huyu jamaa ni mganda aliyejichokea ameamua kutafuta hela kwa nguvu kupitia ubondia...nasikia atapambana katika pambano la utangulizi siku ya pambano la cheka...
asante kwa kushukuru...matumla (anyone) hapo hana mpinzani kabisa....Thanks,
Kweli amechoka unaona hiyo boxer yake? halafu wampime na wingi wa damu. Si Matumla alimmaliza huyu?
really?Nadhani na hao wandaaji wa haya mapambano ya ngumi wabadirike na waachane na dhana ya kuokota okota tu maboxers simply wanatoka nchi fulani kumbe hawana lolote. Huyu hata mimi nikiingia naye ulingoni lazima nimlambishe carpet...
halaf huyu ni m'beba BOXThanks,
Kweli amechoka unaona hiyo boxer yake? halafu wampime na wingi wa damu. Si Matumla alimmaliza huyu?
hahah!anzisha tu thread.i was born to defend you only!Hili linahitaji thread yake ya kujitegemea na kamusi ya matusi pembeni au unywe pombe kali ya kienyeji ili ifunue hazina ya matusi kichwani....just incase.
hahahahaha!kwani pale kulikuwa na matusi?Hapana nimechoka na matusi unakumbuka ile ya mwanaume wa kwanza? sidhubutu tena.
hivi wewe unamfahamu MURDER MAUGO?Kwakweli huyu boxer ni reflection ya maisha yetu... amechoka mazee... hadi hao promoters na waliomzunguka wanaonekana kama hawana uhakika kama jamaa ataweza hata kutoka hapo kwenye mizani
Mimi nadhani itabidi wanamichezo wetu wawe wanapewa juice za kuongeza damu na dawa za minyoo hata kama hawajapimwa.
Bora afya
Kwakweli huyu boxer ni reflection ya maisha yetu... amechoka mazee... hadi hao promoters na waliomzunguka wanaonekana kama hawana uhakika kama jamaa ataweza hata kutoka hapo kwenye mizani
Mimi nadhani itabidi wanamichezo wetu wawe wanapewa juice za kuongeza damu na dawa za minyoo hata kama hawajapimwa.
Bora afya
hivi wewe unamfahamu MURDER MAUGO?
huyu bwana mdogo nimepasha nae sana pale DDC-mlimani,pande chuo road!jamaa ni mwembamba kuliko maelezo halafu CHIFUPI.....!kinachomkaba ni weight yake ndogo,LAKINI NI BONDIA WA UKWELI!kwenye mapambano mengi ya utangulizi huwa anakuwepo.Geoff, simfahamu, kuna nini tena?
huyu bwana mdogo nimepasha nae sana pale DDC-mlimani,pande chuo road!jamaa ni mwembamba kuliko maelezo halafu CHIFUPI.....!kinachomkaba ni weight yake ndogo,LAKINI NI BONDIA WA UKWELI!kwenye mapambano mengi ya utangulizi huwa anakuwepo.
just imagine,KASEBA anamkubali huyu mdogo.na anakiri dogo ni mkali!lakini ndo hivo mazee.umbo linamtaiti na ukali wa maisha.mabondia wa bongo tunawakwepa kila siku ''BRO NAOMBA NAULI''
kaseba anakula tizi pale!Mkuu kwa wewe uliyekuwa unafanya tizi just for fitness sikushangai lakini kwa bondia anaenda pale DDC ku fanya mazoezi kwa ajili ya pambano namshangaa sana tu.
Ila na mlo nao unawakaba kidogo, na umaarufu kidogo basi anapitia ma house girl wa watu na lishe duni na mazoezi makali then mtu anakauka kama vile amepigwa shoti ya umeme.