jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,134
- 8,656
Kaka hyo d300,inatoa hd photos na ni sh ngap used naweza kupata msaada please
Mkuu P shukrani.... Hizo bei sasaMimi ni pro. Kama shughuli zako ni kupiga picha za still tuu, nunua Nikon D zina bei poa na picha nzuri kuliko Canon tatizo la Nikon ni hazina video!. Lakini kama unapiga still na kuna siku utahitaji kupiga picha za video, na pia unajiweza kiuchumi, then nenda kwenye Canon D-Mark II au III ila pia mkono lazima uwe mrefu, kwa sababu kamea za canon zina bei kuliko nikon kwa sababu zinapiga video.
Kwenye top ten camera, nafasi ya kwanza, ya pili na ya tatu, zimeshikwa na Nikon, Canon imeshika nafasi ya 4 na nafasi ya 5 ni Sony. Ndani ya top ten, kuna Nikon 5, Canon 4 na Sony 1.
Kamea ni hizi na bei ni hizi
Gold Award
Nikon D750
$1996.95
Review
2
Nikon D4S
$5996.95
Review
3
Nikon D810
$2996.95
Review
4
Canon EOS 1D X
$4599.00
Review
5
Sony Alpha a99
$1998.00
Review
6
Nikon D610
$1496.95
Review
7
Canon EOS 5D Mark III
$2499.00
Review
8
Nikon D7200
$1196.95
Review
9
Canon EOS 6D
$1399.00
Review
10
- See more at: The Best Professional DSLR of 2016 | Top Ten Reviews