Call for interview

Call for interview

mdesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
1,373
Reaction score
2,251
Wana JF,hongereni kwa michakato ya hapa na pale.

Kutokana na hali halisi ya maisha,changamoto za ndoa,uwiano wa idadi uliopo kati ya wanaume na wanawake, imenibid nibadili namna ya kupata mke.

Wale watakao kuwa interested na mimi, nitwaita kwenye interview then mwenye maksi nyingi naanza training, probation then renewable contract.

Baadhi ya hints:

-Umewahi kutoa mimba na marangapi?

-Upo tayari ku handle pressure, to which extent?

-Kipacho chako kwa mwezi?

-Unauzoefu na mapenzi? kwa mda gani?

*Maswali mengine yatatokana na jinsi utakavyo jieleza.

Nawasilisha..
 
duh... yani ww sijui nikuite missile ya aina gani?

badala ya kutangaza nafasi kwanza watu wa-aaply, wewe unaanza kuita watu wa interview?

shortlisted iko wapi? watu waje tu...? come on...!

mpaka maswali umetoa? duh...

haya kijana, all dah best..
 
Hizi tablet za wamerekani zinamaliza kizazi chetu.
 
katika watu ambao hawako serious we niwakwanza na nachowaomba wahusika sasa waanze kuchukua hatua ya kuwaondoa kwenye jf kwani hauna cha maana kusaidia wanajf......
 
Another Division 5...... Pole Tanzania yangu
 
Wana JF,hongereni kwa michakato ya hapa na pale.

Kutokana na hali halisi ya maisha,changamoto za ndoa,uwiano wa idadi uliopo kati ya wanaume na wanawake, imenibid nibadili namna ya kupata mke.

Wale watakao kuwa interested na mimi, nitwaita kwenye interview then mwenye maksi nyingi naanza training, probation then renewable contract.

Baadhi ya hints:

-Umewahi kutoa mimba na marangapi?

-Upo tayari ku handle pressure, to which extent?

-Kipacho chako kwa mwezi?

-Unauzoefu na mapenzi? kwa mda gani?

*Maswali mengine yatatokana na jinsi utakavyo jieleza.

Nawasilisha..

Kwan bi mkubwa ako ameshaolewa?
 
Back
Top Bottom