CAF Champions League

CAF Champions League

unamaana gani mkuu..?

kosa lilifanywa taifa kumfunga muarabu goli moja ni kosa .sehem km izo simba huwa anakupja hata tatu .yanga mpira wao wa kimataifa bado sn kwan alyha ni timu ipo chin sn kwan hata uko misr still walikua na chance za kuwatoa lkn ni kichwa cha mwendawazimu daima
 
Movei imekata episode 2 ah!yan hata season wameshindwa kumaliza,
ah!fkcynlyo2 yeboyebo
 
Pole sana wana-Yanga na Wa-Tanzania wote waliokuwa wanaamini kwamba Yanga inaweza kumtoa Muarabu tena Bingwa mtetezi wa michuano hii
 
wamewatoa al ahly mkuu,infrastratn ya kufungwa nini mpaka umesahau kama mlikuwa mnacheza waarabu?

Mkuu penati huwa hazina mwenyewe, lakini nafasi mbili tulizokuwa nazo tumezichezea
 
Hawa jamaa sio wazuri kama zamani,kama tungekuwa makini tungewatoa kwenye penati.Ingekuwa enzi zao wangetufunga hata 3 bila
tatizo amkujianda na penati mlijua dk tisini mtakua mshakula tano zenu..kocha hakutegemea kufika uko kote..
 
Poleni sana watani zangu! Labda Africa ianzishe ligi ya kuku ndo mtachukua! Nilitamani mshinde lakini waarabu wamewapokonya! Again poleni.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Yaani we acha tu niliyaomba yametimia, kesho mjini pasingekalika ila nawapongeza wamekufa kiume yanga wana timu mzuri sana safari hii.
 
Back
Top Bottom