Malima alikuwa anasema ukweli..UDA bado ni shirka la umma..Nakumbuka kauli ya Adam Malima pale bungeni kwa macomfidensi ya hali ya juu "UDA bado ni Shirika la Umma"
Kuna mdau alishauri, tufute kwenye awamu za uongozi kwamba hatukuwahi kuwa na rais awamu ya nne.HUYO MZEE NIKIMUONA NASIKIA KICHEFUCHEFU...
Haitasaidia .Tukifuta tutapoteza historia ya uharifu mkubwa uliotokea katka Taifa,japo awamu zote zina kasoro zake..Hii ilizidiKuna mdau alishauri, tufute kwenye awamu za uongozi kwamba hatukuwahi kuwa na rais awamu ya nne.
Naona Hujachelewa.... kumtetea.... Hadi Lini.... wengi walimtetea hadi wameshachoka umebakia wewe Mama wa Shoka....Kwani Kikwete ndiyo hakimu au mwendesha mashtaka?
Du,,wewe naye mambo gani hayo tens? Sisi tulishajisajaulisha sasa tena unatukumbusha???Meridian Biawo Bank...ndio mzizi wa yote
kuna mtu aliwahi kuandika humuhumu jf kwamba siku ambayo kikwete ataondoka madarakani ATAIADHIMISHA MAISHA YOTE .Duuuh, mzee wa msoga analala usingizi kweli?
Nini wewe? Wanamtukana JK humu? Yaani heri wengine waachwe lakini JK siombi hata siku moja aachwe, yeye aombe tu kwamba Mungu hachukui rushwa akili yangu ilivyovurugwa na haya madudu yanayoibuliwa na mchunga ng'ombe, mlima pamba ngosha wa Chato ningeishamshawishi Mungu kwa kitu kidogo amwingizie wazo amkamate huyo JK wenu apelekwe gereza la Maweni kwanza akapate akili.Kuna watu humu ndani kz yao ni kumtukana tu jk,hv kiukweli kbs,yaani kiroho safi jk hana mazuri completely ktk jamhuri hii ya muungano wa Tz?
mie ninaamini jk kafanya makubwa ya maana kuliko rais yyt yule ktk nchi hii ktk sekta zote za uchumi,jamii,kisiasa etc
Ikumbukwe pia jk ni binadamu km tulivyo sisi,kila mmoja ana mapungufu yk km binadamu,no body is perfect,tusilaumu tu na kutukana,tuangalie pia ufisadi na wizi ulikuwa kwa kikwete tu?wizi ulianza sk nyingi sana,watu wamekwiba vya kutosha,si ccm wala cdm wengi wetu ni wezi,wengi hatuna uzalendo na wala hakuna msafi nchi hii,yyt yule ktk sisi hata ikitokea amepata nafasi ktk nchi hii atajiangalia yy kwanza na familia yk,ndivyo tulivyo na huo ndo ukweli
Mtoto wa Kiume hawezi kusikia kichefu chefu kuona Mwanamume Mwenzie hata awe anamchukia Kiwango gani? hizo lugha za kichoko choko uwe unatupia kwny Magroup ya Ma chokostick wenzio. Eti kichef chef ...Mammae!!
Kama sio la Maweni apelekwe lile la Butimba.Nini wewe? Wanamtukana JK humu? Yaani heri wengine waachwe lakini JK siombi hata siku moja aachwe, yeye aombe tu kwamba Mungu hachukui rushwa akili yangu ilivyovurugwa na haya madudu yanayoibuliwa na mchunga ng'ombe, mlima pamba ngosha wa Chato ningeishamshawishi Mungu kwa kitu kidogo amwingizie wazo amkamate huyo JK wenu apelekwe gereza la Maweni kwanza akapate akili.
Yaani madudu ambayo nilimkuta hata mzee Matonya anayazungumzia anamlaani JK pale maskani anapoombea, leo tumtetee eti JK mtoto wa mjini hakuwa anajua tunaibiwa kweli?
Heri ya awamu ya Mkapa, yeye alifanya biashara akiwa ikulu, awmu ya JK mlungula ukibebwa kupelekwa ikulu? majizi yananyang'anyana mabilioni ya kodi zetu benki ya Stanbic Kikwete anasema hiyo siyo pesa yetu eti ni hao majizi, leo mnamtetea? Haki ya Mungu kumbe nchi hii imeoza yote pamoja na vilivyomo.
Hivi hamjui wote hao wanaokamatwa na kutumbuliwa majipu chanzo chake ni Kikwete?
Subirini mwone Kikwete atadakwa tu, siku zake zinahesabika.
Kwa mawazo yangu safari hii akirudi hataruhusiwa kutoka tena JPM si mchezo wewe Taffman.
Duuuh, mzee wa msoga analala usingizi kweli?
Kikwete na Lowassa sitawasamehe kwa hapa walipotufikisha.Hata mimi siwezi kumlaumu Jk pekee, kuna mijizi mingi Nchi hii, Jk pamoja na kuwa dhaifu ila alikuwa MTU wa watu. Huyu ni mapema sana kumsifu, mwezi wa saba ukipita ndio sura halisi ya Magufuli tutaiona.
Hahaha nyumbu utajua! Kesi ya wenje unajua ilivyoenda mpaka ikaisha au unakurupuka tuKwa hiyo ni aina hii hii ya mahakimu anaowashangaa Utoh waliohukumu kesi ya Ezekiel Wenje kupinga kupotwa ushindi!?
Me nakataa kikwete hana zuri hata moja alilotufanyiaKuna watu humu ndani kz yao ni kumtukana tu jk,hv kiukweli kbs,yaani kiroho safi jk hana mazuri completely ktk jamhuri hii ya muungano wa Tz?
mie ninaamini jk kafanya makubwa ya maana kuliko rais yyt yule ktk nchi hii ktk sekta zote za uchumi,jamii,kisiasa etc
Ikumbukwe pia jk ni binadamu km tulivyo sisi,kila mmoja ana mapungufu yk km binadamu,no body is perfect,tusilaumu tu na kutukana,tuangalie pia ufisadi na wizi ulikuwa kwa kikwete tu?wizi ulianza sk nyingi sana,watu wamekwiba vya kutosha,si ccm wala cdm wengi wetu ni wezi,wengi hatuna uzalendo na wala hakuna msafi nchi hii,yyt yule ktk sisi hata ikitokea amepata nafasi ktk nchi hii atajiangalia yy kwanza na familia yk,ndivyo tulivyo na huo ndo ukweli