david08606
Member
- Jul 18, 2013
- 47
- 4
Wadau naitaji msaada wenu nilikuwa nimeweka cmu yangu mfukoni na nikiwa bize na mishemishe ya hapa na pale ghafla nakuja kuitoa kujaribu kupiga picha. Naona camera haipo clear vision nachokiona ni mchanganyiko wa rangi tu na wala focus object haionekani kabisa bali nachokiona ni mirangirangi 2 mwenye kuelewa nini cha kufanya anisaidie