CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

CAG ashitukia ulaji mil.775/- kila heka NSSF

Inalazimishwa kwelikweli. Kuna mtu anaficha udhaifu wake huko shirikani si bure. Dau tushampima kwa ubunifu wa kuliendesha shirika kwa mafanikio na kulifanya liwe shirika namba moja miongoni mwa nchi za mashariki mwa Afrika. Waache ngonjera wapige kazi.
Sio kwa wizi huu aisee...huyu Dau ni wa kufungwa na kutaifishwa kbs..China wangemnyongelea mbali
 
Acha kutuchanganya -:
Bei ya ardhi eka mmoja sh.25 millioni actual price.
Thamani ya ardhi eka mmoja sh 800 million aliyobanbikiwa NSSF kutoka kwa mbia wake
Hasara ya makusudi alioipata NSSF kwa eka mmoja ni sh. 775 million
Eka za mradi kwa bei ya sh millioni 800 zilitakiwa kuwa eka 20,000
Ardhi halisi ya mradi ni eka 3,503 tu.
Ardhi hewa ni eka 16,487
Umiliki wa mradi NSSF 45% Mbia Azimio 55%
Pesa alizotoa NSSF sh 270 billioni na zaidi
Mbia amekopa NSSF na anataka kukopa tena eti ndio awekeze kwenye mtaji
Kulikuwa na haja gani ya kumtafuta mbia mfu,wakati NSSF mwenyewe ana nguvu ya kifedha kujisimamia?
Huu mradi una U TRUMP mtupu ndani yake,labda ndio kisa cha mbia kuwakilishwa na mawakili 8.
 
Acha kutuchanganya -:
Bei ya ardhi eka mmoja sh.25 millioni actual price.
Thamani ya ardhi eka mmoja sh 800 million aliyobanbikiwa NSSF kutoka kwa mbia wake
Hasara ya makusudi alioipata NSSF kwa eka mmoja ni sh. 775 million
Eka za mradi kwa bei ya sh millioni 800 zilitakiwa kuwa eka 20,000
Ardhi halisi ya mradi ni eka 3,503 tu.
Ardhi hewa ni eka 16,487
Umiliki wa mradi NSSF 45% Mbia Azimio 55%
Pesa alizotoa NSSF sh 270 billioni na zaidi
Mbia amekopa NSSF na anataka kukopa tena eti ndio awekeze kwenye mtaji
Kulikuwa na haja gani ya kumtafuta mbia mfu,wakati NSSF mwenyewe ana nguvu ya kifedha kujisimamia?
Huu mradi una U TRUMP mtupu ndani yake,labda ndio kisa cha mbia kuwakilishwa na mawakili 8.
Cc faiza foxy
 
Kwa hali hii Rais Magufuli nakuomba umuagize Waziri wa Sheria apelake muswada bungeni ili tuanze KUNYONGA hawa mapaka shume wanaofilisi hii nchi.Kuchekeanachekeana huku ndiko kunakoumiza hii nchi.Wengi wanakosa mlo mmoja lakini kuna mapaka shume yanachezea pesa za umma yanavyotaka.Tuanze kunyonga kwa kitanzi hawa watu.
 
Sio kwa wizi huu aisee...huyu Dau ni wa kufungwa na kutaifishwa kbs..China wangemnyongelea mbali
Dau unamjulia magazetini wewe. Siku utakayomjua kiuhalisia utajutia sana haya maneno yako. Mkuu wa kaya alikuwa na mawazo kama hayo, baada ya kulielewa somo mwenyewe unajua kilichotokea.
 
Screenshot_2016-10-29-07-19-47.png
 
Dk Dau lazima arudishwe nchini .Raisi anatakiwa kutengua kwanza uteuzi wake uchunguzi uanza mapema.
 
Back
Top Bottom