ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,642
- 51,491
- Thread starter
- #81
Wa hivi hawajui hata simenti ime ongezwa 1000.
Wa hivi hawajui hata simenti ime ongezwa 1000.
hakuna bilion mbili kuna jengo la bilion 2Lote nimeliona,weka picha yote..
Leo mumeumbuka,Kuna Bilioni 2 hapo?
Wakuu Chadema Wana mzaha sana ,eti haka kajengo kama nyumba ya kuishi ndio Ofisi ya Chama Makao Makuu waliyoisubiria Kwa miaka 30..
Mil.500 eti ya Kiwanja na Ukarabati wa 1.5bln? Huu ni Ufisadi wa mchana kweupeee.
Hivi Chadema mnaijua Bilioni 2 kweli nyie? Anyway wajinga ndio Waliwao nyumbu ni nyumbu tuu..
View attachment 2675294
Chama kikuu cha upinzani CHADEMA kililazimika kusubiri kwa miaka 30 kabla ya kupata jengo la ghorofa moja litakalotumiwa kama makao makuu yake, lililonunuliwa na kurekebishwa kwa thamani ya takriban Sh1.5 bilioni.
My Take
CAG Afanye Ukaguzi maalumu,Wamekarabati pesa ya ruzuku,hapana Value for money hapo.
Tumepigwa
Angalia huyu kichaa sasa kampain watakuwa wanapigia hapo ofsini,na kwann wawaue wamekosa nini,Wao na familia zao watahamia kwenye hiyo nyumba ya kuzuia mabomuu?Hivi umeingia mle ndani wewe kapuku ? usifanye mchezo na jengo lililowekwa mitambo ya kuzuia mabomu na risasi .
Kwa sasa ukitaka kumuua kiongozi wa Chadema akiwa ofisini kwake njia unayoshauriwa kutumia ni kumloga tu , risasi hazipenyi hapo .
Bandari haizuii kujadili mambo mengine ya kisiasa,kiuchumi na kiutamaduni pia.....Bandari waambie hatujamalizana nao.Sasa kwanini bandari isiondoke kwa style hii , vijana wanajadili very minor issues pumbav
Sasa kwanini bandari isiondoke kwa style hii , vijana wanajadili very minor issues pumbav
Za asubuhi
Ha ha ha ! Kwa CHADEMA ni upigaji kwa CCM ni urefu wa kambaTumepigwa
Ccm haijiibii kama Chadema
Ni wahuni wachache,Sasa imagine mtu anaiba kwao Kwa wengine itakuaje? Nani atawapokea na tumejua nyie ni wezi?
Wanachadema hawalalamiki we demu wa manzese kwa mfuga mbwa unabwabwaja yanakuhusu?Wakuu Chadema Wana mzaha sana ,eti haka kajengo kama nyumba ya kuishi ndio Ofisi ya Chama Makao Makuu waliyoisubiria Kwa miaka 30..
Mil.500 eti ya Kiwanja na Ukarabati wa 1.5bln? Huu ni Ufisadi wa mchana kweupeee.
Hivi Chadema mnaijua Bilioni 2 kweli nyie? Anyway wajinga ndio Waliwao nyumbu ni nyumbu tuu..
View attachment 2675294
Chama kikuu cha upinzani CHADEMA kililazimika kusubiri kwa miaka 30 kabla ya kupata jengo la ghorofa moja litakalotumiwa kama makao makuu yake, lililonunuliwa na kurekebishwa kwa thamani ya takriban Sh1.5 bilioni.
My Take
CAG Afanye Ukaguzi maalumu,Wamekarabati pesa ya ruzuku,hapana Value for money hapo.
Muulize basha mwenzio utapata majibuJibu hoja,upigaji hamjashika Nchi sipati picha mkiingiza hata Halmashauri
Why unapotosha, wapi Chadema imesema thamani ni billion 2? Unaweza quote hapa?Lote nimeliona,weka picha yote..
Leo mumeumbuka,Kuna Bilioni 2 hapo?
Ni wahuni wachache,Sasa imagine mtu anaiba kwao Kwa wengine itakuaje? Nani atawapokea na tumejua nyie ni wezi?
Mijizi wakubwa nyie. Mnaiba kodi zetu mpaka mnavimbiwa and vomiting into your shoes.Ccm haijiibii kama Chadema
Wakuu Chadema Wana mzaha sana ,eti haka kajengo kama nyumba ya kuishi ndio Ofisi ya Chama Makao Makuu waliyoisubiria Kwa miaka 30..
Mil.500 eti ya Kiwanja na Ukarabati wa 1.5bln? Huu ni Ufisadi wa mchana kweupeee.
Hivi Chadema mnaijua Bilioni 2 kweli nyie? Anyway wajinga ndio Waliwao nyumbu ni nyumbu tuu..
View attachment 2675294
Chama kikuu cha upinzani CHADEMA kililazimika kusubiri kwa miaka 30 kabla ya kupata jengo la ghorofa moja litakalotumiwa kama makao makuu yake, lililonunuliwa na kurekebishwa kwa thamani ya takriban Sh1.5 bilioni.
My Take
CAG Afanye Ukaguzi maalumu,Wamekarabati pesa ya ruzuku,hapana Value for money hapo.