Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
Mkuu Mwanakijiji,
Hapa nakubaliana nawe, kama tuna mwanya wa kutaifisha hizo machine tufanye hivyo tena haraka sana.
Hakuna sababu ya huu mjadala wa hizi machine kuwa sinema ya miezi na miezi, tufike mahali tuchukue uamuzi na kumalizana nao.
Hapa sasa Mtanzania unaniacha gizani kabisa. Kwingineko kote umesema kununua mitambo hiyo ni jambo jema kabisa. Hapa tena unaunga mkono kutaifisha huoni kuwa hii hijakawa sawa hata kidogo. Kwa nini tutaifishe wakati ulishasema tutununue au lile fungu lililotengwa kwa ajili ya ununuzi huo limepotea?