- Thread starter
- #21
Matangazo ni kwa lugha ni kifaransa tu au kiingereza?
kwa channel za canalsat matangazo ni kwa kifaransa ila kwa ss3 ni kwa kiingereza.
Matangazo ni kwa lugha ni kifaransa tu au kiingereza?
usipolipia hupati hata moja au
Illegal ki vipi?DSTV wana special bouquets za channel za kifaransa including Canal. So bado kuwatch mpira kwa channel yoyote nje ya mfumo wa dstv kwa sub saharan countries Ni illegal.
Okay iko hivi, kuna baadhi ya matangazo ambayo pamoja na uwezo wako wa kurusha matangazo recipient wa matangazo hayo ni lazima wawe kwenye specific areas pekee. Kwa mfano, Canal wanarusha ligi ya EPL kwenye channel zao lakini kwenye broadcasting rights za kuonyesha ligi ya EPL kwa sub Saharan Africa wanayo DSTV. Hii ina maana channel yoyote itakayorusha ligi ya EPL kwa nchi za sub Saharan Africa inakuwa illegal. Kama utakumbuka BeIn Sport ambayo wengi wetu tuliitumia last season, walikuwa wanaweka tangazo pale tu zilipokuwa zinaanza games za EPL wakisema if you are watching this kwa sub Saharan Africa then its illegal. Hata hivyo kuna kifurushi kidogo ambacho huwa wanaonyesha mechi moja kwa week ambacho huwa kinanunuliwa na local channels ambacho nadhani kwa sasa hapa kwetu wanacho Sibuka na ATN kama sijakosea. So kama unaangalia Canal straight bila kupitia DSTV na ikafika mpira wakaendelea kuonyesha then inakuwa illegal kinachotakiwa kufanyika ni kwamba inapofika wakati wa mpira ni either wasitishe matangazo kwa ukanda huu au waonyeshe kitu kingine. That's what I meant mkuuIllegal ki vipi?
Channel za kifaransa DSTV wanakopa kwa jamaa wa Canal
Label ya Canal ni big label kama ulikua haujui....
Afu hizo illegal sijui unatumia sheria ya wapi?
Canal wana Beam ina cut accross sub sahara ila sema watu wengi hatuko interested nao sababu wanatumia Kifaransa na Soko lao wameli target French speaking countries ambazo bado zipo Sub-sahara
DSTV nae aliamua kuchukua channel kutoka kwa hawa Canal akijua fika ndani ya Sub-sahara kuna Frech speaking people ambao hawafikiwi na service za Canal
inafanya kazi mkuu, ipo vizuri tu na malipo bado ni yale yale kwa mwezi.Hii kitu bado inafanya kazi?
Illegal ki vipi?
Channel za kifaransa DSTV wanakopa kwa jamaa wa Canal
Label ya Canal ni big label kama ulikua haujui....
Afu hizo illegal sijui unatumia sheria ya wapi?
Canal wana Beam ina cut accross sub sahara ila sema watu wengi hatuko interested nao sababu wanatumia Kifaransa na Soko lao wameli target French speaking countries ambazo bado zipo Sub-sahara
DSTV nae aliamua kuchukua channel kutoka kwa hawa Canal akijua fika ndani ya Sub-sahara kuna Frech speaking people ambao hawafikiwi na service za Canal
Okay iko hivi, kuna baadhi ya matangazo ambayo pamoja na uwezo wako wa kurusha matangazo recipient wa matangazo hayo ni lazima wawe kwenye specific areas pekee. Kwa mfano, Canal wanarusha ligi ya EPL kwenye channel zao lakini kwenye broadcasting rights za kuonyesha ligi ya EPL kwa sub Saharan Africa wanayo DSTV. Hii ina maana channel yoyote itakayorusha ligi ya EPL kwa nchi za sub Saharan Africa inakuwa illegal. Kama utakumbuka BeIn Sport ambayo wengi wetu tuliitumia last season, walikuwa wanaweka tangazo pale tu zilipokuwa zinaanza games za EPL wakisema if you are watching this kwa sub Saharan Africa then its illegal. Hata hivyo kuna kifurushi kidogo ambacho huwa wanaonyesha mechi moja kwa week ambacho huwa kinanunuliwa na local channels ambacho nadhani kwa sasa hapa kwetu wanacho Sibuka na ATN kama sijakosea. So kama unaangalia Canal straight bila kupitia DSTV na ikafika mpira wakaendelea kuonyesha then inakuwa illegal kinachotakiwa kufanyika ni kwamba inapofika wakati wa mpira ni either wasitishe matangazo kwa ukanda huu au waonyeshe kitu kingine. That's what I meant mkuu
bado ipo mkuu.Hiv hii huduma bado ipo
Mkuu toka nimeupdate Q3 mwezi wa 2 au wa 3 hadi leo sijapata huduma... Sikuharibii ila huduma kiukweli imekufa.. Na nikikusms na kukupigia no response... Sisi ndio wateja wako usipotusikiliza na kutaka kupata wapya tu unakosea
Hana uwezo wa kukusaidia kwa lolote ndii maana amekuchunia. Hata hivyo alitakiwa kuwa muwazi kwa kwa kukueleza faida na hasara ya qsat ili wewe uchukue maamuzi (informed choice). Tabia yao ni kuficha habari muhimu (information asymmetry) kuhusu biashara yao ili wafanye biashara.
Update Qsat to latest versionDah... Sasa nafanya je tena hapa... Any help mkuu
Update Qsat to latest version
Kama ni really lover wa DSTV funga DSTV south Afrikan beam @68.5E sijui inaitaji dish gani ulipo maana upande wa 36E panaonekana pako secured zaidi
![]()
Mtafute Fundi mm nimekushauri tuAsante sana... Ni gharama kiasi gani kwa wewe kunisaidia hii.. Niko Dsm
Mtafute Fundi mm nimekushauri tu