kwa hiyo wake zetu hawaibi!????!RUKSA TU KUFANYA LOLOTE NA HELA ZETU?
inaonekana kama sio kosa!
pia hata wake zetu wakitusachi pia SIO KOSA!
tunaokoelekea watakuja kutushika sharubu hawa.....halafu litakuwa SIO KOSA
kwa hiyo wake zetu hawaibi!????!RUKSA TU KUFANYA LOLOTE NA HELA ZETU?
Namsifu sana huyo mama, hata mimi ningekuwa kwenye position yake, i would have done the same.
mpwa,
HUJAONA SIGNATURE YAKE???
kutaka kuoa ndo kuokoka???
Mumo humo! Ma baamedi watapata pigo muda si mrefu.
hahaaaa mama mia!!!! poor Eliza and the rest!!! lakini sasa Goef ndo watamng'ang'ania....atakua na mvuto
Mpwa fidel bado anapiga jaramba. Ataokoa jahazi.
fidel sema anavaa shati la mikono mifupi sana, mwambie siku moja moja apige long sleeve basi!!!
mabaamedi kuwaacha itakuwa ngumu mpwa
Hahaha! Get tugedha ya wikiendi hii itabidi tukaimalizie na ile kazi yetu Zero pub! Mpwa Kaizer yuko veri kooperativu. LOL!mabaamedi kuwaacha itakuwa ngumu mpwa
Basi hujawa tayari ,naona tuahirishe tu ujipange upyamabaamedi kuwaacha itakuwa ngumu mpwa
Basi hujawa tayari ,naona tuahirishe tu ujipange upya