Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
mandieta kwani Heaven on Earth ni jimbo wazi?
unamaanishaa nini hapo
mandieta kwani Heaven on Earth ni jimbo wazi?
Disco limeingiliwa na mmasai sime nje nje..........poleni yanga.wigan kuifunga man city ni dalili ndala wanaweza kubahatisha kumtoa bingwa wa africa
الأهلى
للرياضة البدنية‎
لنادى الأهلى
1-0
tayari duh yanga chali
Gang chomba yupo uwanjani kama ball boy...
wigan kuifunga man city ni dalili ndala wanaweza kubahatisha kumtoa bingwa wa africa
tushafungwa dah
Subiri mpira uishe,we si unaona wameshakinukisha?mandieta kwani Heaven on Earth ni jimbo wazi?
Kama kawa kama dawa,leo lazima waarabu wakae,na hiki hapa ndicho kikosi kitakachoanza kuwaua waarabu leo,Niyonzima ni mgonjwa nadhani ata kwenye bench hatakuwepo.
Updates:HT-Al Ahly0-0Young Africans.
Updates😀k 73-Al Ahly1-0Yanga
Line up:Yanga.
1.Deo Munishi
2.Twite Mbuyu
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Frank Domayo
7.Saimon Msuva
8.Mrisho Ngasa
9.Didier Kavumbagu
10.Emmanuel Okwi
11.Hamisi Kiiza
Tetesi:Yanga wakiitoa Ahly watapewa 400m kama zawadi.
dahhhhhhhhhhh aiseeeeeeeeeee dak 71 waarabu goli dah
wanataka kutangaza ndoaunamaanishaa nini hapo
sema wewe.