Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
Unakopi na kupesti halafu unatengeneza kama vile ni stori yako?











khaaaUnakopi na kupesti halafu unatengeneza kama vile ni stori yako?











khaaaMimi hizi comments nimezisoma usiku Sanajmn jmn me nakufa kucheka huku
Soma matumizi yake aliyoyasema.Huwa wanaitumiaje ??
Extrovert mbona kila kitu unajisemea wewe umekaza mimi mimi mimi. Hapa tunaongelea majority of tanzanian men.
Halafu wewe inaonekana hauna pesa. I mean no offence ila comments zako nyingi huwa unalalamika kuhusu kuombwa hela.





nakuunga mkonoBinafsi yangu siwezi kuomba hela kwa mwanaume/mpenzi hata niwe na shida vipi.
Mwanaume anayetegemea nitamuomba hela,atasubiri Sana..
Labda anipe tu mwenyewe.
Hata njiani tutakutana ukiwa unatoka kanisani na mie kwenye mabanda ya ibada.Style za
Kuna makanisa na mabanda ya ibada,mtakuwa mnaenda kwenye mabanda ya ibada, afu nimependa style yako ya nywele.
Hahah jf bwanaKwani kuna ulazima gani kucopy ? Au ni tujue ngeli unapanda?
Ila wewe noma unacopy hauachi kitu.![]()
Hata njiani tutakutana ukiwa unatoka kanisani na mie kwenye mabanda ya ibada.
Ahsante kuhusu nywele.








AkhsanteKumbe ni wewe wife material
Hongera, huwa unamawazo konk.
Lakini umeolewa????

🙆♂️... Ushalivunja vunja limoyo la MGUMU hapa. 😁😁sitaki wagumu mimi
Hahahaha, hii bajeti ya nn?weee pesa ya energy sio hiooo bana ni 50000 Redbull 3500,maji carton 5000,unakunywa vitu vingi vingii bado ya kulaa
Hahahaha, hii bajeti ya nn?
Hahahaha, sawa sawa Rafiki ,nimeipenda menu na bajeti ,hapo kitu cha 150,000/= game safi kabisa ,HahahahaBaada ya kunyanduana na bebi unakunywa maji na juice ili kuongeza nguvu ulotumia
Maji,juice,energy ,matunda -50000
Chakula cha mwezi hivii kuku na samaki
Au unaonaje rafiki





Wanavyotupenda sasa, wangekubali tu kishingo upande maana hawana namna.
Hahahaha, sawa sawa Rafiki ,nimeipenda menu na bajeti ,hapo kitu cha 150,000/= game safi kabisa ,Hahahaha
Hahahaha, na ndivyo inatakiwa hivyoeee hata siku akiwa hana unaona poa tu maana akiwa nazo anakupa tu
Kuna umri ukifika mwili unahitaji sex!! ni tabia ya mwili so mwili ndo unahitaji ni muhimu kwa afya ya mwili lakini sio kiungo muhimu kwenye kusababisha uwolewe... Tumeowa wanawake hata kiuno hawajui kuzungusha ila Tumeowa kwa sababu ya tabia zao na vile wanaweza kuwa makini na nyumba zaoKumbe unajua Kama sex haimfanyi mtu kuolewa?
Kama haimfanyi mtu aolewe basi si muhimu..halafu pia ni dhambi.