cable tv za mikoani...

Babati, wana Manyara cable chanels kibao. Hadi SS...kule mpira unaangalia hadi kwny Grocery ndogo ukinunua kinywaji
 
mkuu fanya utafiti tu ndio utajua kwanini tunasema za mazabe.
Yaani DSTV walipe milions of dola halafu wewe ununue dish na recever kama mteja wa kawaida kisha uanze kuwasambazia watu kwa malipon hiyo unaona ni sawa? Ukiona hivyo wameamua kupotezea kibongo bongo
Jiulize kwanini bongo hazijasambaa zipo chache kwa wahindi na bei ni juu
Ni DSTV pekee ndio wenye haki ya kuonyesha vipindi vyao kama spersports zoten mm, mnet nk wengine wezi tu labda waonyeshe chaneli za bure

ACHA KUBISHA BISHA KITU USICHOKIJUA!TABORA KUNA CAMPUNI 2 ZA CABLE ....KWA MWEZI 10000 wunapata raha kuliko mwenye DSTV!hakuna chanel nisiyopata!TENA MIMI NATUMIA BUREEEE HUU MWAKA WA 3 TOKA NIANZE KUTUMIA BUREE!NINE HACK MAWIMBI YAO!
 
Kwa mikoani ni rahis sana kufanya mazabe, mikoa mingi, Mwanza, Shy na Bukoba huko DSTV unavutiwa nyumbani kwako kwa ghramna chini ya buku 5
 
mkuu fanya utafiti tu ndio utajua kwanini tunasema za mazabe.
Yaani DSTV walipe milions of dola halafu wewe ununue dish na recever kama mteja wa kawaida kisha uanze kuwasambazia watu kwa malipon hiyo unaona ni sawa? Ukiona hivyo wameamua kupotezea kibongo bongo
Jiulize kwanini bongo hazijasambaa zipo chache kwa wahindi na bei ni juu
Ni DSTV pekee ndio wenye haki ya kuonyesha vipindi vyao kama spersports zoten mm, mnet nk wengine wezi tu labda waonyeshe chaneli za bure

Kwa sababu Dar imezungukwa na mafisadi (CCM),ndio maana wanawanyonya sana hao DSTV.
 
ACHA KUBISHA BISHA KITU USICHOKIJUA!TABORA KUNA CAMPUNI 2 ZA CABLE ....KWA MWEZI 10000 wunapata raha kuliko mwenye DSTV!hakuna chanel nisiyopata!TENA MIMI NATUMIA BUREEEE HUU MWAKA WA 3 TOKA NIANZE KUTUMIA BUREE!NINE HACK MAWIMBI YAO!

Mkuu mbona unadandia treni kwa mbele? Nani kabisha hakuna cable mikoani.
Rejea swali la mleta mada na jibu nililo mjibu ARV
Ninacho kisema mimi ni kuwa hizo chaneli zinazo onyeshwa nyingi hazionyeshwi kihalali, wanachofanya jamaa ni kuweka chaneli kibao bila ridhaa ya wahusika na nyingi ya hizo ni za DSTV ambapo hapa bongo ni wenyewe tu ndio wenye mamlaka ya kurusha chaneli zao na hawajatoa hata kibali kimoja kwa cable tv yoyote ya bongo kurusha vipindi vyao
 
Kwa sababu Dar imezungukwa na mafisadi (CCM),ndio maana wanawanyonya sana hao DSTV.

Ha ha haaaa
Mkuu ni mambo ya kisheria zaidi, ninyi wa mikoani ndio mnafanya ufisadi, Singida malipo ni elfu5 tu kwa mwezi chaneli kibao mipira yote ma movies nk
 
Mkuu unaleta hadithi wewe. Hakuna kitu kama hicho vinginevyo watu wange fanya hivyo kuliko kulipishwa midola ya DSTV kila mwezi
Kaka acha kukumbatia ujinga.Hakuna kisichowezekana,tafuta hayo maujanja badala ya kubisha bila facts mi ninayo hiyo receiver na napata hizo channels for free.DSTV channels zote ziko kwenye satellite ya Eutlasat W7
 
Ila mleta mada hii atasababisha hawa watu wa Dstv waanze msako nchi nzima kwa hawa watu wa cable ili kuwafungia maana nakumbuka miaka ya nyuma huko Mkoani Mara pale Musoma mjini alikuwepo jamaa fulani natumai alikuwa anaitwa (KAJANJA)alifirisiwa na hao wamiliki wa Multichoice walikuja kutoka South Africa.Mwaka juzi nilikuwa huko nilikuta anarusha hizi local chaneli tu.
 
Izo Cable TV ni kweli zinafanya vizuri sana, mkoani kuliko apa Dar es salaam. watu wanapata channel nyingi Sana mpaka Epl
 
Hii thread imenikumbusha Dhandho wa Mbeya, Mzee Dhandho alikuwa ana nyungo kumi chache kule karibu na shule ya azimio, Alitusave sana na cable service yake yule mzee ila siku hizi naskia kuna huduma mpya ya "mbeya cable services"
 
Halafu hizo cable ziko pouwa sana, kwam fano pale mtwara kuna huyu jamaa Abdul Shaban wa pale mtwara guest ana kitu inaitwa mtwara cable yaani channels zote a mipira ya ulaya especially EPL utaziona labda sionyweshe muda mmoja. Na huduma zake kuvutia ni 30000 na 10000 monthly, this is better than Star Times, na mara nyingi mipira inaonyeshwa through channels za kiarabu
DSTV walifanya msako kwa kila mkoa especially kwenye cable, na kupiga faini na kupiga mkwara dhidi ya kuonesha channel zao kwenye cable, hivyo cable nyingi hakuna Channel za DSTV. Kutokana na watu wanavuta cable hili wafaidi mpira na vipindi mbali mbali wakatafuta mdadala ambao ndio hizo channel za kiarabu na pili wanaziweka siku ya mpira na wanakuwa na moderate baada ya hapo wana switch off hicho kingamuzi na kuendele na channel nyingine.
 
Back
Top Bottom