CAF Team of the Week: Simba Sc waingiza watano

Sio kweli, simba imepata mafanikio makubwa kwa muda mfupi.. enyimba alishiriki caf mara yake ya kwanza alitolewa round ya kwanza.. msimu wa pili wake alioshiriki mara yake ya pili akaenda twaa ubingwa kabisa, na alivyorudi kushiriki msimu wa 3 akatwaa ubingwa tena..

Sasa huo muda mfupi wa simba ni upi ?
Wafuasi wa manara wana akili basi?
 
Caf ya sasa hivi rahisi kuliko ya zamani.. zamani kufika group stage tu ilikuwa uwe mwanaume kweli kweli.... maana group stage zilikuwa zinaingia timu 8 tu.. siku hizi group stage zinaingia timu 16..

Enyimba waliwekeza hela nyingii sana kutwaa ubingwa wa caf haraka haraka. Walijenga hadi uwanja wa gharama kuliko hata wa mazembe ama azam... enzi hizo waarabu kina zamalek, al ahly, esperence, es setif, waydad, raja casablanca walikuwa wa moto kweli kweli, huku kwa weusi kuna asec mimosas, mazembe,canon yaunde, asante kotoko etc, hapo jiulize makundi tu unafikaje katika nafasi 8 tu, na hapo hapo ukatwae ubingwa kabisa

Zama hizi hakuna wachezaji wa kiwango kama zamani kwa timu za africa zinazocheza caf maana ulaya wanaenda mapema , mfano aboutrika, zaki, enyeama, toure, etc etc walikuwa wana uwezo mkubwa sana na wanacheza caf na timu zao huku wana viwango vya ulaya tupu

Caf wamefanya mabadiliko mengi kwenye mashindano yao yote. Yamekuwa mepesi ndio maana hata Tanzania tunafuzu kucheza afcon zama hizi.... zamani wewe ulisikia wapi nchi kama Tanzania ama kenya na burundi zinafuzu afcon.

Kwanza hata kwa zama hizi horoya ana mafanikio ya haraka kuliko simba .. na horoya hawajawekeza hela nyingi kama simba .ila horoya anafika mbali kuliko simba karibu kila msimu
Horoya hawajaweleza hela nyingi nani kakudanganya

Misimu mitatu iliyopita Horoya na Simba wameshiriki mara 2 Simba ameenda robo fainali mara 2 horoya mara 1
 
Horoya hawajaweleza hela nyingi nani kakudanganya

Misimu mitatu iliyopita Horoya na Simba wameshiriki mara 2 Simba ameenda robo fainali mara 2 horoya mara 1

Kwa horoya Mbona umechagua misimu mitatu tu, hujachagua minne ama mitano iliyopita.. kwa enyimba pia mbona hujaongea chochote, weka bajet ya simba kwa mwaka ambazo mo anatumia , weka na bajet ya horoya pia?

Mo simba hajakaa misimu mitatu tu, weka misimu yote toka mo ameanza kuwekeza simba kama mo, kisha weka na ya horoya. Tupime mafanikio yao kwenye caf competitions... acha kuchagua misimu mitatu tu..

Horoya hana hata misimu 10 toka ameanza kushiriki champions league na hawajawekeza hela kama simba..

Nimekuwekea screen shot ya horoya.. na msimu huu ambao haujawekwa kwenye wikipedia ya horoya.. wamefika hatua ya makundi... haya weka ya simba misimu hata mitano tu

Screenshot_20210524-205341_Firefox.jpg
 
Simba haiwezi kuchukua ubingwa wakiwa na wachezaji wenye wastani wa miaka 40, Ila kwakua viongozi na baadhi ya mashabiki ni ma Mbumbumbu watendelea kuamini Bado kidogo watacheza nusu fainali ya Afrika, awajui umri wa ao wachezaji unazidi kuongezeka.
Akili yao inaiashia Mwembechai.
 
Caf ya sasa hivi rahisi kuliko ya zamani.. zamani kufika group stage tu ilikuwa uwe mwanaume kweli kweli.... maana group stage zilikuwa zinaingia timu 8 tu.. siku hizi group stage zinaingia timu 16..

Enyimba waliwekeza hela nyingii sana kutwaa ubingwa wa caf haraka haraka. Walijenga hadi uwanja wa gharama kuliko hata wa mazembe ama azam... enzi hizo waarabu kina zamalek, al ahly, esperence, es setif, waydad, raja casablanca walikuwa wa moto kweli kweli, huku kwa weusi kuna asec mimosas, mazembe,canon yaunde, asante kotoko etc, hapo jiulize makundi tu unafikaje katika nafasi 8 tu, na hapo hapo ukatwae ubingwa kabisa

Zama hizi hakuna wachezaji wa kiwango kama zamani kwa timu za africa zinazocheza caf maana ulaya wanaenda mapema , mfano aboutrika, zaki, enyeama, toure, etc etc walikuwa wana uwezo mkubwa sana na wanacheza caf na timu zao huku wana viwango vya ulaya tupu

Caf wamefanya mabadiliko mengi kwenye mashindano yao yote. Yamekuwa mepesi ndio maana hata Tanzania tunafuzu kucheza afcon zama hizi.... zamani wewe ulisikia wapi nchi kama Tanzania ama kenya na burundi zinafuzu afcon.

Kwanza hata kwa zama hizi horoya ana mafanikio ya haraka kuliko simba .. na horoya hawajawekeza hela nyingi kama simba .ila horoya anafika mbali kuliko simba karibu kila msimu
Kenya ilifuzu mwaka 1992 na 2004 mkuu
 
Caf ya sasa hivi rahisi kuliko ya zamani.. zamani kufika group stage tu ilikuwa uwe mwanaume kweli kweli.... maana group stage zilikuwa zinaingia timu 8 tu.. siku hizi group stage zinaingia timu 16..

Enyimba waliwekeza hela nyingii sana kutwaa ubingwa wa caf haraka haraka. Walijenga hadi uwanja wa gharama kuliko hata wa mazembe ama azam... enzi hizo waarabu kina zamalek, al ahly, esperence, es setif, waydad, raja casablanca walikuwa wa moto kweli kweli, huku kwa weusi kuna asec mimosas, mazembe,canon yaunde, asante kotoko etc, hapo jiulize makundi tu unafikaje katika nafasi 8 tu, na hapo hapo ukatwae ubingwa kabisa

Zama hizi hakuna wachezaji wa kiwango kama zamani kwa timu za africa zinazocheza caf maana ulaya wanaenda mapema , mfano aboutrika, zaki, enyeama, toure, etc etc walikuwa wana uwezo mkubwa sana na wanacheza caf na timu zao huku wana viwango vya ulaya tupu

Caf wamefanya mabadiliko mengi kwenye mashindano yao yote. Yamekuwa mepesi ndio maana hata Tanzania tunafuzu kucheza afcon zama hizi.... zamani wewe ulisikia wapi nchi kama Tanzania ama kenya na burundi zinafuzu afcon.

Kwanza hata kwa zama hizi horoya ana mafanikio ya haraka kuliko simba .. na horoya hawajawekeza hela nyingi kama simba .ila horoya anafika mbali kuliko simba karibu kila msimu
Horoya amefika mbali zaidi ya Simba msimu upi ?

Horoya kavuka kwenda robo fainali mara ngapi ?

Hivi unajua karibu kikosi kizima cha Horoya wanacheza national teams zao ?
 
Horoya amefika mbali zaidi ya Simba msimu upi ?

Horoya kavuka kwenda robo fainali mara ngapi ?

Hivi unajua karibu kikosi kizima cha Horoya wanacheza national teams zao ?

Kabla hujauliza horoya kavuka robo mara ngapi jiulize Simba kavuka robo fainali mara ngapi pia?

Weka mafanikio ya simba misimu minne (4) iliyopita toka mo ameanza kuwekeza simba kisha uweke na ya horoya kwenye mashindano ya caf tujue nani anamzidi mwenzake..

Weka tushindanishe simba vs horoya amefika robo mara ngapi

Na weka tushindanishe simba vs horoya kafika makundi mara ngapi..

Weka tushindanjshe pia simba vs horoya kafika 2nd round mara ngapi

Weka tushinanishe 4 season za simba wakiwa na mo dewji na 4 season za horoya
 
Kabla hujauliza horoya kavuka robo mara ngapi jiulize Simba kavuka robo fainali mara ngapi pia?

Weka mafanikio ya simba misimu minne (4) iliyopita toka mo ameanza kuwekeza simba kisha uweke na ya horoya kwenye mashindano ya caf tujue nani anamzidi mwenzake..

Weka tushindanishe simba vs horoya amefika robo mara ngapi

Na weka tushindanishe simba vs horoya kafika makundi mara ngapi..

Weka tushindanjshe pia simba vs horoya kafika 2nd round mara ngapi

Weka tushinanishe 4 season za simba wakiwa na mo dewji na 4 season za horoya
Mbona hujaweka sasa hizo takwimu za Horoya ?
 
Mbona hujaweka sasa hizo takwimu za Horoya ?

Horoya in last 4 season.

Kafika robo fainali mara mbili

Kafika hatua ya makundi mara moja

Na kafika second round mara moja..

Naomba na wewe uweke takwimu za simba

Hiyo ni ya caf champions league . Sijaweka ya confederations cup maana horoya baada ya kutolewa second round alipelekwa confederations cup na akafika mbali pia..

Weka ya simba sasa last 4 seasons za simba ya kisasa chini ya tajiri mo
 
Horoya in last 4 season.

Kafika robo fainali mara mbili

Kafika hatua ya makundi mara moja

Na kafika second round mara moja..

Naomba na wewe uweke takwimu za simba

Hiyo ni ya caf champions league . Sijaweka ya confederations cup maana horoya baada ya kutolewa second round alipelekwa confederations cup na akafika mbali pia..

Weka ya simba sasa last 4 seasons za simba ya kisasa chini ya tajiri mo
Alifika wapi ?

Horoya Kafika Quaterfinals mara mbili katika hiyo misimu 4 sawa na simba ambaye nae alifika Quarterfinals mara mbili.

Tofauti ni ipi hapo ?
 
Alifika wapi ?

Horoya Kafika Quaterfinals mara mbili katika hiyo misimu 4 sawa na simba ambaye nae alifika Quarterfinals mara mbili.

Tofauti ni ipi hapo ?

Simba kafika makundi pia mara ngapi na second round mara ngapi ndani ya hiyo misimu minne. Ili tuseme yuko sawa na horoya? Ama kufika makundi sio kufika mbali?
 
Back
Top Bottom