Hapo umenena mkuu. Anatafuta kiki za kisiasa huyu. Anaaibisha taaluma na utu wake.Hawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana...
Hapo umenena mkuu. Anatafuta kiki za kisiasa huyu. Anaaibisha taaluma na utu wake.Hawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana...
Kakoko na genge lake.Hstari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Ya nini...CAG naye ameanza kutafuta "kiki".
Nyie ndio majizi yenyewe mnaomtishiaHawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana
Kutishiwa kunaweza kuwepo au kusiwepo ila huku kuja kuja kutangaza kwenye magazeti na mitandaoni ni kutafuta kiki tuu kama kina vanny boy...
Kama kuna raia kafanya hivyo anakosea sana. Riport yenyewe bado inamaswali mengi sana ya kujiuliza. Mfano taarifa ya bwawa la umeme kabezwa na wataalamu wabobezi aibu. Mashirika mengine yanaendelea kutoa mabezo kwa CAG. Watu watulie na kuisoma vizuri waache upotoshwaji.Hstari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Una akili sana mkuu
Sema Mnapiga maneno huku mkipigwa spana
Amina Mungu ni mkubwaAkhsante sana Ndugu, ila ashukuriwe sana Mwenyezi Mungu kwa Kunibariki na hizi Akili nyingi ulizoziona na kuzitambua Kwangu, Wazazi wangu kwa Malezi yao bora yaliyonijenga vyema Kiakili na Kimaarifa, Walimu na Wahadhiri wangu wote na hasa hasa Mtandao huu wa JamiiForums hasa kupitia Kwenu nyie 'Members' wote hapa kwani nanyi pia ni 'Geniuses' zaidi yangu na tunavyojadiliana hapa Kutwa huwa mnanijenga zaidi na Kuninoa mno Kimaarifa na Kiakili.
Tumia akili yako kufikiri hata kwa sekunde.Mmeanza kumtishia CAG na mkimuua mtatutambua watanzania
Kuna mizombie ya jiwe inahisi amechafuliwa mtu waoHatari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Tatizo wafia Jiwe wanahisi anamuuabisha maana ktk uhai wake alisema haibiwiHatari bwashee!
Mbona ile report ni ya kawaida sana ni nani anamtisha?
Auto & Self destruction due to multiple irregularities.Wasema kweli wanapokuwa hatarini kwa kunena ukweli.Walidhani wanaua upinzani kumbe wanatengeneza upinzani ndani ya chama chao...CCM imegawanyika sasa hivi...kuwa watawala na wapinzani
Huo ndiyo ukweli na akipatwa na lolote lile watu wa kwanza kudeal nao ni nyinyi maana mnajulikanaTumia akili yako kufikiri hata kwa sekunde.
Bora umeliona hiloCAG naye ameanza kutafuta "kiki".
Anatafuta Kiki tu huyuHawa kina kichere ndio wanasababisha Degree, Masters, PhD, CPA na ACCA zetu zinaambiwa hazina maana
Kutishiwa kunaweza kuwepo au kusiwepo ila huku kuja kuja kutangaza kwenye magazeti na mitandaoni ni kutafuta kiki tuu kama kina vanny boy...
Ni nani duniani hii asiyejua kuwa Lissu, Mbowe na mashabiki wao ni vibaraka wa mabeberu?CCM hamueleweki!! Mkiiba halafu taarifa rasmi ikija mnasema kiki, mkisemwa na upinzani mnasema wametumwa na mabeberu-