CAF Champions League

CAF Champions League

الأهلى

للرياضة البدنية‎

لنادى الأهلى

1-0

Aleyo obe?
 
Yanga wamepaki basi jaman, wanakaribisha mashambulizi
 
للرياضة البدنية‎

Al Ahly 1-0 Yanga
 
Kama kawa kama dawa,leo lazima waarabu wakae,na hiki hapa ndicho kikosi kitakachoanza kuwaua waarabu leo,Niyonzima ni mgonjwa nadhani ata kwenye bench hatakuwepo.

Updates:HT-Al Ahly0-0Young Africans.
Updates😀k 73-Al Ahly1-0Yanga


Line up:Yanga.
1.Deo Munishi
2.Twite Mbuyu
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Frank Domayo
7.Saimon Msuva
8.Mrisho Ngasa
9.Didier Kavumbagu
10.Emmanuel Okwi
11.Hamisi Kiiza

Tetesi:Yanga wakiitoa Ahly watapewa 400m kama zawadi.

Al Ahly 1- Yanga 0 bao limefungwa dakika ya 71 kutokana na uzembe wa mabeki kutokuondoa haraka hatari iliyokuwepo eneo la goli!
 
Yanga walikuwa busy ku protect Lango lao

la pili litaingia sasa hivi kabisaa
 
Back
Top Bottom