Can I change Him?

Can I change Him?

Zion Daughter

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2009
Posts
8,920
Reaction score
4,242
Hebu niambieni akina mama/dada wenzangu.Pengine nina rafiki nataka kupeleka mahusiano katika hatua nyingine labda ndoa tuseme.Na huyu mlengwa pengine ana tabia fulani au tuseme mazingira fulani ambayo nisingependa awe nayo katika hiyo level nyingine.
Kwa mfano ni mwizi/jambazi,mlevi,Fukara(hana hela wala kazi-naweza kusema ni mvivu) na mambo kama hayo.
Na pengine nishamwambia kuwa sipendi 1,2,3......ya hizo tabia na akaahidi kuwa atabadilika.
Vilevile katika interraction mbali x2 na marafiki hasa wanaume mara nyingi nimekuwa nikiwasikia wakisema kuwa MWANAMKE anauwezo mkubwa wa kumbadilisha na kumtengeneza mwanaume katika mahusiano the way anataka awe.
Sasa swali langu ni kuwa Is this true?
Wakina kaka pia mnaweza kuniambia eti mnaweza kubadilishwa na wanawake mkawa waume wema wenye kuonyesha mfano mwema?
Chrispin naomba usiingie kwenye hii thread inakuhusu
 
Hebu niambieni akina mama/dada wenzangu.Pengine nina rafiki nataka kupeleka mahusiano katika hatua nyingine labda ndoa tuseme.Na huyu mlengwa pengine ana tabia fulani au tuseme mazingira fulani ambayo nisingependa awe nayo katika hiyo level nyingine.
Kwa mfano ni mwizi/jambazi,mlevi,Fukara(hana hela wala kazi-naweza kusema ni mvivu) na mambo kama hayo.
Na pengine nishamwambia kuwa sipendi 1,2,3......ya hizo tabia na akaahidi kuwa atabadilika.
Vilevile katika interraction mbali x2 na marafiki hasa wanaume mara nyingi nimekuwa nikiwasikia wakisema kuwa MWANAMKE anauwezo mkubwa wa kumbadilisha na kumtengeneza mwanaume katika mahusiano the way anataka awe.
Sasa swali langu ni kuwa Is this true?
Wakina kaka pia mnaweza kuniambia eti mnaweza kubadilishwa na wanawake mkawa waume wema wenye kuonyesha mfano mwema?
Chrispin naomba usiingie kwenye hii thread inakuhusu
kuna dalili za kula ''PILAU'' na kwenda S/WANGA any time from now!.................
 
Hebu niambieni akina mama/dada wenzangu.Pengine nina rafiki nataka kupeleka mahusiano katika hatua nyingine labda ndoa tuseme.Na huyu mlengwa pengine ana tabia fulani au tuseme mazingira fulani ambayo nisingependa awe nayo katika hiyo level nyingine.
Kwa mfano ni mwizi/jambazi,mlevi,Fukara(hana hela wala kazi-naweza kusema ni mvivu) na mambo kama hayo.
Na pengine nishamwambia kuwa sipendi 1,2,3......ya hizo tabia na akaahidi kuwa atabadilika.
Vilevile katika interraction mbali x2 na marafiki hasa wanaume mara nyingi nimekuwa nikiwasikia wakisema kuwa MWANAMKE anauwezo mkubwa wa kumbadilisha na kumtengeneza mwanaume katika mahusiano the way anataka awe.
Sasa swali langu ni kuwa Is this true?
Wakina kaka pia mnaweza kuniambia eti mnaweza kubadilishwa na wanawake mkawa waume wema wenye kuonyesha mfano mwema?
Chrispin naomba usiingie kwenye hii thread inakuhusu

kumtengeneza inawezakana, kumbadilisha ni ngumu kupita maelezo, atakupa ahadi hizo hizo za kubadlika kila kukicha lakini kumbadili mtu kwenye tabia yake(mtu mzima) ni ngumu sana,mkubali jinc alivyo.
 
kuna dalili za kula ''PILAU'' na kwenda S/WANGA any time from now!.................

Mpwa ndo nasikilizia hapa mwanawani dalili za mvua mawingu aisee
 
Mpwa ndo nasikilizia hapa mwanawani dalili za mvua mawingu aisee
HEHEHE!
umeona eeeehhhhh!
tuimbe kidogo aiseeeee

ANAMEEREMETAAAAAAAAAA.....anameremeeta
charity anameremetaaaaa ANAMEREMETAAAAAAAA!

jeiesi hebu kapitie pitie madesa yako ya accounts naona unakaribia kuchukua kazi
 
Kwa mfano ni mwizi/jambazi,mlevi,Fukara(hana hela wala kazi-naweza kusema ni mvivu) na mambo kama hayo.
Na pengine nishamwambia kuwa sipendi 1,2,3......ya hizo tabia na akaahidi kuwa atabadilika.
Vilevile katika interraction mbali x2 na marafiki hasa wanaume mara nyingi nimekuwa nikiwasikia wakisema kuwa MWANAMKE anauwezo mkubwa wa kumbadilisha na kumtengeneza mwanaume katika mahusiano the way anataka awe.
Sasa swali langu ni kuwa Is this true?

Charity,

Mosi, Hizo tabia ulizozitaja habo juu haziwezi kubadilishwa na simply "your wife to be". Zinahitaji zaidi ya "ahadi ya kuacha"

Pili, Hakuna mwanamke whatsoever mwenye uwezo wa kubadili tabia "mbaya" za mwanaume.

Tatu, huwezi kubadilisha tabia ya mwanaume!
 
Hebu niambieni akina mama/dada wenzangu.Pengine nina rafiki nataka kupeleka mahusiano katika hatua nyingine labda ndoa tuseme.Na huyu mlengwa pengine ana tabia fulani au tuseme mazingira fulani ambayo nisingependa awe nayo katika hiyo level nyingine.
Kwa mfano ni mwizi/jambazi,mlevi,Fukara(hana hela wala kazi-naweza kusema ni mvivu) na mambo kama hayo.
Na pengine nishamwambia kuwa sipendi 1,2,3......ya hizo tabia na akaahidi kuwa atabadilika.
Vilevile katika interraction mbali x2 na marafiki hasa wanaume mara nyingi nimekuwa nikiwasikia wakisema kuwa MWANAMKE anauwezo mkubwa wa kumbadilisha na kumtengeneza mwanaume katika mahusiano the way anataka awe.
Sasa swali langu ni kuwa Is this true?
Wakina kaka pia mnaweza kuniambia eti mnaweza kubadilishwa na wanawake mkawa waume wema wenye kuonyesha mfano mwema?
Chrispin naomba usiingie kwenye hii thread inakuhusu

Charity ni ngumu sana kumbadilisha mwanaume na hapo ndipo wanawake wengi tunachemsha! We expect him to change and keep on hoping one day he will change something that will never happen! unaweza tu kujaribu kumweka katika mazingira ambayo yatamfanya ashindwe kuendekeza zile tabia zake usizopenda na pia jaribu kuconcentrate kwenye zile tabia upendazo kutoka kwako zaidi yani mwangalie positively zaidi.
lakini kama hizo tabia ni zile zinazoweza kujakuumiza huko mbele think twice now before its too late!
 
Kama ameonyesha dalili za kubadilika katika 1,2,3,4 ya yale uliyomuomba mkiwa ndani ya haya mahusiano ya sasa inawezekana lakini kama 1,2,3,4 unazomuomba mpaka sasa hakuna hata moja aliyobadili itakuwa ni ngumu ..itabidi kila siku kazi yako iwe kumkumbusha ..

maji ya serengeti serengeti ndio litakuwa tatizo kuu kwako
 
Kama ameonyesha dalili za kubadilika katika 1,2,3,4 ya yale uliyomuomba mkiwa ndani ya haya mahusiano ya sasa inawezekana lakini kama 1,2,3,4 unazomuomba mpaka sasa hakuna hata moja aliyobadili itakuwa ni ngumu ..itabidi kila siku kazi yako iwe kumkumbusha ..

maji ya serengeti serengeti ndio litakuwa tatizo kuu kwako
festiledi you have nailed it!CAN YOU PLEASE SPEAK IT LOUDLY AGAIN AND AGAIN AND AGAIN AND AGAIN!?!
ingawa safari hii dadaangu amedhamiria kuingia kwee klabu ya wazee!
i hope anaifuatilia sredi yangu na mastress ake
 
Kama ameonyesha dalili za kubadilika katika 1,2,3,4 ya yale uliyomuomba mkiwa ndani ya haya mahusiano ya sasa inawezekana lakini kama 1,2,3,4 unazomuomba mpaka sasa hakuna hata moja aliyobadili itakuwa ni ngumu ..itabidi kila siku kazi yako iwe kumkumbusha ..

maji ya serengeti serengeti ndio litakuwa tatizo kuu kwako

Mh...

Umesahau kudumisha mila!!
 
hahahahaha!say it again please!
LAKINI NA WEWE UMESAHAU KUWA HAPA HATUPO KANISANI KWA MAUNGAMO

Ndio maana niliificha, we unazifunua za nini!! (uchonganishi)
 
yes you can change some of his attitude ila ya pombe mazeee ni ngumuu mijamaa inapenda pombe kuliko wake zao.

vitu simple ndio actualy ambazo unaweza kumbadilisha ila inachukua time na akijua kuwa unakusudi la kumbadilisha ndio anakuwa mgumu.
 
mara nyingi nimekuwa nikiwasikia wakisema kuwa MWANAMKE anauwezo mkubwa wa kumbadilisha na kumtengeneza mwanaume katika mahusiano the way anataka awe.

Wakina kaka pia mnaweza kuniambia eti mnaweza kubadilishwa na wanawake mkawa waume wema wenye kuonyesha mfano mwema?

Charity, Haya yanawezekana sana na mimi nina mifano hai. For instance kuna mwanaume mmoja ndugu yangu alikuwa mlevi kupindukia lakini alipopata mke hata kabla ya kuoana alimbadilisha sana mpaka pombe kapunguza kwa kiasi kikubwa na mafanikio yanaonekana hata kwenye maisha yao ambayo jamaa alishindwa kuwa nayo hapo kabla
 
1.kwenye ndoa si mahala pa kubadili tabia za msingi labda mchumba awe below 20 yrs
2.tabia ndogo ndogo zaweza badilishwa,kama kuwa msafi...unaweza mbadili.
3.zile tabia zake mbaya,idadi yake zidisha kwa mbili ndizo jumla ya tabia zake zote usizozitaka......nina maana zipo tabia zingine mbaya kabisa hutazijua kamwe hadi uolewe.....usitishike ni mambo ya kawaida.huyo jamaa yako sie yeye wa baadae.
4.hakuna mtu anaeoa/kuolewa na malaika, kila mtu ana kasoro nyingi tu ,hata wewe unazokasoro zako dawa nikuvumiliana
5.akikupenda sana sana,i mean sana...yaani kuzidi maelezo(na sijui utafanyaje hadi awe hivyo)basi aweza kuwa vile upendavyo kwa muda....penzi likichuja anarudia tabia yake ya awali.
6.kwenye uchumba kila mtu ni kondoo,mpole mwema,anajali....kila utakachomweleza ni ndio,yaani hapo nidhamu ni mia.baada ya ndoa nidhamu ni sifuri........
Inapungua hadi siku itafika sifuri.
Hata hivyo usijali sana....ni mawazo yangu tu. Mng'ang'anie sana huyo jamaa hadi kieleweke....si unajua tena?achana na mambo ya kumpekua pekua kuku,utashindwa kumla.
 
Mwanaume yeyote anaweza kubadilishwa na mkewe, lakini sio kila mwanaume anaweza kubadilishwa. Actually mabadiliko makubwa yanatokea katika stage ya uchumba, kama huku imeshindikana, sahau kwenye ndoa...
 
wakuu tukubaliane kwamba ni wanaume wachache sana wanabadilika kutokana na kupata mwanamke wa aina fulani; na hata kama tunabadilika huwa inakua ya muda tu!

sisi ni viumbe wagumu, full of pride na hupenda zaidi good time zetu na ukiona tunabadilika basi ujue tunafaidika zaidi kwa kubadilika; it is complicated but rest assured if you think you have changed a man, wait for a while and you will see the old pal popping up just like old days

KAMA NI KUBADILIKA, BASI SUBIRI ABADILIKE MWENYEWE... THAT WILL BE SUSTAINABLE, BUT ANY EXTERNAL FORCES WILL JUST BE ABSORBED AND OLD TIMER SHALL PREVAIL AFTER A WHILE
 
..mnh labda kwa maombi...

...i dont beleive i can change, a fully grown up man!
 
Back
Top Bottom