mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
Nimesoma kwa haraka haraka ripoti ya CAG ya mashirika umma. Naandaa uchambuzi yakinifu nitauleta next week.
Kwa huo uharaka nimegundua kuwa NSSF imetajwa sana kwenye mapungufu mengi lakini PPF kimya. Hii ni ishara kuwa either CAG si mwaminifu au aliowatuma sio waaminifu.
Katika ripoti yake amekua either ni mbaguzi au hakuletewa taarifa sahihi juu ubadhirifu na udanganyifu uliopo PPF
1.Kuhusu UDOM, hata PPF wana mikataba kama ya NSSF. Majengo ya PPF ndio mabovu kupita yote, kama alivyo yashtukia Mwandosya juzi.
2 PPF wamekikopesha kiwanda cha Kagera Sugar, miaka inapita hakuna dalili za kulipwa, CAG kimya!!!!!!!!!!!
3. PPF wana shares TOL na TATEPA hadi leo hakuna dividend, CAG kimyaaa!!!
4 PPF wakurugenzi hununua kwa mkopo mashangingi ya milioni mia hamsini, kodi yake hulipiwa na PPF kila baada ya miaka mitatu mengine..CAG Kimyaa!!!!!!!!!!!! Kodi not less than 60milion kwa mkurugenzi mmoja na wapo tisa
5 PPF Wakurugenzi hulipwa Pension, gratuity na Group endowment kinyume na sheria za utumishi wa umma.. CAG Kimya!!!!!!!!! Waziri wa utumishi alisisitiza kwa walio kwenye mikataba walipwe gratuity tu.
6 PPF mishahara ya wakurugenzi kupanda kila mwaka kwa 25% wakati watumishi wengine hawapandishiwi.. CAG Kimyaaaa!!!!
7 PPF vibarua kufanyishwa kazi zaidi ya miaka minne, watoto wa wakubwa hupewa ajira baada ya miezi mitatu.. Temporary work gani huwa mtu yuleyule miaka mitatu hadi minne? Kila miezi mitatu new contract. CAG kimyaa!!! Wizara ya kazi mnajua hili?
8 PPF haijakusanya madeni ya pango (rent) zaidi ya bilioni 1 lakini CAG kimyaa!!!!!
9 PPF haikufuata taratibu za manunuzi kwenye tenda za UDOM, PPF waliilipa kampuni ya Photo Medica 40 milioni, nashangaa CAG analipoti 2milioni za NDC, CAG vipi?????????
10 PPF Mkrugenzi wa Fedha alijiuzia viwanja vinne kwa mpigo kwa 16milion tu wakati vilinunuliwa kwa 56milion (1996) value for money iko wapi!!! Kufunika kombe, akammegea viwili Chief Internal Auditor, wakashusha maghorofa bahari Beach...CAG huoni tu???????????
11 Wakurugenzi wamejilipa 220milioni, na Mkurugenzi mkuu 520milion isivyo halali, CAG kimyaa!!!!!!!!!! HATI SAFI.
12 PPF Wafanyakazi wananyanyaswa , wanatukanwa na wakurugenzi, wanadhurumiwa haki, marupurupu yote yako kwa wakurugenzi, na mameneja. CAG kimyaaaa!!!
ZITTO AMEAGIZA CAG ARUDIE AUDIT YA GROUP ENDOWMENT 2008. Zitto aandike maumivu. TAKUKURU walijidai kulifanyia kazi, wakapewa chao na kuondoka. Hadi leo hii kimya itakuwa CAG asiye na meno?
Haya ngoja niazie hapa na wengine mchangie. Nitaleta uchambuzi mzuri next week. Sasa hivi masikio yote yako kwenye katiba na kuvuana nguo or sorry ni magamba.
Kwa huo uharaka nimegundua kuwa NSSF imetajwa sana kwenye mapungufu mengi lakini PPF kimya. Hii ni ishara kuwa either CAG si mwaminifu au aliowatuma sio waaminifu.
Katika ripoti yake amekua either ni mbaguzi au hakuletewa taarifa sahihi juu ubadhirifu na udanganyifu uliopo PPF
1.Kuhusu UDOM, hata PPF wana mikataba kama ya NSSF. Majengo ya PPF ndio mabovu kupita yote, kama alivyo yashtukia Mwandosya juzi.
2 PPF wamekikopesha kiwanda cha Kagera Sugar, miaka inapita hakuna dalili za kulipwa, CAG kimya!!!!!!!!!!!
3. PPF wana shares TOL na TATEPA hadi leo hakuna dividend, CAG kimyaaa!!!
4 PPF wakurugenzi hununua kwa mkopo mashangingi ya milioni mia hamsini, kodi yake hulipiwa na PPF kila baada ya miaka mitatu mengine..CAG Kimyaa!!!!!!!!!!!! Kodi not less than 60milion kwa mkurugenzi mmoja na wapo tisa
5 PPF Wakurugenzi hulipwa Pension, gratuity na Group endowment kinyume na sheria za utumishi wa umma.. CAG Kimya!!!!!!!!! Waziri wa utumishi alisisitiza kwa walio kwenye mikataba walipwe gratuity tu.
6 PPF mishahara ya wakurugenzi kupanda kila mwaka kwa 25% wakati watumishi wengine hawapandishiwi.. CAG Kimyaaaa!!!!
7 PPF vibarua kufanyishwa kazi zaidi ya miaka minne, watoto wa wakubwa hupewa ajira baada ya miezi mitatu.. Temporary work gani huwa mtu yuleyule miaka mitatu hadi minne? Kila miezi mitatu new contract. CAG kimyaa!!! Wizara ya kazi mnajua hili?
8 PPF haijakusanya madeni ya pango (rent) zaidi ya bilioni 1 lakini CAG kimyaa!!!!!
9 PPF haikufuata taratibu za manunuzi kwenye tenda za UDOM, PPF waliilipa kampuni ya Photo Medica 40 milioni, nashangaa CAG analipoti 2milioni za NDC, CAG vipi?????????
10 PPF Mkrugenzi wa Fedha alijiuzia viwanja vinne kwa mpigo kwa 16milion tu wakati vilinunuliwa kwa 56milion (1996) value for money iko wapi!!! Kufunika kombe, akammegea viwili Chief Internal Auditor, wakashusha maghorofa bahari Beach...CAG huoni tu???????????
11 Wakurugenzi wamejilipa 220milioni, na Mkurugenzi mkuu 520milion isivyo halali, CAG kimyaa!!!!!!!!!! HATI SAFI.
12 PPF Wafanyakazi wananyanyaswa , wanatukanwa na wakurugenzi, wanadhurumiwa haki, marupurupu yote yako kwa wakurugenzi, na mameneja. CAG kimyaaaa!!!
ZITTO AMEAGIZA CAG ARUDIE AUDIT YA GROUP ENDOWMENT 2008. Zitto aandike maumivu. TAKUKURU walijidai kulifanyia kazi, wakapewa chao na kuondoka. Hadi leo hii kimya itakuwa CAG asiye na meno?
Haya ngoja niazie hapa na wengine mchangie. Nitaleta uchambuzi mzuri next week. Sasa hivi masikio yote yako kwenye katiba na kuvuana nguo or sorry ni magamba.