CAG Kichere atishiwa kifo baada ya kutoa ripoti iliyoibua madudu mengi, aongezewa ulinzi nyumbani na ofisini

Wewe ndiyo unaleta siasa. Ni lini na wapi ambapo CAG Kichere alitutangazia kuwa ametishiwa kifo na ameongezewa ulinzi? Habari inaweza kuwa ya kweli, kakini imeletwa na mwingine, wewe unamlaumu Kichere
Umbea wa magazetini, duh!
 
Hawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana

Kutishiwa kunaweza kuwepo au kusiwepo ila huku kuja kuja kutangaza kwenye magazeti na mitandaoni ni kutafuta kiki tuu kama kina vanny boy.

Na haya matangazo hayana faida yoyote kwenye kuimarisha usalama wake, zaidizaidi anawapa watu fursa ya kumjua kiundani

Kichere aache siasa na kutaka umaarufu wa kitoto.... kuna nafasi ukipewa serikalini lazima upewe ulinzi wa kutosha
Anatafuta kiki sio?

Tundu Lissu alisema ametishiwa maisha mara ngapi na nini kikajiri!!?

Kweli nyie vizazi vya shetani ni misukule.
 
Hawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana

Kutishiwa kunaweza kuwepo au kusiwepo ila huku kuja kuja kutangaza kwenye magazeti na mitandaoni ni kutafuta kiki tuu kama kina vanny boy.

Na haya matangazo hayana faida yoyote kwenye kuimarisha usalama wake.... zaidizaidi anawapa watu fursa ya kumjua kiundani

Kichere aache siasa na kutaka umaarufu wa kitoto.... kuna nafasi ukipewa serikalini lazima upewe ulinzi wa kutosha
Mbona hamkusema haya wakati mwenda zake hata alipokuwa kanisani alitangazwa na kuoneshwa kapiga magoti.
Kwani kumwabudu mungu no tendo la ajabu au la kiserikali?
 
Hstari bwashee!

Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Wanaomtishia ni Sukuma Gang from Chato ambao hawataki kusikia report ya CAG iliyoibua UOZA WA KUTISHA NDANI YA SERIKALI YA Hayati JIWE!

Nakuhakikishia kuwa kama Magufuli angelikuwa hai hii report ya CAG isingesomeka kama ilivo hivi leo!

John Pombe Joseph Magufuli(RIP) wasn't an angel as CCM followers are trying to fool people!
 
Mbona hamkusema haya wakati mwenda zake hata alipokuwa kanisani alitangazwa na kuoneshwa kapiga magoti.
Kwani kumwabudu mungu no tendo la ajabu au la kiserikali?
Shujaa amelala usingizi wa umauti lakini anakupeleka kasi bado

Hahaha yaani bado unaweweseka..... kiboko yako

Na bado anaishi na ataendelea kuishi

Kazi inaendelea
 
Wewe nawe mshamba mnoooo
Alipokua anafundisha kule sengerema ulikua ukimsaidia wewe?
Alipokua waziri kwa miaka20 kazi zake ulikua ukifanya wewe???
Alipokua rais na kufanya miradi yote ya maendeleo na kuisimamia kwa wakati wewe ndio ulikua unamsaidia.
Wewe ni bure kabisaaa
Kwa taarifa yako ameenda lakini aliyofanya yanaishi na yanadhihirisha PhD yake
Amefanya ya ukatili, wizi, ukabila, unyang'anyi, umbea umbea, udikteta, ni kweli haji sahaulika
 
Wanaomtishia ni Sukuma Gang from Chato ambao hawataki kusikia report ya CAG ilipoibua UOZA WA KUTISHA NDANI YA SERIKALI YAKE!!
Nakuhakikishia kuwa kama Magufuli angelikuwa hai hi report ya CAG isingesomeka kama ilivo lei hi......!!!
John Pombe Joseph Magufuli(RIP) wasn't an angel as CCM followers are trying to fool people!!!!
Kwani CAG siyo Sukuma mob?
 
Back
Top Bottom