CAG Kichere alikuwa mkuu TRA, anayajua vizuri madudu yote ya TRA

Awamu ya tano imesababisha mioyo ya watu wengi kuvuja damu, machozi mengi machoni. Msababishi mkuu ni yule mtu katili, ambaye kimsingi kwa sasa "anakula kazi" huko kuzimu. anavuna alichokipanda.

YESU NI BWANA.
 
Two wrongs do not make a right..
Kama yeye aliwahi kosea huko nyuma
Haihalalishi wengine wakosee na wasiguswe
 
Mkono ule ule ulio nyang'anya akiwa TRA ndio mkono ule ule unaandika ufisadi wa wngine?

Tuna standards kweli?
 
Huyu huyu CAG Kichere alikuwa Commisioner General TRA. Haya madudu tunayoyaona vile vile anahusika nayo.
-Ubambikaji kodi
-Kunyang'anya fedha za wafanya biashara benki.
-Kufungia biashara.

Hawezi leo kuwa benchmark ya ukweli.
(NB alikuwa mhasibu TANROADS)
Watendaji wote wa serikali hii ya CCM wanahusika,ni vile hupenda kuwajibisha wenzao ila wao hapana. Kama mafarisago wanafiki wenye kuwatwika watu mizigo mizigo ila wao hawaigusi ngaa kwa kimoja cha vidole vyao.
 
Watendaji wote wa serikali hii ya CCM wanahusika,ni vile hupenda kuwajibisha wenzao ila wao hapana. Kama mafarisago wanafiki wenye kuwatwika watu mizigo mizigo ila wao hawaigusi ngaa kwa kimoja cha vidole vyao.
Unafiki Republic!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom