Miluzi mingi humpoteza mbwa,sasa msha mchanganya jamaa hajui afuate lipi na aliache lipi
Ha ha ha ha
Miluzi mingi humpoteza mbwa,sasa msha mchanganya jamaa hajui afuate lipi na aliache lipi
Na isiposhika??
itakamataNa isiposhika??
Acha mkwala,Lens bora ni Carl Zeiss,angalia camera zote kali zina lens hii.majina siyo issue inategemea camera ina lens gani.camera bora zina Carl Zeiss lens.
Ndugu kama unahitaji camera kwa matumizi ya kawaida laki 2-3 inatosha kabisa.Nenda duka la Samsung pale Village Walk Masaki kuna camera nzuri tu kwa matumizi ya kawaida kuanzia laki 2+