CAG anatakiwa kutangaza kuachia ngazi mapema

Kwa hali ya upepo unavyovuma pand za Dodoma toka alipowasili kutoka Marekani kwa kusema kuwa Bunge ni dhaifu nadhani muda umefika sasa kwa kiongozi huyu wa juu kuhusu mahesabu ya Serikali kuachia ngazi kiti chake ili mambo mengine yaendelee otherwise kazi yake itakuwa haina maana kabisa ya kukagua mahesabu ya Serikali.
Uzi wenyewe empty words. Hauna takwimu, hauna mantiki na umeandikwa kishabiki tu. Tunahitaji nyuzi zilizoandikwa ki-Great Thinker bwana......
 
Kwa hali ya upepo unavyovuma pand za Dodoma toka alipowasili kutoka Marekani kwa kusema kuwa Bunge ni dhaifu nadhani muda umefika sasa kwa kiongozi huyu wa juu kuhusu mahesabu ya Serikali kuachia ngazi kiti chake ili mambo mengine yaendelee otherwise kazi yake itakuwa haina maana kabisa ya kukagua mahesabu ya Serikali.
Pumbav u kabisaa wwe.
 
Magu anapenda transparency ambapo Asad ndo aliposimamia nategemea busara za Ninja kupisha kiti icho au mzee baba mwenyewe amuweke kando
 
CAG hana impact? Hahaha
Hiko cheo kingefutwa siku nyingi. Yeye ni mtu wa data sio blablablah..
Hayuko pale kisiasa bali yuko pale kikatiba. Na kaz yake ni ukaguzi..not otherwise
CAG hana impact yoyte...anabwabwaja lakn wana wanamchora tuu, inshort kuanzia sasa atakuwa anafanya kaz katika mazingira magumu sana....!! hatathaminiwa kabisa, na atajiona mpweke kinyama labda wanaharakati wa mtandaoni ndo wataendelea kumpa matumaini hewa
 
Katiba inamlinda.CAG hawajibiki kwa bunge. Agekuwa member wa Bunge maybe.. lakin sio.. means ni independent entity.
Na only president ndio ana authority hiyo
Hizi akili zenu ni tatizo, hivi unadhani kuna Rais anaweza enda kinyume na azimio la Bunge? hiyo katiba mnayojidai mnaijua huwa mnaisoma kwa makengeza, kwa saga hili ukiamua kuweka mbele maslahi ya umma ni Rais mwendawazimu tu ataesimama na CAG kama Bunge limepitisha azimio la kumwondoa.
 
Katiba inamlinda.CAG hawajibiki kwa bunge. Agekuwa member wa Bunge maybe.. lakin sio.. means ni independent entity.
Na only president ndio ana authority hiyo
Katiba inalindwa na bunge...bunge ndo lina nguvu ya kuitomasa katiba na kuigeuza litakavyo...
 
Hahaha kama ingekuwa hivyo wangeshabadilisha sikunyingi nyingi sana. 1977 mpaka sasa.. wanasubiri nn?
Unadhan kubadilisha katiba is that simple
Katiba inalindwa na bunge...bunge ndo lina nguvu ya kuitomasa katiba na kuigeuza litakavyo...
 
Kwa nini wewe na wenzako bungeni msiachie ngazi ili kupisha wananachi wakiwarudisha basi CAG anasepa ila msiporudi iwe ni ushahidi tosha kuwa wananchi wako na CAG wao?

Kwa hali ya upepo unavyovuma pand za Dodoma toka alipowasili kutoka Marekani kwa kusema kuwa Bunge ni dhaifu nadhani muda umefika sasa kwa kiongozi huyu wa juu kuhusu mahesabu ya Serikali kuachia ngazi kiti chake ili mambo mengine yaendelee otherwise kazi yake itakuwa haina maana kabisa ya kukagua mahesabu ya Serikali.
 
Hahaha kama ingekuwa hivyo wangeshabadilisha sikunyingi nyingi sana. 1977 mpaka sasa.. wanasubiri nn?
Unadhan kubadilisha katiba is that simple
Hawawez kubadilisha kwa sababu imelalia kwao, hata kama sio simple bado bunge ndo lina nguvu ya kufanya hivyo, hakuna mhimili wwte au mtu yyte mwenye nguvu hiyo, ndo mana hata raisi akiingia madarakani cha kwanza ni kubana bunge kwa kuweka vibaraka wake, bunge lina nguvu hata ya kumuondoa raisi, nchi zingine raisi aliyechaguliwa akizidiwa viti vya ubunge inambidi kufanya serikali ya mseto , bila hvyo hoja zake zitakuwa zinapingwa na kwa kuwa wapinzani ni wengi bungeni linapokuja suala la kura lazima aangukie pua, na hata kumuondoa ni dk sifuri tuu, ili kuepusha hyo anafanya serikali ya mseto.....
Linapokuja suala la kuonyeshana ubabe CAG hana nguvu yyte dhidi ya Bunge, wakitaka kumfanya kitu mbaya ni chapu tuu ...sema huwez kufanya mchakato mkubwa kama ule kwa kesi ndogo kama ya CAG, kinachofanyika ni kuitupa ripoti kwenye dustbeen, maana CAG anategemea Bunge ili ripoti yake ilete matokeo
 
Kwa hali ya upepo unavyovuma pand za Dodoma toka alipowasili kutoka Marekani kwa kusema kuwa Bunge ni dhaifu nadhani muda umefika sasa kwa kiongozi huyu wa juu kuhusu mahesabu ya Serikali kuachia ngazi kiti chake ili mambo mengine yaendelee otherwise kazi yake itakuwa haina maana kabisa ya kukagua mahesabu ya Serikali.
Hapo ndipo panapotia shaka ya kwamba serikali hii kweli INA nia ya kuondoa ufisadi !!!!!
Mbona kila msema ukweli anakuwa adui wa serikali!?
Pesa za serikali zinapigwa mchana kweupe CAG akisema mnataka aachie ngazi! Basi futeni kabisa kazi za CAG zisiwepo ili mzitwange pesa zetu bila bughudha. Daaaah!
ILA mjuwe siku mambo yakiwageuka tutawatafuta popote mlipo ili mlipie dhambi mnazotutenda, AISHIVYO MUNGU. IPO SIKU
 
Hapo ndipo panapotia shaka ya kwamba serikali hii kweli INA nia ya kuondoa ufisadi !!!!!
Mbona kila msema ukweli anakuwa adui wa serikali!?
Pesa za serikali zinapigwa mchana kweupe CAG akisema mnataka aachie ngazi! Basi futeni kabisa kazi za CAG zisiwepo ili mzitwange pesa zetu bila bughudha. Daaaah!
ILA mjuwe siku mambo yakiwageuka tutawatafuta popote mlipo ili mlipie dhambi mnazotutenda, AISHIVYO MUNGU. IPO SIKU
Hakuna ushahidi wowote kuwa pesa ya Serikali inaliwa ila nachojua Mimi Ni kuwa taratibu za fedha zinakuwa hazijakamilika pale CAG anapokuwa anakagua na akipita tena taarifa huwa sahihi.
 
Hakuna ushahidi wowote kuwa pesa ya Serikali inaliwa ila nachojua Mimi Ni kuwa taratibu za fedha zinakuwa hazijakamilika pale CAG anapokuwa anakagua na akipita tena taarifa huwa sahihi.
Kwa maana hiyo unatuhakikishia serikali hii haina utaratibu wa kuzitumia pesa za wavuja jasho?
Mnajikanyaga tu kutoa majibu juu ya pesa zetu.
Mbona hayo ya taratibu za matumizi hazijakamilika huko nyuma hayakuwepo?
 
Kwa hali ya upepo unavyovuma pand za Dodoma toka alipowasili kutoka Marekani kwa kusema kuwa Bunge ni dhaifu nadhani muda umefika sasa kwa kiongozi huyu wa juu kuhusu mahesabu ya Serikali kuachia ngazi kiti chake ili mambo mengine yaendelee otherwise kazi yake itakuwa haina maana kabisa ya kukagua mahesabu ya Serikali.
Avatar yako ina picha ya Sankara! Jambo kustaajabisha tafakuri yako ni duni sana kuliko mwenye hiyo picha.

Tangu bwana Kipaza ale za chembe na ngumbaru wenzake humu pressure imeshuka, maana watu tulikuwa hatuendi hata kwenye jukwaa la habari za migegedo.

Lakini tangu Kangi atoe uchafu wake kinywani naanza kuona vijitu ambavyo na support upumbavu. Wewe ni wapili wakwanza ni huyu,Shamimumuodd.

Swali langu kwenu nani kawatuma? Huyu shami tangu jana hajalala anaendelea kuandika pumba zake kisa ana shule ya Mzumbe kichwani mwake.

Hivi hamuoni haya? Hamuoni kinyaa?
 
Bunge limesema amelidharau Bunge
Ukitaka usidharaulike timiza wajibu wako ipasavyo.

The same to you, timiza wajibu na usimame imara kama mzalendo wa kweli. Sankara alisema, I want people to remember me as a someone whose life has been help full to humanity.

CAG anathibitisha hii kauli kwa vitendo
 
Back
Top Bottom