Ha ha ha ha ha...Mashabiki wa Yanga mnachekesha kweli...eti mpewe Raha na Yanga...msubiri stress tu......Na kama mkishinda uje mkuu...hakutakuwa na chenga
Mkuu hilo litakuwa ni taifa lako peke yako..Yanga haijakabidhiwa bendera ya taifa na waziri wa michezo wala rais..Yanga haiiwakilishi nchi...inamwakilisha Manji na Bin Kleb
Kwani kwenye taarifa za kimataifa watasema yanga of manji au yanga from Tanzania?? Yanga ndio iliojitahidi kwa kuywa bingwa na wana stahili kuiwakilisha taifa..kama wamepewa nafasi hyo kwanini tusiungane kuiombea mema..
Ha ha ha ha ha...Mashabiki wa Yanga mnachekesha kweli...eti mpewe Raha na Yanga...msubiri stress tu......Na kama mkishinda uje mkuu...hakutakuwa na chenga
Wa kwangu sikupi ng'oooooo mkuu...endapo mtashinda kitu ambacho najua hamuwezi...utaishia kumuona akiwa naked katika safari yetu ya kutoka posta hadi kimara
Wa kwangu sikupi ng'oooooo mkuu...endapo mtashinda kitu ambacho najua hamuwezi...utaishia kumuona akiwa naked katika safari yetu ya kutoka posta hadi kimara
Uyu kocha wa YANGA kachambia tindikali yaani unacheza na Bingwa mtetezi tena kwao alafu unachezesha kiungo mkabaji 1 pekee Domayo? Matatizo mengine ya kujitakia