CAF Champions League

hapa ninapoangalia mimi kuna mtu anasikiliza redio kama mnavyojua redio inawahi kuliko tv sasa yeye akasema goli mara likaingia wasjabiki wa yanga wamempa kichapo heavy

Nani kamwambia awe mtangazaji! Na ashukuru Mungu wangemg'oa kucha na macho!
 
Tunapata nasafi pale ila hatujaitumia vizuri
 
mi nawatakia heri yanga na kwa kweli wanajitahidi ila furaha yangu itakuwa kubwa endapo yanga itafungwa.
 
Kwani hawa kandambili wakishnda hapa wataenda kucheza na tp mazembe huko taifa tutapata aibu kubwa bora watolewe hapo hapo egypt. Waarabu tuepushie hii aibu
 
Penati atapiga nani na Kiiza washamtoa?!
 
Kama ni goli tupate hapa. Freekick kuelekea kwa warabu...
 
Kabisa mamie, ila we ongea badala yangu mie ngoja kwanza nipumzike maana tumbo limeshanishika ghafla hapa.

Kaharishe tuu ndugu ukirudi lazima ukute Yanga wamepigwa cha pili...

Uharo mwema mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…