yako lakin nna maswal macahache
hyo 269000 ni inclusive na subscrption fee ya first month au ni kwa receiver peke ake? Vip gharama za ufund maana naona kuna mdau alisema ses 4, 22.0 w kupata ni kazi sana so where is your support on that
kitu kingne ni kwamba una office incase nikihtaj customer suport vikipata matatizo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom