CAG anatakiwa kutangaza kuachia ngazi mapema

Hapa sasa nayaona madhaifu ya bunge la Muheshimiwa Ndungai,sasa ajibu haya ni kwa nini bunge halihoji matumizi haya ya kiholela? Na kama wameona ni sahihi basi wayabariki
Ripoti iliyopita kuna pesa hazijulikani matumizi yake 1.4 Trillion kama sijakosea, bunge limewahi kuhoji na kujadili? Tumeskia kuhusu manunuzi ya ndege na bajeti haijaidhinishwa na bunge ikiwa ni kazi zake, bunge limewahi kuhoji? Tumesikia kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege chato, bunge halijui na ni kazi yake, unafahamu hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyu mzee Asad wakati anateuliwa hakuwahi kuapishwa viapo vya utii ikiwemo kutunza siri za Serikali ambayo yeye kama CAG ni mdau mkuu?... Naamini kama alijua kuwa atakuja kupingana na mfumo kama mwanataaluma na siyo mwanasiasa, basi kwa maoni yangu asingekubali kuapishwa kama CAG. Hapa inaonekana wazi tu, kuwa Spika ana hoja nzito ambayo Asad hata afanye nini hawezi kuishinda.:oops::oops:
 
Kwa hali ya upepo unavyovuma pand za Dodoma toka alipowasili kutoka Marekani kwa kusema kuwa Bunge ni dhaifu nadhani muda umefika sasa kwa kiongozi huyu wa juu kuhusu mahesabu ya Serikali kuachia ngazi kiti chake ili mambo mengine yaendelee otherwise kazi yake itakuwa haina maana kabisa ya kukagua mahesabu ya Serikali.
mambo mengine yapi hasa ya endelee hebu tuweke wazi???
 
Hivi huyu mzee Asad wakati anateuliwa hakuwahi kuapishwa viapo vya utii ikiwemo kutunza siri za Serikali ambayo yeye kama CAG ni mdau mkuu?... Naamini kama alijua kuwa atakuja kupingana na mfumo kama mwanataaluma na siyo mwanasiasa, basi kwa maoni yangu asingekubali kuapishwa kama CAG. Hapa inaonekana wazi tu, kuwa Spika ana hoja nzito ambayo Asad hata afanye nini hawezi kuishinda.:oops::oops:
maadili katika ukweli?? jukumu lake nikuona udhaifu, wizi au usahihi katika matumizi ya fedha za umma sasa shida yake nini??
 
Wataalam wa Katiba, inaonekana Spika baada ya kuona anaziiwa nguvu ya mumuadhibu CAG - kaona akimbilie kusema Rais ni sehemu ya Bunge ....tafsiri yake ni kwamba ukilisema Bunge vibaya umemsema Rais pia - Kwa nyie wataalam wa constitutional law hii imekaaje?

Je kipi ni rahisi kwa Rais wetu, kumfuta kazi Spika ama kumfuta CAG - Maana lazima mmoja aondoke kabla ya Ijumaa Kuu ili tule pasaka kwa shangwe na nderemo.
 
Kutoeshimu katiba kutashababisha matatizo makubwa ya kiungozi.Utawala wa sheria ni vema ufuatwe badala ya kufuata isiya za wanasiasa
 
Wataalam wa Katiba, inaonekana Spika baada ya kuona anaziiwa nguvu ya mumuadhibu CAG - kaona akimbilie kusema Rais ni sehemu ya Bunge ....tafsiri yake ni kwamba ukilisema Bunge vibaya umemsema Rais pia - Kwa nyie wataalam wa constitutional law hii imekaaje?

Je kipi ni rahisi kwa Rais wetu, kumfuta kazi Spika ama kumfuta CAG - Maana lazima mmoja aondoke kabla ya Ijumaa Kuu ili tule pasaka kwa shangwe na nderemo.
CAG ataondoka mwenywe....
 
Kutoeshimu katiba kutashababisha matatizo makubwa ya kiungozi.Utawala wa sheria ni vema ufuatwe badala ya kufuata isiya za wanasiasa
Katiba inafuatwa Kama hujui.Na Kama kuna kiongozi hafuati katiba nenda kafungue kesi Mahakamani
 
Binadamu kamili kabisa hupokea changamoto na kuzirekebisha.

Tatizo kubwa ni MTU kujiona mkamilifu.

Anaekwambia ukweli mshukuru anakusaidia. Kuliko akusifiaye wakati unakosea huyo ni sawa na muuaji.

Binafsi kwa uelewa wangu Mdogo CAG yupo sawa kwani ni kauli inayotumika kupima performance. Weak ni chini ya average. Wananchi tunawategemea sana wabunge wetu lakini kwa hali nayoiona binafsi naona mnatakiwa kujitahidi kubadirika.

Wananchi tunataka maendeleo. Sio siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu kamili kabisa hupokea changamoto na kuzirekebisha.

Tatizo kubwa ni MTU kujiona mkamilifu.

Anaekwambia ukweli mshukuru anakusaidia. Kuliko akusifiaye wakati unakosea huyo ni sawa na muuaji.

Binafsi kwa uelewa wangu Mdogo CAG yupo sawa kwani ni kauli inayotumika kupima performance. Weak ni chini ya average. Wananchi tunawategemea sana wabunge wetu lakini kwa hali nayoiona binafsi naona mnatakiwa kujitahidi kubadirika.

Wananchi tunataka maendeleo. Sio siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Maendeleo unayoyataka ni yapi wakati barabara zinajengwa Huduma afya zinaboreshwa elimu Safi maji kibao viwanda vinajengwa nk
 
Kwa hali ya upepo unavyovuma pand za Dodoma toka alipowasili kutoka Marekani kwa kusema kuwa Bunge ni dhaifu nadhani muda umefika sasa kwa kiongozi huyu wa juu kuhusu mahesabu ya Serikali kuachia ngazi kiti chake ili mambo mengine yaendelee otherwise kazi yake itakuwa haina maana kabisa ya kukagua mahesabu ya Serikali.
Waliotaka aachie ngazi wanaruka na kukanyagana, haya nani tena anataka hilo takwa?
 
Back
Top Bottom