camera ya simu na matatizo yaliyonikuta

david08606

Member
Jul 18, 2013
47
4
Wadau naitaji msaada wenu nilikuwa nimeweka cmu yangu mfukoni na nikiwa bize na mishemishe ya hapa na pale ghafla nakuja kuitoa kujaribu kupiga picha. Naona camera haipo clear vision nachokiona ni mchanganyiko wa rangi tu na wala focus object haionekani kabisa bali nachokiona ni mirangirangi 2 mwenye kuelewa nini cha kufanya anisaidie
 
Back
Top Bottom