Umbea wa magazetini, duh!Wewe ndiyo unaleta siasa. Ni lini na wapi ambapo CAG Kichere alitutangazia kuwa ametishiwa kifo na ameongezewa ulinzi? Habari inaweza kuwa ya kweli, kakini imeletwa na mwingine, wewe unamlaumu Kichere
CCM hamueleweki!! Mkiiba halafu taarifa rasmi ikija mnasema kiki, mkisemwa na upinzani mnasema wametumwa na mabeberu-CAG naye ameanza kutafuta "kiki".
Sio kawaida, kuna majizi yameanikwa ambayo yalijificha kwa miaka sita yakizitumbua.Hstari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Anatafuta kiki sio?Hawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana
Kutishiwa kunaweza kuwepo au kusiwepo ila huku kuja kuja kutangaza kwenye magazeti na mitandaoni ni kutafuta kiki tuu kama kina vanny boy.
Na haya matangazo hayana faida yoyote kwenye kuimarisha usalama wake, zaidizaidi anawapa watu fursa ya kumjua kiundani
Kichere aache siasa na kutaka umaarufu wa kitoto.... kuna nafasi ukipewa serikalini lazima upewe ulinzi wa kutosha
Mbona hamkusema haya wakati mwenda zake hata alipokuwa kanisani alitangazwa na kuoneshwa kapiga magoti.Hawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana
Kutishiwa kunaweza kuwepo au kusiwepo ila huku kuja kuja kutangaza kwenye magazeti na mitandaoni ni kutafuta kiki tuu kama kina vanny boy.
Na haya matangazo hayana faida yoyote kwenye kuimarisha usalama wake.... zaidizaidi anawapa watu fursa ya kumjua kiundani
Kichere aache siasa na kutaka umaarufu wa kitoto.... kuna nafasi ukipewa serikalini lazima upewe ulinzi wa kutosha
Kama Tundu Lissu na Ben Saanane walipotafuta kiki waliposema kuna watu wanataka kuwadhuru.CAG naye ameanza kutafuta "kiki".
Hutaki aseme ili mumuue kirahisi?
Hapa nilipo nataka kulia ndugu yangu!Ndugu inauzunishaa sana
Wanaomtishia ni Sukuma Gang from Chato ambao hawataki kusikia report ya CAG iliyoibua UOZA WA KUTISHA NDANI YA SERIKALI YA Hayati JIWE!Hstari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Shujaa amelala usingizi wa umauti lakini anakupeleka kasi badoMbona hamkusema haya wakati mwenda zake hata alipokuwa kanisani alitangazwa na kuoneshwa kapiga magoti.
Kwani kumwabudu mungu no tendo la ajabu au la kiserikali?
Naelewa ndugu yangu ...ila tushashindaHapa nilipo nataka kulia ndugu yangu!
Amefanya ya ukatili, wizi, ukabila, unyang'anyi, umbea umbea, udikteta, ni kweli haji sahaulikaWewe nawe mshamba mnoooo
Alipokua anafundisha kule sengerema ulikua ukimsaidia wewe?
Alipokua waziri kwa miaka20 kazi zake ulikua ukifanya wewe???
Alipokua rais na kufanya miradi yote ya maendeleo na kuisimamia kwa wakati wewe ndio ulikua unamsaidia.
Wewe ni bure kabisaaa
Kwa taarifa yako ameenda lakini aliyofanya yanaishi na yanadhihirisha PhD yake
Lema alishasema kuwa wakiwamaliza wapinzani watahamia kwao kwa wao na sasa yametimia
Hayo unafanya weweAmefanya ya ukatili, wizi, ukabila, unyang'anyi, umbea umbea, udikteta, ni kweli haji sahaulika
Kwani CAG siyo Sukuma mob?Wanaomtishia ni Sukuma Gang from Chato ambao hawataki kusikia report ya CAG ilipoibua UOZA WA KUTISHA NDANI YA SERIKALI YAKE!!
Nakuhakikishia kuwa kama Magufuli angelikuwa hai hi report ya CAG isingesomeka kama ilivo lei hi......!!!
John Pombe Joseph Magufuli(RIP) wasn't an angel as CCM followers are trying to fool people!!!!
Na nyie watu msiojulikana ili kuficha aibu ya lile jizi.Auwawe na nani, kwa lipi?
CHADEMA sio watu wazuri, walinunua nyumba Serengeti ya mil 50Hstari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Kwani CAG siyo Sukuma mob?
Tumia ubongo wako japo hata kwa nusu sekunde.Na nyie watu msiojulikana ili kuficha aibu ya lile jizi.